Mimi nilishangaa kumwona myaa wakati mbungeni nilimsikia kwa masikio yangu anasema. Serikali imeleta mswada mzuri hauna matatizo, wapinzani wanapotosha, lisu amewatukana wanzanzibar. Akampongeza kikwete na serikali kwa mbwembwe zote. Jana namwona ikulu amepeleka mapendekezo. Sasa najiuliza hivi myaa amekuwaje au ndo bendera fuata upepo, ama kweli cuf ni ccm b na itakuwa vigumu kujinasua.
Mnyaa angekuwa na uwezo angeifuta Tanzania bara kwenye ramani ya dunia!