Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Mara umeanza kujinasibu wewe ni chadema uliyeshiriki oparesheni na kukijenga chama, mwisho umegeuka na kujiita kada mtiifu wa ccm (kinyonga).

Maelezo meeengi kona kona kibao, sawa basi hatuamini ya Swai sisi tuko makini na zile CCTV footage na kike kiburi dhidi ya mama Anna nazo una lipi la kuzisemea!?
 
Mara umeanza kujinasibu wewe ni chadema uliyeshiriki oparesheni na kukijenga chama, mwisho umegeuka na kujiita kada mtiifu wa ccm (kinyonga).

Maelezo meeengi kona kona kibao, sawa basi hatuamini ya Swai sisi tuko makini na zile CCTV footage na kike kiburi dhidi ya mama Anna nazo una lipi la kuzisemea!?
🤔🤔🤔 Nawaza tu
 
Yaani unaona ukimhusisha Mbowe na Lema na upumbavu wa Sabaya ndo mama ataona ni uzushi? Hata Kuku wa Muheza, Hai na Arusha wanazijua vizuri tabia hasi za Sabaya.
 
Yaani unaona ukimhusisha Mbowe na Lema na upumbavu wa Sabaya ndo mama ataona ni uzushi? Hata Kuku wa Muheza, Hai na Arusha wanazijua vizuri tabia hasi za Sabaya.
Nimekuelewa vizuri sana mkuu 🙏🙏🙏
 
Cuthbert Swai sio Mtu wa kumchafua huyo Mbwiga

Tena anaonekana ni Mtu Shujaa sana hakubali anyanyaswe na kuzulumiwa
 
Mbona Sabaya anahangaika sana.... atulie tu. Panga la wakuu wa wilaya na mkoa linakuja; kama ni msafi atapona, kama hafai atakwenda na maji.
 
Swali dogo kabla ya kuendelea kusoma mkuu. Nimeishia pale kwenye Mbowe ni wa visasi. Je Mbowe ni wa visasi kama jiwe (rip)?
 
Mbona Sabaya anahangaika sana.... atulie tu. Panga la wakuu wa wilaya na mkoa linakuja; kama ni msafi atapona, kama hafai atakwenda na maji.
kikubwa uzima na Dua mkuu 🙏🙏🙏
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

.......................Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.
Mi huwa sijali aliyetumwa ni Malaika au shetani, ujumbe tu unatosha. Thibitisheni ujumbe huu. Ni kweli hiyo hapo juu au hapana? Kama ni kweli nazidi kulaani kwamba ndo maana CHADEMA haitafika mbali kwenye nchi ya makabila 120. Tutaendelea baadaye.
 
Back
Top Bottom