sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahaha! Hata hvyo inabidi mnishukuru sana kwa hizi safari zangu za mara kwa mara, vinginevyo mngekufa na njaa!..we fikiria nisingeenda USA kipindi kile mngepata wapi net za bure?...lol...Hehe sasa na majonzi kanitoka kipenzi wangu "Amy Winehouse"...nasikitika sijaitwa kwenye Janga la Norway.....hahahaha Unajua nyie Watanzania nyie swala la umeme mnalichukulia mchezomchezo tu hahaa....Nilifurahi sana mwandishi wa Bibisi nilipombwaga na maswali yake......sasa najifunza kuogelea visiwa vya marta na kumwona rafiki yangu Kipenzi...