CUF yatangaza kutoshiriki uchaguzi wa Arumeru Mashariki

MANGI MASTA

Senior Member
Jul 14, 2011
175
56
Naibu katibu mkuu wa CUF Mtatiro ameongea na waandishi na kutangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo wa Arumeru mashari kwa sababu kwamba wanautaratibu wa kutoshiriki uchaguzi mdogo ambapo walikuwa namba tatu uchaguzi mkuu uliopita.Hata hivyo Mtatiro ametangaza kuwa CUF itaunga mkono chama cha chochote cha upinzani chenye nia ya dhati ya kumsadia mtanzania wa Arumeru.
 
Itaunga mkono chama chochote cha upinzani chenye nia ya kweli ya kumkomboa mtanzania;`Picture is so clear with its reality,viva CUF
 
Ni bora na ni busara kutumia akili japo kidogo ktk ku- comment acheni ushabiki wa kitoto someni Alama za nyakati:lol::tongue:
 
Kifo cha CUF kinakaribia, Jussa anatapatapa na maneno yanayoonyesha kuwa maji yanamzidi kimo karibu wanazama.
 
umesoma ukaelewa? Mtatiro kasema wana utaratibu wa kutoshiriki uchaguzi mdogo ikiwa ktk general election walikuwa watatu! Uzini walikuwa wa ngapi?

alisema utaratibu wa kutoshiki ukiwa wa tatu ni kwa bara tu sio zanzibar kutokana na ukubwa wa maeneo ya majimbo hasa bara
 
Back
Top Bottom