JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Tatizo ni CCM!
wameona kuliko kutumia ruzuku kwenye kampeni bora wavimbishie mashavuwanafichama aibu ya Igunga na Uzini. Jussa yuko wapi aliahidi Arumeru ni yao.
Arumeru kule hakuna vikofia kwa mujibu wa Ismail JusaNaibu katibu mkuu wa CUF Mtatiro ameongea na waandishi na kutangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo wa Arumeru mashari kwa sababu kwamba wanautaratibu wa kutoshiriki uchaguzi mdogo ambapo walikuwa namba tatu uchaguzi mkuu uliopita.Hata hivyo Mtatiro ametangaza kuwa CUF itaunga mkono chama cha chochote cha upinzani chenye nia ya dhati ya kumsadia mtanzania wa Arumeru.
mizizi yao ni pale kwenye vikofia ndipo wanapowekeza hii.ni kwa mujibu wa Isamil Jusa...uamuzi wao umezingatia ukweli kuwa hawajafanya jitihada yoyote kuweka mizizi Arusha.
Tunawaomba wafanye hivyo pia ktk uchaguzi mkuu wa rais mwaka 2015.
Hizi chaguzi kila siku zinatugharimu Watz. mamilioni kama sio matrilioni ya shilingi. Ni bora jimbo libaki wazi mpaka uchaguzi mkuu na fedha hizo zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu zaidi. Tunao zaidi ya wabunge 300 wakuhangaikia posho zao tu!
mizizi yao ni pale kwenye vikofia ndipo wanapowekeza hii.ni kwa mujibu wa Isamil Jusa
Naibu katibu mkuu wa CUF Mtatiro ameongea na waandishi na kutangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo wa Arumeru mashari kwa sababu kwamba wanautaratibu wa kutoshiriki uchaguzi mdogo ambapo walikuwa namba tatu uchaguzi mkuu uliopita.Hata hivyo Mtatiro ametangaza kuwa CUF itaunga mkono chama cha chochote cha upinzani chenye nia ya dhati ya kumsadia mtanzania wa Arumeru.
Kama wakiendelea na mtindo huu mwisho watakuwa wanashiriki jimbo waliloshinda tu.alisema utaratibu wa kutoshiki ukiwa wa tatu ni kwa bara tu sio zanzibar kutokana na ukubwa wa maeneo ya majimbo hasa bara
Washachemka!Kama wakiendelea na mtindo huu mwisho watakuwa wanashiriki jimbo waliloshinda tu.
Igunga na uzini ni chaguzi kubwa?hapo ndio sielewi