X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Ujui kuwa unatoka nje ya mada? Usije sababisha topic kufungiwa hii...ooh!Come on X-Paster,
Sasa tukirudi kwenye swali letu (if we may), sabato ni jumamosi au jumapili?
Ujui kuwa unatoka nje ya mada? Usije sababisha topic kufungiwa hii...ooh!Come on X-Paster,
Sasa tukirudi kwenye swali letu (if we may), sabato ni jumamosi au jumapili?
.Sio wako ok na ufisadi, ni kuwa wameufaidi huo ufisadi wa ccm, kwani nasikia mmoja wa wafadhili wao wakubwa ni RA
Ujui kuwa unatoka nje ya mada? Usije sababisha topic kufungiwa hii...ooh!
.
sio RA kwa CUF tu bali mmoja wa wafadhili wa chadema ni Sabodo wa CCM na chadema wanafaidi pia
sina swaliKuna mtu kaanguka jukwaani au Lipumba hakufunga.
Aliye anza na mada ya udini unamuogopa?Wewe ndiye umeyaleta hayo ya sabato ... ulikuwa unataka mada kufungiwa? Mujahidini bana
Aliye anza na mada ya udini unamuogopa?
Wewe ulipojibu swali ni wapi?Mbona hujibu swali unaloulizwa?
Wewe ulipojibu swali ni wapi?
CUF wako ki-CCM - CCMNaona wengine watakuwa kidongo chekundu ila ki mwelekeo JF imekaa kichadema chadema tu ngoja kesho wakizindua utaona thread zitakavyogongana
Aliye anza mada ya udini na kueleza kuwa chama cha C.U.F (Japo mimi si shabiki wa CUF) kimefungua campain zake siku ya ijumaa ni wadini, ukutaka hata kumuuliza zaidi ya kumuunga mkono.Nasubiria bado kuulizwa swali.
Labda tuanze upya, nitauliza swali langu na wewe utauliza la kwako.
Umesema kuwa chadema wanazindua kampeni siku ya sabato, je siku ya sabato ni jumamosi au jumapili?
Inategemea na mtizamo wako wa kiimani.....je siku ya sabato ni jumamosi au jumapili?
Inategemea na mtizamo wako wa kiimani.
Swali gani limeshindikana kujibika?Inaonekana kuwa hili swali hutalijibu kwa leo. Ningekushauri urudi shule ukasome mazee.
Swali gani limeshindikana kujibika?
Hero
Join Date Fri Aug 2010Posts 32
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Mkuu wangu Hero,
Unajua nilikuwa nimesahau kukukaribisha jamvini. Class ya August 2010. Karibu sana.