CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

Ni kwa sababu maprofesa na wasomi ndio wapiga madili na wezi....CHADEMA NA CUF VINASIMAMIWA KATIKA MISINGI AMBAYO HUWEZI KUPIGA DILI WALA KUIBA HATA BENDERA YA CHAMA KAMA UKIGUNDULIKA KUWA UNAPIGA DILI NI HAKUNA MSALIE MTUME ZAIDI YA KUSHUGHILIKWA....na kutimuliwa....TOFAUTI NA HUKO WANAKOKIMBILIA AMBAKO KUPIGA DILI NI MOJA YA KIPENGELE CHA KATIBA YAO NA KULINDANA NI UTAMADUNI WAO.....
 
Ukitaka kutetea haki uwe upinzani ukitaka cheo na hela za dezo ccm kama unabisha muulize kigwangala amefanya mgomo na kudai haki leo amekua kiongozi wa wizar hiyo atakuongelea iyo dai lake amesaau sasa akipewa uprof atafanya ya uccm tu akuna jipya kesho utasikia chenge ametunikiwa uprof kama mkwere atushangai ni cv tu na si utendaji mana ni zero kabs
 
Maprofesa ni watu makini wanaopenda vyama makini.CUF ina mwanachama mmoja tu ambaye ni Profesa naye ni Profesa Lipumba ingawa si full profesa.CHADEMA pia kina mwanachama mmoja tu ambaye ni profesa naye ni Profesa BAREGU.

CCM ina maprofesa kibao list yao haitoshi kujaza jamii forums.

Maprofesa baada ya kutafakari kwa kina naona wamegundua ubabaishaji kwenye hivyo vyama.

Kukosa maprofesa wengi kwenye chama kuna madhara makubwa.Mojawapo ni hili la meya wa Dar es salaam ambaye ni meya pia wa kusimamia vyuo vikuu kama Dar es salaam.

Kwa mara ya kwanza toka tanzania ipate uhuru Dar es salaam imepata meya mwenye kiwango kidogo cha elimu kuliko meya yoyote aliyewahi kuweko dar es salaam.Ni aibu kwa CHADEMA
maprof. si watendaji ni watu wa vitabu zaidi na maisha si vitabu percee
JPM anawapa nafasi kibao hao maprof. sasa ni wakati wao kuudhihirishia umma wanaweza na si kukimbilia siasa. wabaki wanawapika vijana wetu vyuoni na nafasi watapewa kama sasa.
 
Maprofesa ni watu makini wanaopenda vyama makini.CUF ina mwanachama mmoja tu ambaye ni Profesa naye ni Profesa Lipumba ingawa si full profesa.CHADEMA pia kina mwanachama mmoja tu ambaye ni profesa naye ni Profesa BAREGU.

CCM ina maprofesa kibao list yao haitoshi kujaza jamii forums.

Maprofesa baada ya kutafakari kwa kina naona wamegundua ubabaishaji kwenye hivyo vyama.

Kukosa maprofesa wengi kwenye chama kuna madhara makubwa.Mojawapo ni hili la meya wa Dar es salaam ambaye ni meya pia wa kusimamia vyuo vikuu kama Dar es salaam.

Kwa mara ya kwanza toka tanzania ipate uhuru Dar es salaam imepata meya mwenye kiwango kidogo cha elimu kuliko meya yoyote aliyewahi kuweko dar es salaam.Ni aibu kwa CHADEMA
Naomba unitajie professor mmoja tu anaishika nyadhifa yeyote ndani ya CCM :zingatia kwamba Rais wa nchi ana nafasi yakuchagua maprofessor katika uongozi ila haina mana kwamba ni viongozi wa CCM ndio mana unaona maprofessor wengi katika uongozi wa nchi na si uongozi wa Chama.Tofautisha utumishi wa umma na chama .Chadema nayo ingeshika madaraka ingefanya hivyo hivyo kuteua maprofessor kua mawaziri makatibu wakuu,wakuu wa mikoa nakadhalika.Rudi ukajifunze tena.Na uje na Jibu ni professor gani anaeshika nyadhifa ya uongozi ndani ya chama cha mapinduzi.
 
Naomba unitajie professor mmoja tu anaishika nyadhifa yeyote ndani ya CCM :zingatia kwamba Rais wa nchi ana nafasi yakuchagua maprofessor katika uongozi ila haina mana kwamba ni viongozi wa CCM ndio mana unaona maprofessor wengi katika uongozi wa nchi na si uongozi wa Chama.Tofautisha utumishi wa umma na chama .Chadema nayo ingeshika madaraka ingefanya hivyo hivyo kuteua maprofessor kua mawaziri makatibu wakuu,wakuu wa mikoa nakadhalika.Rudi ukajifunze tena.Na uje na Jibu ni professor gani anaeshika nyadhifa ya uongozi ndani ya chama cha mapinduzi.
Kula [emoji106] mkuu
 
hao maprofesa ndo magwij wa rushwa na mipango mibovu ilotufkisha hapa tulipo ambapo nch imedumaaa imeliwa. n wataalam wakumake deal za pesa
 
Ni associate proffesor sio profesa ila wengi hupenda kumwita profesa
Kichwa kikishajaa utoko ni ngumu sana kupambanua mambo! Ni professor gani makini atashabikia utumbo wa ccm? Akina Banna ndo unaringia hao?
 
madili yote ya wizi yako ccm waende cuf au cdm wakafanye nin uko?
 
Umenikumbusha siku nilipozima TV baada ya ma professor wawili walivyo ongea pumba wakizungumza ujio wa Obama yaani walikanyaga kanyaga tu!
 
Maprofesa ni watu makini wanaopenda vyama makini.CUF ina mwanachama mmoja tu ambaye ni Profesa naye ni Profesa Lipumba ingawa si full profesa.CHADEMA pia kina mwanachama mmoja tu ambaye ni profesa naye ni Profesa BAREGU.

CCM ina maprofesa kibao list yao haitoshi kujaza JamiiForums.

Maprofesa baada ya kutafakari kwa kina naona wamegundua ubabaishaji kwenye hivyo vyama.

Kukosa maprofesa wengi kwenye chama kuna madhara makubwa.Mojawapo ni hili la meya wa Dar es salaam ambaye ni meya pia wa kusimamia vyuo vikuu kama Dar es salaam.

Kwa mara ya kwanza toka tanzania ipate uhuru Dar es salaam imepata meya mwenye kiwango kidogo cha elimu kuliko meya yoyote aliyewahi kuweko dar es salaam.Ni aibu kwa CHADEMA.


Hakuna profesa muongo kama muhongo

Dkt kigwa
 
Hakuna siku nimekuta nyama kwenye thread za huyu jamaa zaidi ya utumbo wa nguruwe.

Nasema wa nguruwe kwa sababu sijapata uthibitisho kama kuna sehemu unaliwa
 
Ni prof. gani amewahi kufanya jambo la maana kwenye siasa au uongozi hapa Tz?? Kama hamna hakunahaja kuwadiscuss haowatu,bora wabaki kwenye fanizao.
Pia tujuze unawajua maprof. wote na vyamavyao? Hizi ni mada za watoto Wa primary schools
 
Back
Top Bottom