Asante kwa ufafanuzi.
Dr.W.SlaaNdahani,
Ni haki Yao kujadili. Msiwapuuze wala kuwakatisha tamaa kujadili. Inawezekana kweli wapo ambao kwa nia njema hawajui mfumo wa Elimu wa Kanisa Katoliki ambao tok a Seminary Ndogo ( Form 1-V1) nimepitia Dungunyi Seminary and Itaga Seminary of which am very proud na ninatoa shukrani za dhati kabisa kwa waalimu wangu wote si tu kwa kunipa elimu bora, Bali pia kwa kunipa misingi imara ya malezi( formation) kwani elimu bora ni zaidi ya vyeti.
usiwe unaleta mada bila utafiti wewe kichwa panzi, kwanza nakudokeza tu moja nyingine ufuatilie mtu ukisoma falsafa ni equivalent na advanced Diploma na ukisoma theology ni sawa na bachelor degree!!usionyesha ujinga wako onyesha busara!hiyo ni kwa mfumo wa elimu wa kanisa katoliki!Mungi,Kwani Dr Slaa, BA, MA, kasoma University gani?
Dr Slaa,
Shukran kwa post yako. Shukran pia kwa ku improve tremendously katika uandishi wako japo bado kuna kasoro nyingi za speling na usanifu wa kiswahili, nevertheless walau sasa nakusoma kwa rahisi kuliko kabla ya hapo.
Back to the topic, umeandika mengi sana, na blah blah nyingi za kuwa unajua lugha nyingi kujaribu ku justify elimu yako tata. Mimi swali langu lipo hapo juu kwenye bolded red, hii so called "msingi imara wa malezi" ni pamoja na kuzaa nje ya ndoa ukiwa Padri, kupora mke wa mtu (kesi ipo mahakamani) kutelekeza malezi ya watoto na "mkeo" wa awali Rose Kamili (kesi ipo mahakamani).
Naomba ufafanuzi wa haya tafadhali
Hakuna haja ya kutokwa na povu hii thread ni mpya JF kuna members wapya wanaitaji mijadala kama wewe ulijadili siku nyingi kaa pembeni waachie members wapya hii ndio maana ya forums...halafu nikukumbushe acha kulia lia JF sio mali ya Chadema.
Nilikuwa sitaki kuamini kwamba kuna watu wanalipwa Jf lakini kwa hili Ritz umenifumbua macho,thread imekaa kimipasho sana hii mkuu,yaani baada ya watu kufumua cv ya Vicky isiyokuwa na kichwa wala miguu kwa akili yako ndogo umeileta hii while this has been extensively discussed in here,you should feel shame of yourself ritz.fedha kweli mwanaharamu
Huyu Mkunga Kumbe Tukimpa Nchi Ataigeuza Paroko Na Huyu Ndo Anae Leta Udini Tz
Dr msamehe tuu hawa ni vijana wanaotegemea malipo kutoka Lumumba kuchafua watu, kama sio kuheshimu sheria za J/F kutajana majina ningemuweka wazi hapa na uchafu wake wote,..unavojichanganya alizaa nje ya ndoa akiwa padre? sasa kama alikuwa padre alizaa nje ya ndoa ipi au alikuwa padre na huku akiwa na ndoa? halafu unasema ametelekeza familia na kesi ipo mahakamani sasa mahakama ime rule out kwamba ana kosa? au wewe ndio hakimu wa hiyo kesi??Dr aliwahi kueleza taratibu za kuacha upadre zilivo na kibali kinatoka Roma mahakama juzi ili rule out kuwa Josephine(first lady in wait) sio mke wa mtu alikuwa ameshapewa talaka kabla ya kuolewa sasa unamuita je mke wa mtu? hivi vipesa mnapewa vitumie vizuri sana maana 2015 haipo mbali mtalia na kusaga meno!!
Hakuna haja ya kutokwa na povu hii thread ni mpya JF kuna members wapya wanaitaji mijadala kama wewe ulijadili siku nyingi kaa pembeni waachie members wapya hii ndio maana ya forums...halafu nikukumbushe acha kulia lia JF sio mali ya Chadema.
Ni akili kudiscuss ya Vicky lakini si akili kudiscuss ya silaha, ona mapenzi jinsi yanavyokupofusha
Hakuna haja ya kutokwa na povu hii thread ni mpya JF kuna members wapya wanaitaji mijadala kama wewe ulijadili siku nyingi kaa pembeni waachie members wapya hii ndio maana ya forums...halafu nikukumbushe acha kulia lia JF sio mali ya Chadema.