Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Wacha wakanyagane maana vizuri ili tupate viongozi wazuri...wasipolumbana tutatoa CCM (mafisadi) tutaingiza "Nyangumi" bora ipi??? for the sake of national interest wacha walumbane tena afadhali wameanza mapema kabla ya uchaguzi .....Kweli hata mimi nashangaa sana kusikia maneno kama haya, Hata hiyo operation Zinduka ni kuiga tu kwa CHADEMa ambao walianza muda mwingi, kwanza aje na kuomba samahani kwa Watanzani kwa kupoteza kodi za wananchi Watanzania na pia muda kwa ajili ya mwafaka na pia nyinyi Ndugu zangu mtaona wenyewe baada ya uchaguzi wataanzisha MWafaka 5 na 6 na 7 ni ulaji hakuna jipya juu ya CUF bara, Walipoteza hata jimbo la TEMEKE, Bukoba na kule maswa sijui, Maana inatia shaka msimamo wa huyu jamaa au ndio kwa ajili wanatoka sehemu moja na wakina RA?? CUF mkitaka kupata watu acha kuwasema CHADEMA na Pia Lipumba ni mmoja wa JF aje kusoma humo ndani alama za nyakati juu ya hilo