Cum cruce et gradio: Mfahamu Thomas Aquinnas moja kati ya watu wenye akili nyingi aliyewahi kuwepo

Unajua kuna muda kuacha upotevu unaenezwa ni tatizo kubwa sana. Kuna swali nimekuuliza umelikimbia. Hamza Yusuf ni Sufi na anawaita watu katika Usufi, yaani ni mzushi.

Uliza wanafunzi wakiingia katika madarsa katika chuo cha Zaytun wanafanya matendo gani ?

Yeye anasemaje kuhusu kuwafundisha watu somo la Itikadi ? Sasa sisi tunamkataa kwa upotofu wake na si dhati yake. Yaani anapingana na mafundisho sahihi ya Uislamu.

Tukirudi kwa Thomas,kwangu mimi huyu si mtu mwenye akili, sababu alikosa ala za kuujua ukweli kama walivyo kosa kina Aristoto, Plato na Wanafalsafa wengine.
Umewajudge hawa philosophers kwenye miwani ya udini sana mkuu?Kwamba kazi za hawa philosophers zingekuwa za maana kama wangekuwa waislamu siyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom