Kama uchaguzi ni gharama kwanini usiwashauri CUF wavunje chama wasiwe wanahangaika na gharama hizi.Kwa hili cuf nawapeni pongezi hamna haja ya kuingia gharama kubwa wakati kushinda ni ngumu
Igunga na uzini ni chaguzi kubwa?hapo ndio sielewi
Kwani yanga b si itaishangilia yanga A? They are Ccm BWamesema watamuunga mkono mgombea wa chama kipi?
CUF imetagaza kutosimamisha mgombea wa kiti cha ubunge arumeru kwa sababu kadhaa kwanza ni kuwa na historia ya kutosimamisha mgombea katika maeneo iliyokuwa ya tatu katika uchaguzi uliopita na pia kukiongezea nguvu chama pinzani chenye nguvu zaidi katika mapambano dhidi ya kukiondosha chama cha mapinduzi. Huu ni mfano wa kuigwa kama kweli watanzania tuna mpango wa kukiondoa chama cha mapinduzi madarakani.