Kumbe Cuf wanamtambua magufuli,na wameitambua kasi yake kuwa ni nzuri,asante Jussa
Kuna siku walisema hawamtambui JPM?ila mimi najua hawamtambui Shen
Kumbe Cuf wanamtambua magufuli,na wameitambua kasi yake kuwa ni nzuri,asante Jussa
Itatoweka hukohuko visawani huku kwetu bara swariKwanza tu imenistuka sana! Hawa watu hawana aibu tusishangae lakn kwa kweli utakuwa mwisho wa amani Tz.
Huyu Maalim si wa kumuamini sana.
Baada ya kuona mkakati wao wa kurudia uchaguzi kule Zanzibar umebuma, hao jamaa wanekuja na 'mkakati' huu mwingine wa kuvumisha kuwa mshindi huyo wa kiti cha Urais huko Zanzibar hatunaye tena hapa duniani.
Itabidi TCRA wawatie nguvuni haraka iwezakanavyo hao waliovumisha uvumi huo, wasiishiage tu kuwakamata akina Yericko..........
Usiufunge, nionyeshe kwanza ni wapi Magufuli anahusika kwenye mambo ya ZEC tuendelee na mambo mengine. Hiyo sheria ya mtandao wala usiwe na wasiwasi nayo kama una uhakika na unachokiandika.Yanayoingiliwa huko si la uchaguzi wa mwaka huu pekee.
Unafahamu asili ya muungano wenyewe?
Unafahamu yaliyotokea katika matokeo ya chaguzi zote tangia vyama vingi vianze?
Yalikuwa yapi? Na ilikuwaje?
Kwa taarifa yako tu ni kuwa kuna watu 'wana-influance', haikutokea mara moja, si mara mbili wala tatu.
Nakuomba usinitie majaribu niende 'in deep', -Nikasughulikiwa na sheria ya mtandao.
Sitaki kuamini kuwa hujui.
-NIMEFUNGA MJADALA-
Ukawa. Ndo. Mabingwaa. Wa kusambaza. Izo. Taarifa. Mfano. Mkuu wa majeshi. Kafa. Mkapa. Amekufa.
Kuna tofauti kati ya ujinga na upumbavu, huyu au hawa waliotoa taarifa hii ni wapumbavu kwasababu wanaujua ukweli, lakin wangekuwa wajinga ingewezekana pengine kufanya makusudi au bahati mbaya, kama lengo lao maalim Seif afe kwanza watatangulia wao maana haya mengine ni ya Mungu sio ya mafatani.
Chama cha Wananchi CUF kimekanusha taarifa za kifo cha Maalim Seif ambazo zilianza kusambaa tangu jana jioni kwamba kiongozi huo amefariki dunia
Jussa Ismail Jussa, amesema taarifa hizo sio za kweli. Pia amezungumzia hali ya kisiasa mjini Zanzibar kwamba kwa sasa hali si shwari.
Chama cha Wananchi CUF kimekanusha taarifa za kifo cha Maalim Seif ambazo zilianza kusambaa tangu jana jioni kwamba kiongozi huo amefariki dunia
Jussa Ismail Jussa, amesema taarifa hizo sio za kweli. Pia amezungumzia hali ya kisiasa mjini Zanzibar kwamba kwa sasa hali si shwari.
Usiufunge, nionyeshe kwanza ni wapi Magufuli anahusika kwenye mambo ya ZEC tuendelee na mambo mengine. Hiyo sheria ya mtandao wala usiwe na wasiwasi nayo kama una uhakika na unachokiandika.
Mkuu vipi bana?Masuala ya uchaguzi Zanzibar yapo chini ya ZEC, chombo ambacho hakipo chini ya muungano na Magufuli hana mamlaka nacho. Narudia tena, ni mambo yao na wayamalize wenyewe. Sisi kwetu tumetimiza wajibu wa kulikata fisadi na kazi inaendelea.
Jaribu kutumia kilicho kichwani mwako efficiently hata kama ni kamasi.
TCRA wametoa tamko gani??
Kumbe Cuf wanamtambua magufuli,na wameitambua kasi yake kuwa ni nzuri,asante Jussa
Zanzibar ni nchi kama mnavyoimba kila siku. Yamalizeni wenyewe ya nchi yenu.
Link1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ni-kuikosesha-tanzania-tril-1-2-za-mcc-2.htmlmambo ya zanzibar yatamalizwa na wazanzibar wenyewe...
Baada ya kuona mkakati wao wa kurudia uchaguzi kule Zanzibar umebuma, hao jamaa wanekuja na 'mkakati' huu mwingine wa kuvumisha kuwa mshindi huyo wa kiti cha Urais huko Zanzibar hatunaye tena hapa duniani.
Itabidi TCRA wawatie nguvuni haraka iwezakanavyo hao waliovumisha uvumi huo, wasiishiage tu kuwakamata akina Yericko..........
Chama cha Majipu...ambayo yanatumbuliwa lakini hayana dawa yakuponesha madonda