Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Kunahitajika akili kuelewa acha kwanza nijibu tuhuma
..katika aya ya kwanza muandishi anajitambulisha kama mwanachama wa cdm kwa kusema ameshiriki ktk kukijenga chama hicho.

..katika aya ya mwisho muandishi anafunga kwa kusema yeye ni kada mtiifu wa ccm na atakilinda chama chake.

..sasa nadhani tunahitaji ufafanuzi ktk vipengele hivyo viwili.
 
Sabaya huyu huyu aliyewahi kufoji kitambulisho eti cha idara ya Usalama wa taifa?!
Ole%20Sabaya%20(1).jpg
Sabaya%20(1).jpg
Lengai%20Ole%20Sabaya%20(1).jpg
 
Acha ushenzi wee..., kweli unaona alichofanya jambazi Saabaya na baba yake aliyekufa kwa ubishi na ujinga wake ni sawa?!!!!
 
Kunahitajika akili kuelewa acha kwanza nijibu tuhuma

..Naomba unijibu maswali haya:

1. Je, unaunga mkono DC Sabaya, akiwa na silaha, kuvamia hoteli inayomilikiwa na Ndg Freeman Mbowe usiku wa manane?

2. Je, unaunga mkono DC Sabaya kutumia gari lenye namba za usajili wa UN ktk tukio tajwa hapo juu?

3. Je, DC Sabaya amekiuka au hajakiuka maadili ya utumishi wa umma?

..Kuna ushahidi wa Video kuhusiana na uvamizi wa DC Sabaya ktk hoteli ya Ndg Freeman Mbowe.
 
Tunatumia hela aisee...

Msipostpost tu mistori ya hovyo.

Ukimuona mtu online saivi...juwa kajinyima mahali..
 
Hivi Sabaya ni wakusafishwa? Kama amekupa pesa kula. Ila Sabaya ni mjinga. Kwani Tanzania ik na MaDc wangapi? Kwanini yeye?
kwa sababu alimuondoa Mbowe kwenye ubunge; Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA. Mbowe kiongozi mkuu wa CHADEMA; Niendeleee?
 
..Naomba unijibu maswali haya:

1. Je, unaunga mkono DC Sabaya, akiwa na silaha, kuvamia hoteli inayomilikiwa na Ndg Freeman Mbowe usiku wa manane?

2. Je, unaunga mkono DC Sabaya kutumia gari lenye namba za usajili wa UN ktk tukio tajwa hapo juu?

3. Je, DC Sabaya amekiuka au hajakiuka maadili ya utumishi wa umma?

..Kuna ushahidi wa Video kuhusiana na uvamizi wa DC Sabaya ktk hoteli ya Ndg Freeman Mbowe.
Si mko na Mungu? Basi muachieni Mungu
 
Sabaya ni msafi kiasi gani? Tukumbuke ukweli pekee ndio utatuweka huru
 
Mkuu wewe ni mmoja wa wale mliokuwa mnamsindikiza kwenye lile shangingi jeusi?
 
Sabayaaaa,Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama anayetembea na magari ya UN.
Piga kazi mwanakwetu,Mbowe kwisha habari yake!!!
 
..Naomba unijibu maswali haya:

1. Je, unaunga mkono DC Sabaya, akiwa na silaha, kuvamia hoteli inayomilikiwa na Ndg Freeman Mbowe usiku wa manane?

2. Je, unaunga mkono DC Sabaya kutumia gari lenye namba za usajili wa UN ktk tukio tajwa hapo juu?

3. Je, DC Sabaya amekiuka au hajakiuka maadili ya utumishi wa umma?

..Kuna ushahidi wa Video kuhusiana na uvamizi wa DC Sabaya ktk hoteli ya Ndg Freeman Mbowe.
Mkuu usilo lijua sawa na usiku wa giza.
 
Sabayaaaa,Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama anayetembea na magari ya UN.
Piga kazi mwanakwetu,Mbowe kwisha habari yake!!!
🙏🙏🙏
 
Tunatumia hela aisee...

Msipostpost tu mistori ya hovyo.

Ukimuona mtu online saivi...juwa kajinyima mahali..
🤣🤣🤣👏👏👏🤜
 
Back
Top Bottom