CUF YAPUKUTIKA MKURANGA

Dalton elijah

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
207
453
.
Wanachama wa CUF 290 katika Kata ya Mwandege Mkuranga wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Kata Hassan Mnamba na aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum Salma Rashid wamekihama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Makamu Mwenyekiti Dorothy Semu
 
CUF ilikuwa ya maalim seif sharif hamad, hii ya sasa hata ukiitishwa uchaguzi mkuu kesho itaambulia patupu, waipishe ACT wazalendo itamalaki. CCM ndiyo baba lao CHADEMA ijifunze
 
Back
Top Bottom