Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF ameitaka serikali ya rais Kikwete iwajibike.
Akiongea na DW radio amesema jeshi la polisi haliwezi kukaa kando kutokana na kifo cha kijana DAUD MWANGOSI,Amesema askari aliyelipua bomu anatakiwa kufunguliwa kesi ya mauaji mara moja,
vile vile amehoji kulikuwa na haja gani kumshambulia kwa kumpiga virungu mwandishi wa habari wakati anafahamika?
Ameongeza kwamba Polisi walitakiwa kujiuliza mkutano utazuiaje watu kuhesabiwa? kabla ya kutumia nguvu.vile vile kasema wananchi hatuwezi kuendelea na mambo ya kipumbavu yanayofanywa na serikali hii.
Nawasilisha.
Akiongea na DW radio amesema jeshi la polisi haliwezi kukaa kando kutokana na kifo cha kijana DAUD MWANGOSI,Amesema askari aliyelipua bomu anatakiwa kufunguliwa kesi ya mauaji mara moja,
vile vile amehoji kulikuwa na haja gani kumshambulia kwa kumpiga virungu mwandishi wa habari wakati anafahamika?
Ameongeza kwamba Polisi walitakiwa kujiuliza mkutano utazuiaje watu kuhesabiwa? kabla ya kutumia nguvu.vile vile kasema wananchi hatuwezi kuendelea na mambo ya kipumbavu yanayofanywa na serikali hii.
Nawasilisha.