CV ya Balozi Wilson Masilingi

Wakikupa misaada sio mabeberu,wakiwaita watu kuwahoji ukweli mabeberu,ndo maana Afrika hatutaweza kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda wataalamu wa silaha watuambie inachukua muda gani kwa bunduki ilosetiwa kupiga rapid kutoa risasi 38?
 
Sasa kwa maneno haya ya kuhitimisha tunaposema huyu ni mhaini anayeshirikiana na wahaini wenzake mbona mnalalama. Ushahifi gani unahitajika zaidi ya huu? Na bungevlinaendelea kumuongezea fedha za kustop the cat!!!

Hiyo ni nadharia yangu tu. Kama nchi ni lazima tukue kisiasa. "To stop Magufuli" siyo uhaini; it is a ligitimate political activity ambayo kwa katiba yetu ingepaswa kufanyika waziwazi. Sasa madam serikali yetu hairuhusu ndiyo maana watu wenye mapenzi mema wako tayari kusaidia harakati za kisiasa kama vile kutoipatia serikali yetu misaada; kutokopesha fedha kwa miradi yenye ubaguzi wa aina yoyote, kuwaunga mkono wapinzani wa wa kisiasa ambao serikali inawakandamiza isivyo halali, nk. Demokrasia ya vyama vingi inayo misingi yake ambayo ukiikubali kama nchi halafu waziwazi unakiuka mchana kweupe lazima uonekana kituko. Hawasaidii kupindua serikali halali bali kupiga matendo yake yanayokwenda kinyume na uhuru wa kisiasa.
 

Wakishughulikiwa kama wahaini wengine watalalama ama wako tayari kwa lolote?
 
masilingi ni msomi mzuri,ana degree saba,CCM tuna hazina kubwa ya wasomi,mfano profesa kabudi,ana PHD tatu,mwigulu ni mtaalamu wa uchumi africa nzima,professa mkumbo yeye amesoma hadi akarudi chuo kikuu kufundisha degree
😀😀😀😀😀😀😀 mkuu umenichekesha sana na hii sarcastic post.
 
Hapo kwenye nyekundu, fedha za hisani hazifanyiwi kazi kwa namna hiyo. Mpaka sasa kwa upande wa nchi za Ulaya ni Denmark tu ndio wamesimamisha fedha kwenda kwenye bajeti ya serikali. Hata Umoja wa Ulaya hawajasimamisha mpaka sasa, labda baada ya kupitia upya mahusiano yao na serikali ndio watafanya uamuzi huo. Hata hivyo, kwa taratibu za fedha za hisani ya maendeleo haziwezi kupelekwa kumhudumia mtu. Taratibu za fedha za hisani huwa na utaratibu mwingine kabisa ambao huandaliwa baina ya wahisani na nchi nufaishwa, na unawekwa kwenye mkataba.
 
Kwa CCM, CV doesn't matter at all, na ndio maana huwezi kutofautisha anapoongea mtu kama Kibajaji aliyeishia Darasa na Nne na Profesa X aliyebukua mabuku yote hadi yakawa yanakimbia pindi yakimuona!!
Alijitahidi. Huwezi kumbeza kirahisirahisi!
 
Mkuu " kupigwa risasi ni ujinga wake"...???? Inamaana alikua anajua..??

Alianza kufuatiliwa na gari tangu DSM kwa vile hana Imani na vyombo vya ulinzi na Usalama hakutoa taarifa wala kwenda sehemu salama kujisalimisha na kuomba msaada
 
Alitukanaje, kwa mfano.
 
TL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.
Kuitana Sr lawyer ni kuheshimiana, siyo udogo.
 
Kuitana Sr lawyer ni kuheshimiana, siyo udogo.

Usicho kitaka nini? Huyu jamaa alikuwa Hakimu Kijana mwenye heshima na kuotendea haki taaluma yake hiyo enzi zake hizo kwa uthubutu wake. Alikubalika inatosha.

Hata kwenye mahojiano na TL tukiweka ushabiki pepembeni aliongea points za maana tu.

TL hujafa huwezi kujificha kwenye kivuli cha kufa.
Wapinzani wanao pata matatizo ya kesi ziko sababu za hizo kesi.

Mbowe kukaa mahabusu sababu ni kutambuka dhamana.
Wapinzani Tanzania si kina TL tu wako wengine wengi na wanaendesha shughuli zao za upinzani bila kushitakiwa, kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…