Baba Imani
Member
- Jul 15, 2011
- 79
- 15
You are getting me wrong son, I said suppose it is true. I meant you didn't come up with anything tangible to drill your point home! Go home and do your home work, son!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu, nimeona kwa pamoja tujadiliane juu ya CV na uwepo wa wabunge wa viti maalum wa chadema. chama ambacho ama kwa hakika tunakitegemea sana kama chama mkombozi wetu, japokuwa kwa sasa kina wabunge 26 wa viti maalum lakini sijawahi kuuona umuhimu wao pale bungeni kiasi cha kushindwa kuwatofautisha na wabunge wa CCM waliozoea kusema ndio kwa kila kitu.
naomba leo nianze kuwajadili mmoja mmoja katika jukwaa hili.
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.
Wakuu, nimeona kwa pamoja tujadiliane juu ya CV na uwepo wa wabunge wa viti maalum wa chadema. chama ambacho ama kwa hakika tunakitegemea sana kama chama mkombozi wetu, japokuwa kwa sasa kina wabunge 26 wa viti maalum lakini sijawahi kuuona umuhimu wao pale bungeni kiasi cha kushindwa kuwatofautisha na wabunge wa CCM waliozoea kusema ndio kwa kila kitu.
naomba leo nianze kuwajadili mmoja mmoja katika jukwaa hili.
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.
Namfahamu vizuri sana huyo binti.
jina lake sahihi nio MRASI na hilo sabrina alianza kulitumia baada ya kufeli darasa la saba.
alisomeshwa na AIDAN NDOLWA kinondoni MUSLIM na baadae zanzibar university.
alianza uhusiano wa kimapenzi na ANTHONY KOMU mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA mwaka 2008 mpaka sasa.
Mwaka 2010 alizawadiwa UBUNGE wa viti maalum
sMawazo binafsi niwe radhi kwa hilo ,,, mapenzi ni maisha binafsi... Isshue ilikuwa cv baadaye mpaka mmerukia personal issues ..... mimi namwogopa Mungu lakini tuwe wakweli tu,,,,,, Mwanakwe kuwa mpiganaji au front line hasa kwenye siasa ni nadra sana ...... hao walioko upinzani ni waliojitoa muhanga hasa kwa nchi ambayo elimu ya uraia level ya elimu ya uraia iko very low..... ( Kwetu huwezi kumwambia Mwanamke awe upinzani maana wanaamini kuwa upinzani VITA na hakuna chama kama ccm) mind that wanawake ni jamii ambaye iko katika harakati ya kuwezeshwa (GENDER BALANCE) sina comment kuhusu personal issues plz Mugopeni Mungu maana ndiye wetu sote wakosefu.
Naona umeingia vibaya.
nataka kujua ni kipi kilizingatiwa mpaka tukawa na aina ya wabunge kama wa huyu binti SUNGURA?. nataka kujua tu ni kwanini mpaka sasa pale bungeni dodoma ni wabunge wale wale wa bunge la tisa wa chadema yetu ukiondoa kamanda mbowe, lisu na mnyika ndio wanaochangia kikamilifu.
\
rudi kwenye hoja.
ndio maana le baharia le mutuz alilalamikia wabunge wa chadema kuchukua rushwa humu. alimficha tu... NI SABRINA SUNGURA BANA..Kumbe kuna Zanzibar University, Inatoa nini yaani degree au? Kuna wapambanaji wengine wanataka kuja huko.
Ila nahisi ulinyang'anywa. Punguza munkari.
sasa miaka 2 bungeni unachangia mara 14 halafu unajivunia?...kaangalie kwa kamanda mnyika ama halima mdee sasa utalipata jibu...Angalia kwenye website ya Bunge. Japo hajaongea kuchangia mada lakini michango yake kwa maandishi ni mingi Kulinganisha hata na EL. Nisichojua ni kuwa aliandika nini.
Wakuu, nimeona kwa pamoja tujadiliane juu ya CV na uwepo wa wabunge wa viti maalum wa chadema. chama ambacho ama kwa hakika tunakitegemea sana kama chama mkombozi wetu, japokuwa kwa sasa kina wabunge 26 wa viti maalum lakini sijawahi kuuona umuhimu wao pale bungeni kiasi cha kushindwa kuwatofautisha na wabunge wa CCM waliozoea kusema ndio kwa kila kitu.
naomba leo nianze kuwajadili mmoja mmoja katika jukwaa hili.
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.