CV ya Juma Nkamia

CV ya Juma Nkamia

Uko very wrong mkuu, usikimbilie kumjaji mtu vibaya, cv imewekwa and its good.
Changamoto ni kwenye kuitumia kutekeleza majukumu alopewa na wananchi.

No I am not wrong. Hata kama alimaliza form six, angelikuwa na pass nzuri angelikwenda University directly, kitendo cha kutokwenda university na amemaliza Mzumbe/Sengerema???? Mzumbe shule nzuri mpaka leo ni kuwa alidunda kidogo for a direct university entrant qualification. Kama wengi walivyosema, elimu aliyonayo inawea kumtosha kufanya kazi ya kuwawakilisha wananchi, lakini inahitaji tafakuri zaidi kwa level yake inapokuja technical issues.
 
my house girl is more important than Nkamia!
Acheni kashfa ninyi, na udaku wenu, nimegundua mnatumwa kumchafua nkamia na Zitto, kwa kulipwa vijisent, sasa next time anayekutumeni nimeongea naye akasema atawapa hela mumuvulie Bikini.
 
......, hata leticia nyerere amebwabwaja eti enzi za nyerere hakuwai kusikia viongozi wa nchi wakitukanwa mitandaoni, hivi kuna mtu anatukana hapa kama mnavyotukanana hapo bungeni???
Wewe leticia nyerere kama umeamua kufanya biashara ya utumbo usiogope kunuka kinyesi.
hvi haka kabinti ni katoto ka mwl nyerere au jina tu linafanana?
moja kati wa wabunge ninaoona wanaongeaga PUMBA huyu ni mmoja wao, IQ yake ni ndogo mno.
 
No I am not wrong. Hata kama alimaliza form six, angelikuwa na pass nzuri angelikwenda University directly, kitendo cha kutokwenda university na amemaliza Mzumbe/Sengerema???? Mzumbe shule nzuri mpaka leo ni kuwa alidunda kidogo for a direct university entrant qualification. Kama wengi walivyosema, elimu aliyonayo inawea kumtosha kufanya kazi ya kuwawakilisha wananchi, lakini inahitaji tafakuri zaidi kwa level yake inapokuja technical issues.

mkuu,
kwa elimu aliyokua nayo kwangu naona ni KUBWA MNO!,
huwezi kuilinganisha na Jah People au Maji Marefu ambao hata elimu ya msingi hawakuimaliza.
kufanya kazi kwa Juma Nkamia shirika kama VoA au BBC ni exposure kubwa sana na ya kutosha achilia mbali kazi yake ya uandishi wa habari ambayo binafsi naamini inakupa uelewa wa mambo mengi.
BTW mimi naona uongozi ni TALENT na sio skills!.
 
Ukimwona kobe juu ya mti, fahamu kuwa amepandishwa na ipo siku atashushwa.
 
Cv siyo mbaya but nimeona mwelekeo wake katika bunge sio mzuri.si mwakilish mzur kwa wananchi
Hivi hii CV yake nzuri eeh??!!!

Kweli ndio maana tunapitishiwa sheria za kipuuzi puuzi tu... huyu hata sijui kama anajua nini kinaendelea zaidi ya kupiga makofi na kelele za ndioooo!!
 
Jamaa alisoma A- Level Miaka mi 3 ????
Parliament of Tanzania

Same Secondary School
A-Level Education
1989
1990
HIGH SCHOOL
Sengerema High School
A-Level Education
1991
1991
HIGH SCHOOL
Mzumbe High School
A-Level Education
1991
1992
HIGH SCHOOL

Inachekesha kweli kweli. Hivi kama mtu una IQ inayofanya kazi utasomaje A Level miaka 4 yaani 1989-1992? Four years solid kama uko O level. Hapa inaonekana kuna tatizo limejificha kwa Bwana Ngamia. Halafu inaonekana baada ya kumaliza A Level kuna miaka 3 imepotea hapo katikati sijui alikuwa anauza asali na alizeti huko Kondoa? Maana amekuja kuibukia RTD mwaka 1995 kama Mtangazi kwa ajira ambayo bila shaka ni Direct Employment kwa F4!Yawezekana 'A' Level yake ni Division 0 yenye masikio!!!!

We can therefore conclude that huyu jamaa shule yake imekuwa ya kuunga unga na ajira za kubahatisha. Kwa maana hiyo huwezi kumweka kwenye kundi la watu ambao ni intelligent/genius, briefly he is dull na ndiyo maana hata anavyoongea inaonyesha ndiyo upeo wake wa kufikiri. Ngamia ni bomu!
 
Inachekesha kweli kweli. Hivi kama mtu una IQ inayofanya kazi utasomaje A Level miaka 4 yaani 1989-1992? Four years solid kama uko O level. Hapa inaonekana kuna tatizo limejificha kwa Bwana Ngamia. Halafu inaonekana baada ya kumaliza A Level kuna miaka 3 imepotea hapo katikati sijui alikuwa anauza asali na alizeti huko Kondoa? Maana amekuja kuibukia RTD mwaka 1995 kama Mtangazi kwa ajira ambayo bila shaka ni Direct Employment kwa F4!Yawezekana 'A' Level yake ni Division 0 yenye masikio!!!!

We can therefore conclude that huyu jamaa shule yake imekuwa ya kuunga unga na ajira za kubahatisha. Kwa maana hiyo huwezi kumweka kwenye kundi la watu ambao ni intelligent/genius, briefly he is dull na ndiyo maana hata anavyoongea inaonyesha ndiyo upeo wake wa kufikiri. Ngamia ni bomu!

Sijui hata Mzumbe alienda enda Vp,
 
CV ya huyu jamaa siyo mbaya, ila sio siku nyingi mimi Kwamtoro mzaliwa wa kondoa kusini ambaye nauwezo mkubwa wa kuwa mbunge sahihi wa Kondoa kusini kulichukua ilo jimbo. Nampigia jaramba tu, awezi kuruka.
 
Nkamia naona kwa akili na uelewa ni sawa na Ngamia naona ni ndugu moja
Wanatoka sehemu moja na Afande Kova na ndiyo wasomi wakubwa wa eneo lao. Sasa fikiria hao wapiga kura wao wakoje. Kweli lazima tupeleke M4C kuwakomboa watanzania hawa mikononi mwa vilaza hawa.
 
Kuna chama hakihitaji elimu kinahitaji ukereketwa kina viongozi wa aina hiyo wengi hadi waganga wa kienyeji (Maji Marefu)
yaani nyie watu mnachekesha sana,ikiwekwa cv ya mtu wa chadema hata kama hajasoma mnasema hatuitaji vyet twataka uwajibikaji bt ikiwekwa ya CCM mnaiponda kua kilaza,daa kwakweli mnaboa sana na akili zenu fupi
 
Jitokezeni kwenye kutoa mawazo yenu kwenye tume ya katiba ili tuwe na kiwango cha elimu kwa wabunge wetu otherwise tutaendelea kutukana humu na haitasaidia kitu.
 
CV ya huyu jamaa siyo mbaya, ila sio siku nyingi mimi Kwamtoro mzaliwa wa kondoa kusini ambaye nauwezo mkubwa wa kuwa mbunge sahihi wa Kondoa kusini kulichukua ilo jimbo. Nampigia jaramba tu, awezi kuruka.

Hana CV yoyoteya maana! alipomaliza shule aliingia RTD akawa mtangazaji, tena zaidi mtangazaji wa mipira wakati ule hakuna TV ni radioTz tu. baada ya hapo alibebwa na mrangi mwenzie Balozi Mustafa Nyang'anyi na kukaaa ubalozini kwa shughuli ipi God knows. Ni kilaza ajabu hata sijuwi wananchi wake walimpa kura vipi? Huyu ni kato ya wabunge wanaoinvest kwenye illiteracy ya Watz.
 
Ina maana alianza form 1 akiwa na umri wa miaka 13?
Form four aliamaliza akiwa na miaka 16?
Form five na six alisoma kwa miaka 3??
Namashaka na haya maelezo binafsi ya Juma Nkamia

Mkuu CV ya huyu jamaa na ufinyu wake mnaouona ni nzuri kuliko hali halisi ya jamaa. Mtafuteni mtu anayeitwa Suedi Mwinyi ndio anaweza kuwaeleza ni jinsi gani jamaa alivyo, watu wa RTD na TBC wanamjua vizuri sana, au jaribuni kuuliza matokeo yake ya form IV, form VI na hizo certificate ndio mjue kuwa bungeni kwetu wanaingia watu wasiostahili. usiwe na mashaka na maelezo yake binafsi kaa naye siku moja uone akilini mwake kuna nini. Swali la kujiuliza ni kama kweli huyu jamaa anastahili kuwa mbunge wa kondoa au ndio kubebana tu.
 
Great Mind discuss Ideas, Average mind discuss Events, Poor Mind discuss People.
 
Jamaa alisoma A- Level Miaka mi 3 ????
Parliament of Tanzania

Same Secondary School
Sengerema High School
Mzumbe High School

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

In complete data
 
Back
Top Bottom