ALIYEKUWA kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge lililopita, Hamad Rashid Mohamed amewashambulia viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuwataka wawe na msimamo na wafanye uamuzi kisiasa kama watu wazima.
Hamad amewatuhumu Chadema kuwa wabaguzi kwa kuwa walitaka kushirikiana na Chama Cha Wananchi (CUF) kuunda kambi hiyo lakini walidhamiria kuvitenga vyama vingine ya upinzani.
Mbunge huyo wa Wawi (CUF) alimewaeleza waandishi wa habari mjini Dodoma kuwa, wao (CUF) hawana shida ya vyeo kwa kuwa waliwahi kuwa na madaraka makubwa kuliko ya kwenye hiyo kambi ya upinzani bungeni.
Amewataka viongozi wa Chadema wawe matured na watambue pia gharama za kisiasa za kutomtambua Rais Jakaya Kikwete.
Kwa mujibu wa Hamad, CUF wana msimamo, waliwahi kufanya uamuzi mgumu na wakautekeleza hivyo Chadema wajifunze kwao (CUF).
Alisema, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alimfuata akamueleza nia ya kushirikiana na CUF kuunda kambi ya upinzani bungeni lakini kwa kuvitenga vyama vingine vyenye wabunge katika Bunge hilo.
Hamad amesema, alikataa wazo la Mbowe na akampa ushauri ambao hadi sasa hajautekeleza.
Mwanasiasa huyo amesema, CUF wanataka kambi ya upinzani bungeni ushirikishe vyama vyote vya upinzani, Chadema hawataki.
Hamad amesema, viongozi wa Chadema wamemkwaza Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, hivyo waende wakazungumze nao wayamalize.
Source: Basil Msongo,HabariLeo ,Dodoma; Tarehe: 18th November 2010
Jazba zote hizi kuhusiana na hii mada hazina tija kwa Chadema.
Matokeao ya viongozi wa chama kuwa hostile kwa vyama vingine vyote (CCM, CUF, NCCR, TLP) si mazuri.
Very soon tutaanza kujiuliza tulidondokea wapi?...
Kwa mwenendo huu.... I'm afraid our dear Chadema is heading into a ditch..... take my word.
View attachment 17250View attachment 17251
Hivi na CHADEMA Walipokuwa wanakampeni kama wakipewa ridhaa kuongoza wataunda serikali ya umoja au sura ya kitaifa walikuwa wanamaanisha nini?Na je hiyo serikali wangeiunda na watu kutoka vyama gani?
Ingawa Chadema hawamtambui Kikwete , tangu Bunge la 10 lilipoanza vikao, wabunge wa chama hicho wamekuwa wakihudhuria vikao hivyo, Rais wa Tanzania ni sehemu ya Bunge.
Nimecheka sana, Yaani sasa malengo ya CUF yanaanza kuwa crystal clear. Yaani CUF ndo wanawaonya Chadema kuwa kuna madhara ya kutomtambua rais aliyetangazwa na tume? CUF ambao wamemkataa karume kule Zanzibar hadi juzi juzi tu baada ya kurushiwa peremende? Sasa CUF wanaanza rasmi kuifanya kazi ya CCM ya kuishauri Chadema imtambue rais!!
Sasa iwe wazi, kwa wale wote waliokuwa wakiamini kuwa CUF inaweza ikawa mpinzani bara wakati Zanzibar wako serikalini, kuwa hilo halipo. Na anayesema CUF na Chadema wanaweza kuunda kambi ya upinzani haitakii mema kambi hiyo na pengine haoni haja ya kuwa na kambi ya upinzani. Na kusema kweli ni CCM pekee anayeweza kuona hilo la CUF kuungana na Chadema kwenye kambi ya upinzani ni jambo jema.
CUF walikuwa wanashirikishwa. Sasa huo usemaji wa vyama vingine CUF wamepewa lini? Yaani CUF wanaambiwa karibuni tuunde kambi ya upinzani, lakini wao wanasema ili sisi tuje inabidi na NCCR, UDP na TLP wawemo!! Si TLP, UDP wala NCCR waliokwishasema kuwa wanataka kuingia kwenye hiyo kambi. Sasa CUF wamepataje hiyo 'authority' ya kuvisemea hivyo vyama vingine??
CUF ni moja na CCM ni moja, kule Zanzibar na huku bara pia! Ni kujilisha upepo kuamini kuwa CUF na CCM sasa hivi watatofautiana kwa lolote, nasema ni kujilisha upepo. Sasa hivi wao, lao moja, nalo ni kuona kuwa ajenda za serikali zao zinapita bila kupigiwa kelele na yeyote.
huo kama sio umbea maana yake nini? Anongea wanaume wawili mambo ya kitaifa wewe unayatoa hadaharani.aliyekuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni katika bunge lililopita, hamad rashid mohamed amewashambulia viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kwa kuwataka wawe na msimamo na wafanye uamuzi kisiasa kama watu wazima.
Hamad amewatuhumu chadema kuwa wabaguzi kwa kuwa walitaka kushirikiana na chama cha wananchi (cuf) kuunda kambi hiyo lakini walidhamiria kuvitenga vyama vingine ya upinzani.
Mbunge huyo wa wawi (cuf) alimewaeleza waandishi wa habari mjini dodoma kuwa, wao (cuf) hawana shida ya vyeo kwa kuwa waliwahi kuwa na madaraka makubwa kuliko ya kwenye hiyo kambi ya upinzani bungeni.
Amewataka viongozi wa chadema wawe matured na watambue pia gharama za kisiasa za kutomtambua rais jakaya kikwete.
Kwa mujibu wa hamad, cuf wana msimamo, waliwahi kufanya uamuzi mgumu na wakautekeleza hivyo chadema wajifunze kwao (cuf).
Alisema, mwenyekiti wa chadema, freeman mbowe, alimfuata akamueleza nia ya kushirikiana na cuf kuunda kambi ya upinzani bungeni lakini kwa kuvitenga vyama vingine vyenye wabunge katika bunge hilo.
Hamad amesema, alikataa wazo la mbowe na akampa ushauri ambao hadi sasa hajautekeleza.
Mwanasiasa huyo amesema, cuf wanataka kambi ya upinzani bungeni ushirikishe vyama vyote vya upinzani, chadema hawataki.
Hamad amesema, viongozi wa chadema wamemkwaza mwenyekiti wa nccr mageuzi, james mbatia na mwenyekiti wa cuf, profesa ibrahim lipumba, hivyo waende wakazungumze nao wayamalize.
Source: Basil msongo,habarileo ,dodoma; tarehe: 18th november 2010
Hivi na CHADEMA Walipokuwa wanakampeni kama wakipewa ridhaa kuongoza wataunda serikali ya umoja au sura ya kitaifa walikuwa wanamaanisha nini?Na je hiyo serikali wangeiunda na watu kutoka vyama gani?
Jazba zote hizi kuhusiana na hii mada hazina tija kwa Chadema.
Matokeao ya viongozi wa chama kuwa hostile kwa vyama vingine vyote (CCM, CUF, NCCR, TLP) si mazuri.
Very soon tutaanza kujiuliza tulidondokea wapi?...
Kwa mwenendo huu.... I'm afraid our dear Chadema is heading into a ditch..... take my word.
View attachment 17250View attachment 17251
Chadema should start learning to live their newly found "premium" status.
Kwa sababu they are on their way up, it can't please the likes of CUF - which is natural.
Nitawashangaa sana Chadema kama wata-yield kwa shinikizo zinazokuja sasa eti kujenga alliance ya upinzani. Upinzani upi if I may ask?
Baadhi yetu tuli-advocate sana alliance huko siku za nyuma but.....
It's now too late for Chadema kuangalia nyuma - nawaambia mtageuka jiwe!
You are now on your own folks and all what you have to do now is continue strengthening the position you have decided to take. Your supporters (didn't say members) are probably going to be divided around it but I think you should stick to what you have decided to pursue - mkikubali kuyumbishwa tu, your party's credibility will find itself amongst that sewer stuff!!
Wakuu zangu hili sio swala la kupuuza hata kidogo. Chadema acheni uchu wa madaraka kuunda kambi ya Upinzani na haitawasaidia chochote zaidi ya kujenga fitna zaidi.
Kweli kabisa Chadema kulingana na katiba inayo haki ya kufanya kila kitu watakavyo isipokuwa mjue tu kinachozungumziwa zaidi na katiba ni jinsi ya kumpata kiongozi wa kambi hiyo ya Upinzani, kuliko uundwaji wa kambi yenyewe.
Vipengele vyote vinazungumzia nani atakuwa kiongozi wa kambi hiyo lakini haikatazi chama kuunda umoja na vyama vingine kwani maana ya kuunda kambi hiyo ni kutoa fursa kwa vyama vingine vipate nafasi ya kuzungumzia hoja walizokuwa nazo dhidi ya chama tawala. Kinyume cha vyama hivyo havitakuwa na nafasi hiyo isipokuwa kuuliza maswali ya nyongeza tu.
Leo hii wakuu zangu nimeamka vibaya na hakika sipendi kuzungumza mengi isipokuwa nasema Mkuu wangu Mbowe, ile tabia ya kuwatumia watu kisha ukawaacha mataani iache.. sii nzuri hata kidogo na wala sii uungwana kwa sababu siasa sio biashara ni maelewano ambayo yanahitaji uaminifu na makubaliano ambayo hayawezi vunjika mara tu unapofanikiwa na kutaka kuvuta asilimia yote 100 wewe.
Hizi tabia za kusema CUF wana wivu ni tabia za kishenzi tu, ni tabia zisizokuwa na shukranii kutofikiria ulitoka wapi na leo umefika wapi ukasahau kwamba pasipo ushirikiano wa mwenzako pengine usingefika hapo ulipo. Alichozungumza Rashid ndiyo hali halisi na sioni sababu kwa nini watu mlitaka afiche halki ndicho kilichotokea hadi kutokuwepo ushirikiano baina ya vyama kuunda kambi ya Upinzani. sasa kama Chadema mnafikria mnaweza kwenda solo baada ya mafanikio mloyapata uchaguzi huu, sawa endeleeni kufurahia matunda hayo lakini amini maneno yangu malipo yake yatakuja jitokeza muda sii mrefu... Itakula kwenu.
Wakuu zangu hili sio swala la kupuuza hata kidogo. Chadema acheni uchu wa madaraka kuunda kambi ya Upinzani na haitawasaidia chochote zaidi ya kujenga fitna zaidi.
Kweli kabisa Chadema kulingana na katiba inayo haki ya kufanya kila kitu watakavyo isipokuwa mjue tu kinachozungumziwa zaidi na katiba ni jinsi ya kumpata kiongozi wa kambi hiyo ya Upinzani, kuliko uundwaji wa kambi yenyewe.
Vipengele vyote vinazungumzia nani atakuwa kiongozi wa kambi hiyo lakini haikatazi chama kuunda umoja na vyama vingine kwani maana ya kuunda kambi hiyo ni kutoa fursa kwa vyama vingine vipate nafasi ya kuzungumzia hoja walizokuwa nazo dhidi ya chama tawala. Kinyume cha vyama hivyo havitakuwa na nafasi hiyo isipokuwa kuuliza maswali ya nyongeza tu.
Leo hii wakuu zangu nimeamka vibaya na hakika sipendi kuzungumza mengi isipokuwa nasema Mkuu wangu Mbowe, ile tabia ya kuwatumia watu kisha ukawaacha mataani iache.. sii nzuri hata kidogo na wala sii uungwana kwa sababu siasa sio biashara ni maelewano ambayo yanahitaji uaminifu na makubaliano ambayo hayawezi vunjika mara tu unapofanikiwa na kutaka kuvuta asilimia yote 100 wewe.
Hizi tabia za kusema CUF wana wivu ni tabia za kishenzi tu, ni tabia zisizokuwa na shukranii kutofikiria ulitoka wapi na leo umefika wapi ukasahau kwamba pasipo ushirikiano wa mwenzako pengine usingefika hapo ulipo. Alichozungumza Rashid ndiyo hali halisi na sioni sababu kwa nini watu mlitaka afiche hali ndicho kilichotokea hadi kutokuwepo ushirikiano baina ya vyama kuunda kambi ya Upinzani. Sasa kama Chadema mnafikria mnaweza kwenda solo baada ya mafanikio mloyapata uchaguzi huu, sawa endeleeni kufurahia matunda hayo lakini amini maneno yangu malipo yake yatakuja jitokeza muda sii mrefu... Itakula kwenu.
tusiwe blinds kwenye hili... Lazima tuelewe ukweli kabla ya kudhani CUF hawana point
Much as we seek for changes, it has to be very systematic and sophisticated... nadhani kuna haja ya CHADEMA ku-take things slow and cut off drama ili wajipange upya, including kujenga kambi ya upinzani
Nakumbuka niliuliza kuhusu kambi ya upinzani, nikaambiwa kwamba CHADEMA ndio walikua na haki ya kufanya, lakini naamini kama wangeamau kukaribisha wapinzani wote, hilo lingeleta maana zaidi na ile courtesy ingezaa imani ndani ya upinzani
Najifunza hayo masiasa because i am for changes lakini nadhani kuna tatizo kidogo... haiwezekani wewe tu ndio uchukiwe na kila mtu
Having said that, nashauri wakuu chadema wakae chini na wa-shut down media for three months kupunguza impurities and reach out to wapinzani ili kujenga upya upinzani
Mbona CCM na CUF kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hawakuvishirikisha vyama vingine? Sasa iweje leo walete hoja ya kuvikusanya vyama vyote? Yaani CCM na CUF ni haki kufanya waliyoyafanya Zanzibar ila Chadema ni haramu kufanya hivyo bara?
Mbona CCM na CUF kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hawakuvishirikisha vyama vingine? Sasa iweje leo walete hoja ya kuvikusanya vyama vyote? Yaani CCM na CUF ni haki kufanya waliyoyafanya Zanzibar ila Chadema ni haramu kufanya hivyo bara?