CUF na Operesheni "Zinduka"

Hapa mimi ndio ninapochoka na kukataa tamaa, hawa wapinzani wanavyoanza kumalizana. Bad enough at this crucial time, jamani wazalendo wakowapi ????
 
Badilishenini kichwa cha habari kiwe CUF wazinduka na ujinga wa aina ya pekee-am start doubting profs IQ
 
Hivi hizi siasa za tanzania zinaendaje au zimekaaje, iweje watu wako kwenye upinzani na wakiona vyama vyao havina tena uwezo ule au umaarufu waliokuwanao wa kupingana na ccm, wanaanza kuchafuana wao kwa wao
tulianza na lamwai, akaja hiza, lyatonga nae akaingia kwenye mkumbo sasa mzee wa pumba ndio hivyo tena, lakini uzuri wa haya mambo ukiwa mtafiti utajua outcomes zake ni nini? Maana wote waliokuwa na kelele za kuviua vyama vya upinzani mwisho wao unajulikana kwa maana hiyo mwisho wa lipumba unajulikana na kila mtu humu jf
huu sasa ndio wakati nzuri wa chadema kujipanga vizuri na kuwajua wapinzani wa kweli ni kina nani, na kwa upande wa watanzania pia ni mchakato mzuri wa kujua chama cha kweli katika upinzani ni kipi,
 
Someni katika gazeti la MWanahalisi la Leo utaona kwanini Lipumba ameshindwa uongozi ndani ya Chama Chake na tena mtu aliyeandika ni Silva Rwenyemamu kuhusu Lipumba hivyo huyu jamaa inabidi akae chini
 
kama Lipumba amekuwa PUMBA ajiuze kwa wauza komoni, maana amekosa cha kusema. tena yeye ni fisadi mbaya zaidi anapandikiza chuki kwa watoto wetu wakati anakula hela ya serikali na CCM pia. yawezekana CUF nayo ni CCM-C
 
Kila chama kina udhaifu wake CHADEMA hawana Mwenyekiti tu wengine safi.
Pr.Lipumba kasema kweli kuhusu mafisadi nyangumi watu kutumia vyombo vyao kwa manufaa yao wenyewe.
 
Yeye awajibu Watanzania kwanini Chama cha CUF hakina Mbunge hata mmoja huku bara?? Pia ni kwanini mara zote ameshindwa hata kupata asilimia 10 ya kura zote za urais Tanzania??
 
CUF yazinduka na siri nzito

Hiki kichwa cha habari kinapotosha au kinaunga mkono shutma za CUF. Tunapoyaita hayo madai ni 'siri' tunamaanisha yana ukweli. Natoa wito mods mbadilishe heading. napendekeza kiwe 'CUF yazinduka na shutma nzito'.
 
HA HA HA!!! Tulivosema chadema ni ccm-b tukakataliwa sasa mambo hadharani,, JAMANI Jf ni ya nani na inaongozwa na nani kama si watu wa ccm-b wakishirikiana na chadema? au mnataka tulipue humu,juzi iliekwa habari ya WANGWE ipo wapi? jamani chadema si ndo hawa waliwageuka cuf,nao cuf wakavumilia? jamani chadema si ndo hawa waliwacheza rafu wenzao wa TLP,mpaka TLP ikaja juu? jamani jamani mifano mingapi tumetoa humu kuhusu chadema? jamani chadema si ndo hawa wanaowafuata wagombea wa cuf kuwarubuni? jamani si ndo hawa chadema walikuwa wakigawa pesa kule busanda na mpaka baadhi waandishi wakavuta mzigo? pesa wamezipata wapi kama si kwa RA na MENGI? JAMANI jamani hawa ndo walosema upepo umebadilika? JAMANI CHACHA WANGWE YUPO WAPI? jamani jamani nani tunamjua Mbowe? Basi bora tumpe urais Bw Mengi,maana huyu alituletea picha za vita za nchi jirani wakati ule wa uchaguzi wa kwanza,basi bora tumpe urais Mengi,maana huyu alikuwa akimuonesha kwenye tv yake kila mara bwana mahita huku ameshika kisu kina rangi ya Cuf na kusema cuf ni chama cha kigaidi,kila wakati ilikuwa inaoneshwa kwenye ITV wakati wa uchaguzi,jamani bora basi tumpeni urais bw Mengi,maana uchaguzi wa 2005 alipeleka watu wake buguruni kwa cuf na kuwapiga waandishi wake mwenyewe na kukisingizia chama cha Cuf, duh! kumbe huyu mengi anaichukia cuf zamani saana,aa sijajua kumbe ni wale wale ccm-b,jamani sasa Fisadi papa na na Fisadi nyangumi wanaanda kitu chengine kikubwa kuisingizia cuf wakishirikiana na Chadema,cuf tayari wamewashtukia, haya walotekwa akili sijui mafisadi,sijui chadema,sijui ccm poleni wote hao ni wamoja lengo lao ni kuumaliza upinzani na hasa wakiona kichwa kama HIchi LIPUMBA kinathaminiwa dunia nzima, sasa wanafanya ya kufanya huko pemba,wamepeleka majeshi utafkiri iraq,na wameapa hata kama waue watu wote lkn cuf nchi wasiipate lkn hawakumbuki kuwa wanapanga mipango yao lkn na Mungu anapanga mipango yake.. JAMANI TUYAONE. Chadema wajibu tuhuma zilotolewa,hatutaki bla bla,muhimu wajibu tuhuma ili tuwaamini...
 
Yeye awajibu Watanzania kwanini Chama cha CUF hakina Mbunge hata mmoja huku bara?? Pia ni kwanini mara zote ameshindwa hata kupata asilimia 10 ya kura zote za urais Tanzania??
[/QUOTE]


Labda unamzungumzia Freeman Mbowe, kama Lipumba amekuwa akipata zaidi ya hizo asilimia


[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]29 October 2000 Presidential Election[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Registered Voters[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]10,088,484[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Total Votes (Voter Turnout)[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif] 8,517,598 (84.4%)[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Invalid/Blank Votes [/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif] 345,314[/FONT][FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Total Valid Votes[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif] 8,172,284[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica][FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Candidate (Party)[/FONT][/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Number of Votes[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]% of Votes[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Benjamin Mkapa (CCM)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]5,863,201[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]71.74%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Ibrahim Lipumba (CUF)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]1,329,077[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]16.26%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Augustine Mrema (TLP)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]637,115[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]7.80%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]John Cheyo (UDP)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]342,891[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]4.20%[/FONT]​


[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]29 October 2000 National Assembly Election[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica][FONT=Courier New,Courier,monospace]Registered Voters
10,088,484
Total Votes (Voter Turnout)
Not Available (N/A)
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica][FONT=Arial,Helvetica][FONT=Arial,Helvetica][FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Party[/FONT][/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Number of Seats
231 (295)*
[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Chama Cha Mapinduzi (CCM)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]202 (258)[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Civic United Front (CUF)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]17 (22)[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Tanzania Labour Party (TLP)
[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]04 (05)[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]04 (05)[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]United Democratic Party (UDP)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]03 (04)[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]National Convention for Construction and Reform-Mageuzi (NCCR-Mageuzi)
[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]01 (01)[/FONT]​
[/FONT][/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]*231 members are directly elected; The figures in parentheses reflect the distribution of seats when both the directly and indirectly elected seats are combined.[/FONT]

[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]14 December 2005 Presidential Election [/FONT][FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif][Results by Region][/FONT]
[FONT=Courier New,Courier,monospace][FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Registered Voters
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]16,401,694[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Total Votes (Voter Turnout)[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]11,875,927 (72.4%)[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Invalid/Blank Votes [/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif] 510,450[/FONT][FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]Total Valid Votes[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica,sans-serif]11,365,477[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Candidate (Party)
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Number of Votes [/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]% of Votes[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Jakaya Kikwete (CCM)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]9,123,952[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]80.28%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Ibrahim Lipumba (CUF)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]1,327,125[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]11.68%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Freeman Mbowe (CHADEMA)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]668,756[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]5.88%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Augustine Mrema (TLP)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]84,901[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.75%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Sengondo Mvungi (NCCR-Mageuzi)*[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]55,819[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.49%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Christopher Mtikila (DP)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]31,083[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.27%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Emmanuel Makaidi (NLD)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]21,574[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.19%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Anna Senkoro (PPT-Maendeleo)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]18,783[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.17%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Leonard Shayo (MAKINI)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]17,070[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.15%[/FONT]​
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Paul Kyara (SAU)[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]16,414[/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]0.14%[/FONT]​
[/FONT][/FONT][/FONT]
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]*Sengondo Mvungi was also supported by the Forum for Restoration of Democracy (FORD), National Reconstruction Alliance (NRA), Union for Multiparty Democracy (UMD), and United People’s Democratic Party (UPDP). [/FONT]
[/FONT]
 
Chadema tunahitaji mjibu tuhuma ili tuwachague ,mambo ya kumsakama Lipumba hayatawasaidia kitu ,niliwahi kuwambia tabia ya kumsakama mtu mmoja mmoja itawashinda na kuwawacha mkihema ,CUP imepiga mzinga na kuvuriga kichwa cha CCM kama haikutosha ukapigwa mzinga mwengine ambao umeangukia CHADEMA ,habari za ndani kutoka huko ni kwamba uongozi wa CHADEMA umevurugwa vibaya sana na sasa kuna kutafutana ni nani alitoa sehemu waliyokuwa wamejificha CHADEMA ,viongozi wa Chadema kwa sasa hawatambuani na wale wanaokodolea macho nafasi kuu za Chama hicho wameanza harakati za chini kwa chini ili kukinusuru Chama na ule mtizamano wa mwanzo haupo tena kila mmoja anamtazama mwenziwe kwa jicho lililokakamaa.

Jamani picha cha zinduka huko Jijini Mwanza tuwekeeni hapa msione soo.
 
Yeye awajibu Watanzania kwanini Chama cha CUF hakina Mbunge hata mmoja huku bara?? Pia ni kwanini mara zote ameshindwa hata kupata asilimia 10 ya kura zote za urais Tanzania??
[/QUOTE]


Labda unamzungumzia Freeman Mbowe, kama Lipumba amekuwa akipata zaidi ya hizo asilimia
Ukweli unabaki pale pale kuwa Lipumba aje na kujibu kwanini hawana mbunge hata mmoja?? Je ni kwanini ameshindwa kuongoza Chama hicho na mikakati Imara?? Je ni kwanini ameshindwa au kupunguza idadi ya Madiwani toka mwaka 200-2005, ukilinganisha kwa makini na minendo ya vyama hapa Tanzania utaona umarufu wa CUF umepungua sana
 
Back
Top Bottom