Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,027
- 20,413
- Thread starter
- #41
Kunahitajika akili kuelewa acha kwanza nijibu tuhuma
..katika aya ya kwanza muandishi anajitambulisha kama mwanachama wa cdm kwa kusema ameshiriki ktk kukijenga chama hicho.
..katika aya ya mwisho muandishi anafunga kwa kusema yeye ni kada mtiifu wa ccm na atakilinda chama chake.
..sasa nadhani tunahitaji ufafanuzi ktk vipengele hivyo viwili.