hvi haka kabinti ni katoto ka mwl nyerere au jina tu linafanana?
moja kati wa wabunge ninaoona wanaongeaga PUMBA huyu ni mmoja wao, IQ yake ni ndogo mno.
Kama sio katoto basi kajukuu mana nakumbuka kwa nyerere kuna hilo jina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hvi haka kabinti ni katoto ka mwl nyerere au jina tu linafanana?
moja kati wa wabunge ninaoona wanaongeaga PUMBA huyu ni mmoja wao, IQ yake ni ndogo mno.
Kuna chama hakihitaji elimu kinahitaji ukereketwa kina viongozi wa aina hiyo wengi hadi waganga wa kienyeji (Maji Marefu)
umejidhalilisha sana !Aliwahi kuwa Dj Mahiri sana pale Bills na Yule wa Arusha aliwahi kuwa jambazi sugu sana pale Arusha hali iliyomlazimu kutumia 0713 yake vizuri kipindi akiwa jela ili aweze kuishi vizuri Jela kwa kula vinono na kulala karibu na Nyapara Jumanne Mjusi
Amani kwenu wadau, Naomba kujua CV ya huyu mbunge wa jimbo la Kondoa kusini ,Naibu waziri wa habari,utamaduni na michezo, kama kuna mtu anaijua atupie humu.Nimejaribu kwa tovuti ya bunge sijaelewa vizuri.Hua namkubali sana huyu jamaa kwa jinsi anavyojibu maswali bungeni tena kwa kujiamini, Nilisikia kua anasoma UDOM ,sijajua ni postgraduate dploma,masters PHD au kipi kwa mnaojua.