[h=3]Mgombea Urais CCM Dk.John Magufuli akipokea kadi za wanachama wa CUF baada ya kujiunga na CCM Tunduru[/h]
[h=3]Mgombea Urais CCM Dk.John Magufuli akipokea kadi za wanachama wa CUF baada ya kujiunga na CCM Tunduru[/h]
Wenye akili walisha mwelewa Fisadi na hawana shida na fedha za kifisadi. Mtaisoma NambaWengine wanaficha nyuso maana dhamiri zinawasuta..!
Endelea kufuata mkumbo na kujiliwaza. Watu wanaingia CCM kila sekunde.CCM wanapenda kampeni za maigizo.
Hapo akimaliza kupokea hizi kadi feki anapanda shilole kukata viuno. Akimaliza magufuli anaimba alimselema na kufunga mkutano.