Cv ya katibu mkuu wa ccm

Cv ya katibu mkuu wa ccm

Hii ndiyo Tz, na hawa ndo wa-Tz. Badala ya ku-discuss issue za msingi mnadiscuss cv ya Makamba!!! Ama kweli ng'ombe wa maskn hzai. Naisktikia nch yangu.
 
Mangula alitolewa kwasababu asingeendana na mwenyekiti aliyeko madalakani. watu waliokuwa wanaendana na serikali iliyopo madalakani ni wale wanaoweza kutimiza objectives za awamu hii! hii ni awamu ya kujisifu kwa yaliyofanyika siyo awamu ya kufanya mambo yatakayoleta sifa badae.
mfano.
1. serikali imetekeleza mpango wa sekondari za kata
2. serikari imeweza kujenga mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa victoria
3. serikari imejenga chuo kikubwa kuliko vyote cha dodoma
4. serikali imeweza kutoa mbolea za ruzuku kuliko kipindi chochote kile
5. nchi imepata heshima kubwa naibu katibu mkuu wa UN katoka tanzania haijawahi tokea
6. rais wa awamu ya nne amepata vyeo vingi vya kimataifa kuliko rais yeyote aliyetangulia
7. wananchi wanamagari mengi kuliko kipindi chochote
8. barabara zimejengwa kuliko vipindi vingine
9. muafaka zanzibar
10. taifa stars imeweza kucheza mechi nyingi za kimataifa na hatimae kunyakua kombe la SECAFA
11. brazili kuja kucheza tanzania
12. Rais kahudhuria mechi nyingi kuliko rais yeyote aliyetangulia
13. wahitimu wa sekondari wamekuwa wengi zaid kuliko kipindi chochote!
14. nchi imeendelea kuwa na amani

namengineyo mengi sana

hii ni awamu ya kutangaza mafanikio

hapo kwenye red, 95% ya hayo magari ni used from china
 
Ana cheti cha uropokaji ambacho alikipata chuo kimoja alichosoma Tambwe Hiza
 
na hao walimu aliokuwa anawafundisha sio siri walikuwa na kazi ya ziada.
jamani kama kuna wanafunzi waliofundishwa na huyu jamaa watupe shuhuda..:laugh:

Hapana, aliwapotosha watoto wote aliowafundisha kiasi kuwa hakuna hata mmoja aliyekwenda sekondari; kwa hiyo hakuna anayejua kutumia intanet kuweza kukujibu hapa JF.
 
Hapana, aliwapotosha watoto wote aliowafundisha kiasi kuwa hakuna hata mmoja aliyekwenda sekondari; kwa hiyo hakuna anayejua kutumia intanet kuweza kukujibu hapa JF.

teh te te te teh
Ama kweli some ujionee
 
Makamba ni mtunzi na mwandishi wa vitabu juu ya uongozi na rushwa
 
Simple minds discuss about people,ordinary minds discuss about events but great minds discuss about ideas,so where are each of us fit in?.
 
Yote juu sahihi na sina nyongeza tena. Ila nahisi kiatu hiki cha sasa ni kikuuuubwaaaaaaaaa mno kwake japo kiwango cha elimu si kigezo pekee cha kiongozi mzuri.
 
Simple minds discuss about people,ordinary minds discuss about events but great minds discuss about ideas,so where are each of us fit in?.
Ideas include public leadership qualities as exemplified by people who hold those leadership positions such as Makamba.
 
Back
Top Bottom