Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,355
- 13,887
Oya huyu jamaa hasafishiki hata afanyeje
Mara niitwe Sabaya mara Mchengerwa mimi huyu
Kama ni hela wewe kula
Oya huyu jamaa hasafishiki hata afanyeje
Mara niitwe Sabaya mara Mchengerwa mimi huyu
Zile video zinakutia uchizi? Yaani huyo sabaya wako ni mwizi mjinga! Unavamia eneo bila kuwa na ramani na kujiridhisha Kama hakuna macho ya kizungu ( CCTV camera)? Wa kale wakisema; " siku za mwizi ni 40"! Arobaini yake imefika leo.
Anadhani madame President hakuona zile picha za kumvamia Mbowe nyumbani kwake na silaha nzito huku akimjeruhi mlinzi wake kwa risasi? Mama aliona, alisikia na alikasirika kwa aina Ile ya uvamizi hata Kama akitaka ccm ishinde! Kwa Sasa Hana jinsi zaidi ya kumpumzisha ili wengine waliokasimiwa madaraka watende kwa uadilifu na busara na siyo nguvu Tena za silaha!
Najiuliza, Mbowe angekuwa na silaha Kisha akaamua kujihami no kitu gani kingetokea?
Kaniki weusi ni rangi yake..hata ifuliwe vipi haiwi nyeupe 😀 😀Wewe nawe!!!
Huu ni uzi wako wa pili unazungumzia jambo hilo hilo...
Kwanini yeye na siyo mwingine?
Kama ni shutuma ajitokeze hadhani ajibu anachosingiziwa.
Hata mwanamke aliyeachika huwa na Tania ya kumsema mmewe vibaya! Na kisasi unachompachika Mbowe wewe unacho pia Tena kilichopitiliza! Na Kama kweli ulishiriki kutekeleza uovu unaodai mliufanya mkiwa CDM Basi jiandae kwa mashitaka na jela utaenda ikithibitika ulishiriki uhalifu!🤣🤣🤣
Mara niitwe Sabaya mara Mchengerwa mimi huyu
Hata mwanamke aliyeachika huwa na Tania ya kumsema mmewe vibaya! Na kisasi unachompachika Mbowe wewe unacho pia Tena kilichopitiliza! Na Kama kweli ulishiriki kutekeleza uovu unaodai mliufanya mkiwa CDM Basi jiandae kwa mashitaka na jela utaenda ikithibitika ulishiriki uhalifu!
Ndio maana nikakuita mwizi mjinga usiyejua taaluma ya wizi! Yaani unashiriki, unatenda na kuulinda au kulinda taarifa za uhalifu huku ukijua ni kosa la jinsi Kisha unakuja hapa kujitapisha! Yaani wale polisi ninaowajua Mimi watapita na wewe na kukuweka sehemu salama na hivi mama hapendi ujinga!
Haraka ya kuandika kajisahau.........katika aya ya kwanza muandishi anajitambulisha kama mwanachama wa cdm kwa kusema ameshiriki ktk kukijenga chama hicho.
..katika aya ya mwisho muandishi anafunga kwa kusema yeye ni kada mtiifu wa ccm na atakilinda chama chake.
..sasa nadhani tunahitaji ufafanuzi ktk vipengele hivyo viwili.
..katika aya ya kwanza muandishi anajitambulisha kama mwanachama wa cdm kwa kusema ameshiriki ktk kukijenga chama hicho.
..katika aya ya mwisho muandishi anafunga kwa kusema yeye ni kada mtiifu wa ccm na atakilinda chama chake.
..sasa nadhani tunahitaji ufafanuzi ktk vipengele hivyo viwili.
..katika aya ya kwanza muandishi anajitambulisha kama mwanachama wa cdm kwa kusema ameshiriki ktk kukijenga chama hicho.
..katika aya ya mwisho muandishi anafunga kwa kusema yeye ni kada mtiifu wa ccm na atakilinda chama chake.
..sasa nadhani tunahitaji ufafanuzi ktk vipengele hivyo viwili.