CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

Status
Not open for further replies.
Dr mi nakukubali hasa ukinzingatia nimepitia seminari pia nimekua mlei mwema.

Nilishangaa walipo kuletea nape eti ujadiliane nae topic.
 
KWA UMRI WENU MNAJADILI ELIMU MTU?
KWELI FB fungulia mbwaa!.
 
Niliwaandikia siku moja. Kuwa mtendajimkuu wa baraza la maaskofu wa kikatoliki lazima uwe na kichwa si kichwa, cha kufuga vywele! Unawaongoza mabingwa wa elimu wa kikatoliki!
 
KWA UMRI WENU MNAJADILI ELIMU YA MTU?
KWELI FB fungulia mbwaa!.
 
Sasa DR. Slaa elimu yake anaitetea ya nini wakati kashafikisha umri wa kustaafu?
Mkuu eti ile costa inayokuwaga kwenye msafara wa kipenzi chenu na wazee kibao ndani huwa wanasghulika na nani? Samahani lkn
 
Dr mi nakukubali hasa ukinzingatia nimepitia seminari pia nimekua mlei mwema.

Mie nilikuwa Katekista, bado Mulugo nae aje atoe ufafanuzi, heri yangu nilieishia Form IV science lakini halali kuliko wale wenye elimu za juu ila zina maswali mengi kama ya Mulugo, anyway Slaa ni jembe kwenye elimu
 
Katika watu ninaowaheshimu kwa michango yao humu ndani ni Zemarcopolo, HARMY D, CHAMA, Utakuwa umewakosea heshima mkuu.

hawa huwa wanajadili watu tuu hakuna lolote. bora hata ritz huwa kwenye hoja anajadili hoja.
 
tatizo la ccm kuwapa vijana vijisent kupiga propaganda mitandaon tunaanza kuliona..wengi wao wanaandika puuzuri na ushabiki wa kitaarabu taarabu
 
bora cv ya ungumbaru inayojieleza kuliko ya phd ya kutokea kwenye certificate, ukiacha slaa tutajie msomi mwingine aliepata phd akitokea kwenye Certificate
Sheikh Simba ana masters ya Islamic studies toka chuo kikuu cha Misri baada ya kuhitimu darasa la nne!
 
Njaa zinawafanya vijana wa Lumumba wawehuke kwa kutafuta visa vya kutunga na kukebehi ili kushusha hadhi ya mtu.Hiyo siyo siasa ila ni utumwa wa kifikra japokuwa inawezekana mnafaidika kiuchumi kwa hoja dhaifu kama hizi.
 
Kwa vile kasoma mambo ya dini sana ; mi naona mambo ya dunia ajui lolote. Namshauri rudi kundini ueneze neno ; huku tuachie kaisari. Sijaona kasoma shule za kata wa la serikali kwa hiyo hajui machungu ya maisha hawezi kutetea lolote; usilolijua ni kama usku wa giza et slaa
 
EDITED
Wabongo msiwe mnaenda enda tu tu jamani ndo mana mnasaini mikataba ya iliyoandikwa KICHINA .
 
EDITED
Wabongo msiwe mnaenda enda tu tu jamani ndo mana mnasaini mikataba iliyoandikwa KICHINA .
 
Mzee slaa umezungumza vitu vingi sana ktk elimu yako na hongera ulipofika lakini kanisa katoliki linafundisha pia nidhamu na uadilifu sasa wewe uadilifu wa kikatoliki uliuacha wapi hadi ukawa ulivyo mtu wa historia na matukio mabaya kabisa.
 
Dah ! Kweli nimeamini Slaa ni balaa aisee ! Hebu tuichambue na elimu ya Katibu Mkuu wa CCM na yule wa CUF , huyu SAM LUHUZA wa NCCR- MAGEUZI tuachane naye , nina hakika kuna watu watabadili ID'S zao kesho asubuhi.
Do not waste your time and resources. Elimu ya Dr Slaa haitofautiani sana na ya Pope Francis. Umewahi kujiuliza kwa nini rais wa Marekani (Super power) anakaogopa sana haka ka taifa (Vatican state) kasiko hata na jeshi kuliko, China au Russia? Think twice. Mbumbumbu wa chini kabisa kwenye taifa la Vaticano ana elimu ya kiwango cha shahada ya uzamili. Unakumbuka Bush alivyokwenda kujikomba kwa John Paul ii na vinishani mshenzi baada ya ku mess mambo huko Iraq? The Vatican is no Mecca my bro!
 
Ninaamini sio Dr Slaa ameandika haya maneno...sio yeye kabisa japo elimu yake ndo hii na wote ni ukweli...ila hii ni mtu kaifraft
 
Nami naomba kuuliza juu ya taaluma ya Mheshimiwa Slaa. Inaonekana alidahiliwa kusoma PhD kwa miaka 4 (1977-1981). Hiyo inakubalika kimataifa. Lakini msingi wangu wa swali ni pale ndani ya hiyo miaka 4 kusoma taaluma 2 tofauti kwa vyuo tofauti lakini shahada and stashahada zote kutolewa mwaka huo huo (1981)! Je PhD ilisomwa miaka miwili tu (1977-1970)? Je inakubalika popote?
 
Mzee slaa umevunja amri nyingi sana za kanisa katoliki miongoni mwa hizo ni kutamani mke asiye mke wako,usiibe,usizini,usiibe,shika sheria katoliki za ndoa,usiseme uongo sheria hizina zingine nyingi hakika umezivunja.
 
Theology(tauhidi) dr kanifundisha kitu hapa yaani kumbe kanisani wanafundishwa tauhidi?
Tauhidi=upwekeshaji=mungu mmoja=kuacha kumuabudu mungu pamoja na wengine kama masanamu. Sijui ndio maana yake pia huko kwenye christian theological studies? Someone to help me please.
Msomi tauhidi/theology huwa heshima na maadili yake yanakuwa ya juu sana na ikiwa kinyume chake atakuwa course ameikimbia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…