ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,853
Si afe tu,kwani atakua wa kwanza kufa,mbona kipenzi chetu nyerere kafa na watu tuko kimya?
Ni kweli kufa ni haki ya kila mwanadamu, akifa ndio kafa huyo. Lakini Nyerere ni kipenzi chako na familia yako na wengine kama wewe. Sio kipenzi wa kila Mtanzania. Kama ulilia na kusikitika kwa kifo chake basi ni wewe peke yako. Wengine hata hatukusikitika