MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Naibu katibu mkuu wa CUF Mtatiro ameongea na waandishi na kutangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo wa Arumeru mashari kwa sababu kwamba wanautaratibu wa kutoshiriki uchaguzi mdogo ambapo walikuwa namba tatu uchaguzi mkuu uliopita.Hata hivyo Mtatiro ametangaza kuwa CUF itaunga mkono chama cha chochote cha upinzani chenye nia ya dhati ya kumsadia mtanzania wa Arumeru.