Tatizo Makonda kafoji na kufoji ni kosa la jinaiKwanini utetezi huu usikubalike kwa makonda pia
Huyu hajafoji vyeti
Tatizo Makonda kafoji na kufoji ni kosa la jinaiKwanini utetezi huu usikubalike kwa makonda pia
Heading na topic wapi na wapi? Bunge lako wewe na mwanao ambapo wewe ndo spika au kitu gani? Viroba vinapatikana bado naona.Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.
Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.
Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
Experience & Creativity.Wakati tunaendelea kufuatilia mijadala mbalimbali inayoendelea hapa nchini hasa katika binge letu tukufu. Leo mwanangu ameniuliza swali ambalo limekuwa gumu sana kulijibu hasa baada ya kufurahishwa na ujengaji mzuri wa hoja alionao kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Freman Mbowe.
Kijana wangu ameniuliza baba huyu Mbowe anaelimu kiwango kipi? Form four na six kasomea wapi pamoja na chuo kikuu? Kwakeli nimeshindwa kupata majibu kwa wadau wote niliojaribu kuwauliza wengine wamesema kafeli form six wengine kamaliza chuo.
Naomba mwenye majibu sahihi anisaidie.
mzee wa madili aliuza chama kwa mamvi bei 10 B, ili kubadili gia anganiDJ wa Bilcanas...
Form six failure....
Karani wa BOT, cheo alichopewa na mkwe wake Mtei, wakati huo Mtei ndio Mkurugenzi wa BOT....
Mgoni, amezaa na Mbunge wake wa viti maalum, Joyce Mukya...
Mengine yashushie hapo chini....
DJ wa Bilcanas...
Form six failure....
Karani wa BOT, cheo alichopewa na mkwe wake Mtei, wakati huo Mtei ndio Mkurugenzi wa BOT....
Mgoni, amezaa na Mbunge wake wa viti maalum, Joyce Mukya...
Mengine yashushie hapo chini....
sidhani kama ni vyema kuwaza hasi ni vyema katika maisha ya kila siku labda nikushauri siku nyingine uwe wa mwisho ili uje na evidence na uhitimishe mjadala kwa majibu yako.....unless upo na mwandishi wa uzi huu na ana mawazo kama yakomkuu umejianda kwa matusi
maana utatukanwa wew , familia yake, ukoo wako na kila kiumbe hai kilichopo kwako.
ngoja waje mkuu kimbia haraka
Hili swali huwa halina majibu!!!.
....muweka 'kalikiti' !DJ wa Bilcanas...
Form six failure....
Karani wa BOT, cheo alichopewa na mkwe wake Mtei, wakati huo Mtei ndio Mkurugenzi wa BOT....
Mgoni, amezaa na Mbunge wake wa viti maalum, Joyce Mukya...
Mengine yashushie hapo chini....
Samahani, sina nia mbaya, weka ya Baba yako pia tuone!Anatajwa kuwa nduye KUB bora eti ana akili kubwa
Anatajwa kuiinua sana chadema
Anatajwa kuwa na mikakati mizuri
Vipi kuhusu elimu yake na nafasi alizowahi kushika kabra hajawa mbunge
mahili ama mahiri???sidhani kama ni vyema kuwaza hasi ni vyema katika maisha ya kila siku labda nikushauri siku nyingine uwe wa mwisho ili uje na evidence na uhitimishe mjadala kwa majibu yako.....unless upo na mwandishi wa uzi huu na ana mawazo kama yako
Binafsi nitamtaja mh. Mbowe kama kiongozi mwaminifu ,mbunifu mahili wa chama cha chadema