Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Mleta thread amepanic.
Tulieni sindano ziwaingie vizuri.
Hapa Othman pale Fatma Karume.
Tulieni sindano ziwaingie vizuri.
Hapa Othman pale Fatma Karume.
Usiji vue ufaham ,, faham zanzibar ni sehem ya Tanzania funga mdomo wako...acha ubaguzi kama makaburuAcha mihemuko. Ni wapi nilipofanya ubaguzi katika post yangu. Ni wapi nimewazuia Wazanzibari kuja ubungo?
Nimesema wazi kuwa kwa maoni yangu, midahalo hii na makongamano haya yangekuwa na manufaa zaidi kwa watu wa zanzibar endapo yangefanyika huko Zanzibar na Wazanzibari wapate nafasi ya kuashiriki, kujadili na kuamua mustakabali wao.
Ni wazi kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar kuwa watu wa bara hawawezi wachagulia viongozi wala kuingilia michakato yao ya uchaguzi chini ya ZEC. Walijiamulia Wazanzibari na tunawaheshimu kwa uamuzi wao.
Sasa, (kwa akili ya kawaida kabisa isiyochafuliwa na viroba), ni vema na manufaa zaidi mambo haya yakafanyika ndani ya Zanzibar zaidi ya mahala pengine popote pale duniani.
Hebu tujuze, ni makomgamano mangapi yamefanyika Zanzibar kwa lengo la kuwashirikisha wananchi kujadili mustakabali wao baada ya kupigwa 'kitu' na Jecha? Kama haya mambo hayafanyiki Zanzibar, kuyafanyia Ubungo ni mbwembwe na kutafuta kiki.
Othman Masoud umeamua kuwa kibaraka wa cuf???? Tunakusubiri kwa hamu kesho kwenda kukuona unavyongangania kula matapishi yako.
Maskini Balahau umejisahau kama wewe ulikuwa DPP wa SMZ, ukawa AG wa SMZ na mshauri wa karibu wa Rais wa Zanzibar masuala ya sheria. Lakini ulianza kuonyesha rangi zako wakati wa mchakato wa katiba. Tangu wakati ule tunakujua X AG hukuwa muadilifu. Ulitumia cheo chako kupata momentum ya kisiasa na ma cuf wenzioo. Tulikujua mapema lkn maskini Dr Shein alifunikwa pazia la mahaba hadi ulipomchosha kwa uzuzu wako ndani ya Bunge la Katiba. Akakutimua kazi. Tangu kipindi kile ulichotimuliwa tunasikia hata akili zako zimepungua Othman Masoud, huko stable kabisa, kwasababu hukutegemea panga lile na hata lilipokukuta hukutegemea kwa kiburi chako cha kipemba kama utakuwa na utabakia fala hadi leo.
Sisi tulijua una akili kaka kumbe ndio yule yule Othman wa kuburuzwa na ma cuf. Tunakusubiri kesho kwenye mdahalo. Tunashangaa unakwneda kufanya mdahalo wakati wewe si Mwanachama wa TLS. Hukuwa na hukuwa na hamu ya kuomba uanachama kwasababu ya chuki zako dhidi ya Muungano wa Tanzania. wewe tangu awali si muumini wa Muungano huu. na hata ulipokuwa unasoma ulikuwa michango yako darasani ni ku criticize muungano huu. Sasa leo Tanganyika Law Society wanamualika mtu kama wewe kutoa mada ambae huna imani na Muungano. X AG usie na imani na Watanzania wenzio. Unapigania nchi igawanyike. Ndiowewe uliekuwa unaongoza kupotosha Baraza la Wawakilisho kwa kusema kwamba Tanzania Bara inainyinya Zanzibar. Zanzjbar haifaidiki katika Muungano huu na kheri ijitoe. Sasa mdahalo kwanini ukakubali kuufanyia Bara badala ya Zanzibar???? Ungefanyia Zanzibar tena hasa Pemba maana wapemba wenzio hawajawahi kuona midahalo kama hiyo. Ukawaelimishe wakuelewe Balahau.
Bi Fatma Karume na wewe wote mnatumika kwa cuf. Mnashabikia maalim seif. ni washauri wake wa kisheria na kesho mnakwenda kwenye mdahalo kama wawakilishi wa cuf si ndio Baba?? Mungu atakusaidia mjomba na huyo Kazuzu mwezio Fatma Karume.
Tumejipanga na tumejikoki tunakuja na zana kamili. kwasababu tunaelewa kutumika kwenu kesho ni kwa ajili ya propaganda ya cuf.
Tena kaka Othman Hongera kwa kumshauri Maalim Seif arudie uchaguzi na kumuahidi utamsaidia kumpigia debe kwa style za uamsho hahahahhahahaaaa balahau wachekesha. Enzi za Uamsho na style za uamsho zimeisha. Ukiteleza utaishia keko na kesho tunakuja na pingu zetu ukumbini. Ukibugi kumtukana kiongozi wetu muadham Magufuli au Dr Shein basi huendi Segerea. Tutakupeleka kwa Museven na huyo Wakili Safura Fatma Karume.
Bi Fatma zile ardhi za watu ulizozipora kesho usisahau kuzigusia kwenye mada yako tafadhali. Kuanzia ardhi ya Bw Sharif wa Dimani na Kanisa la Mbweni. ambayo haya Baba yako alikukingia kifua na zile dramas za media. Haaaaa umezidi hadi ardhi ya kanisa umeiba halafu unajiita msafi wa kujua mapungufu ya uchaguzi na matokeo yake wakati wewe mwenyewe Fatma Karume unanuka uvundo wa wizi wa Ardhi.
Ama kweli vituko hivi ni Tanzania tu.
Tuonane kesho ukumbini wapiganaji.
Othaman Masoud ushauri wa bure japo hupendi Muungano wa Tanzania kesho omba basi Uanachama wa TLS tafadhali walau ujulikane kama popo au ndege.
Ume PanicOthman Masoud umeamua kuwa kibaraka wa cuf???? Tunakusubiri kwa hamu kesho kwenda kukuona unavyongangania kula matapishi yako.
Maskini Balahau umejisahau kama wewe ulikuwa DPP wa SMZ, ukawa AG wa SMZ na mshauri wa karibu wa Rais wa Zanzibar masuala ya sheria. Lakini ulianza kuonyesha rangi zako wakati wa mchakato wa katiba. Tangu wakati ule tunakujua X AG hukuwa muadilifu. Ulitumia cheo chako kupata momentum ya kisiasa na ma cuf wenzioo. Tulikujua mapema lkn maskini Dr Shein alifunikwa pazia la mahaba hadi ulipomchosha kwa uzuzu wako ndani ya Bunge la Katiba. Akakutimua kazi. Tangu kipindi kile ulichotimuliwa tunasikia hata akili zako zimepungua Othman Masoud, huko stable kabisa, kwasababu hukutegemea panga lile na hata lilipokukuta hukutegemea kwa kiburi chako cha kipemba kama utakuwa na utabakia fala hadi leo.
Sisi tulijua una akili kaka kumbe ndio yule yule Othman wa kuburuzwa na ma cuf. Tunakusubiri kesho kwenye mdahalo. Tunashangaa unakwneda kufanya mdahalo wakati wewe si Mwanachama wa TLS. Hukuwa na hukuwa na hamu ya kuomba uanachama kwasababu ya chuki zako dhidi ya Muungano wa Tanzania. wewe tangu awali si muumini wa Muungano huu. na hata ulipokuwa unasoma ulikuwa michango yako darasani ni ku criticize muungano huu. Sasa leo Tanganyika Law Society wanamualika mtu kama wewe kutoa mada ambae huna imani na Muungano. X AG usie na imani na Watanzania wenzio. Unapigania nchi igawanyike. Ndiowewe uliekuwa unaongoza kupotosha Baraza la Wawakilisho kwa kusema kwamba Tanzania Bara inainyinya Zanzibar. Zanzjbar haifaidiki katika Muungano huu na kheri ijitoe. Sasa mdahalo kwanini ukakubali kuufanyia Bara badala ya Zanzibar???? Ungefanyia Zanzibar tena hasa Pemba maana wapemba wenzio hawajawahi kuona midahalo kama hiyo. Ukawaelimishe wakuelewe Balahau.
Bi Fatma Karume na wewe wote mnatumika kwa cuf. Mnashabikia maalim seif. ni washauri wake wa kisheria na kesho mnakwenda kwenye mdahalo kama wawakilishi wa cuf si ndio Baba?? Mungu atakusaidia mjomba na huyo Kazuzu mwezio Fatma Karume.
Tumejipanga na tumejikoki tunakuja na zana kamili. kwasababu tunaelewa kutumika kwenu kesho ni kwa ajili ya propaganda ya cuf.
Tena kaka Othman Hongera kwa kumshauri Maalim Seif arudie uchaguzi na kumuahidi utamsaidia kumpigia debe kwa style za uamsho hahahahhahahaaaa balahau wachekesha. Enzi za Uamsho na style za uamsho zimeisha. Ukiteleza utaishia keko na kesho tunakuja na pingu zetu ukumbini. Ukibugi kumtukana kiongozi wetu muadham Magufuli au Dr Shein basi huendi Segerea. Tutakupeleka kwa Museven na huyo Wakili Safura Fatma Karume.
Bi Fatma zile ardhi za watu ulizozipora kesho usisahau kuzigusia kwenye mada yako tafadhali. Kuanzia ardhi ya Bw Sharif wa Dimani na Kanisa la Mbweni. ambayo haya Baba yako alikukingia kifua na zile dramas za media. Haaaaa umezidi hadi ardhi ya kanisa umeiba halafu unajiita msafi wa kujua mapungufu ya uchaguzi na matokeo yake wakati wewe mwenyewe Fatma Karume unanuka uvundo wa wizi wa Ardhi.
Ama kweli vituko hivi ni Tanzania tu.
Tuonane kesho ukumbini wapiganaji.
Othaman Masoud ushauri wa bure japo hupendi Muungano wa Tanzania kesho omba basi Uanachama wa TLS tafadhali walau ujulikane kama popo au ndege.
Ninaamini kuwa, ingekuwa na manufaa makubwa zaidi kwa watu wa zanzibar kufanya hii midahalo, makongamano na majadiliano ya mustakabali wa uchaguzi na nchi yao ndani ya Zanzibar.
Ingeleta maana zaidi na madhubuti kama Wazanzibari wangeshiriki makongamano kama haya.
Kwa nini Fatma na CUF wasiyafanye haya Zanzibar?
Hata Jussa huchepukia bara mara kwa mara kwa mambo yanayohusu Zanzibar.
majibu mazuri hivi itakuwa saa ngap? na je tv gani itaonesha ? naomba uni PM kama utanisaidia jibu au yeyote mwenye jibu plzUme Panic
1. Fatma Karume umemuita Kaka
2. Nani kakwambia kuwa TLS wana Support Muungano wenu wa Kiini Macho ?
3. CUF inaingiaje hapa ?Mkutano si umeitishwa na TLS na wamealika watu,Why attacking waalikwa badala ya Waalikaji ?
4. Kwa hiyo kuwa AG ni dhambi kuwa mwana CUF ?Mbona Dr Tulia wenu alikuwa kada wa CCM ?
=========
Jitokeze leo pale Blue Pearl utoe hoja zako sio kuja huku kulia lia
ni watu wanaijitambua xn....ni wepes kushtukia uozoNaona mnafiki mmoja toka lumumba ameamua kuwatuka wapemba,,,, hiv kwa nn ccm inachuki na watu wa pemba ??
Hongera xn mkuuUnapoamua kuwa mkweli na kutumia Taaluma yako kuelimisha watu unakuwa Kibaraka? Inaelekea linawatesa sana hili litakalofanywa na TLS pale Ubungo Plaza! TLS wana Haki ya kumuita hata Donald Trump kuja kuelezea anachokifahamu kuhusu jambo husika. Mbona hukuwahi kuhoji Bunge Maalumu la Katiba kuwaalika kina Prof. Lumumba toka Kenya kuja kujadili mambo ya Tanzania? Othman ni Mwanasheria, na Mzanzibari kama alivyo Shein na wengine. Katiba zote mbili zinampa Freedom of Speech n Expression, na Freedom of Movement. Ndicho anachotekeleza. He was Honesty kwenye kura za Bunge la Katiba,hakuwa Mnafiki kama kina Kificho waliotoka Zanzibar na Msimamo mmoja kufika Dodoma wakaufyata. Aliietendea Haki Nchi yake na Nafsi yake. Nauliza, mnachokiogopa ni nini kwa Othman na Fatma? Mmezoea kuishi maisha ya uongo na unafiki muda wote,You dont change,halafu muangaliwe tu? Mambo ya uozo wa Fatma kwenye Ardhi unaweza kwenda Mahakamani, ni suala la kisheria instead ya kuja kujamba hapa jukwaani. Tulieni Cristapen iwaingie Vizuri!
Na Bulembo anahusikaje kwa ushauri wakoKwa mujibu wa wazanzibari na katiba yao wanadai wao ni nchi.
Maalim Seif, Jussa na Othman (alokuwa mwanasheria mkuu) walikuwa mstari wa mbele kuidai hiyo nchi hadi wakaingilia vipengele vya katiba ya JMT.
Imefika hatua Zanzibar ni "nchi" kiasi kwamba rais wa JMT hawezi ingilia uchaguzi wa rais wa Zanzibar na wala NEC haihusiki kwa lolote na chaguzi za ZEC.
Ndo maana baada ya Jecha kufanya upupu wake, Maalim kakimbilia kwa JK.
JK akamwambia yakhe ya huko kwenu hayanihusu....ushasahau?...si ulininyang'anya..nitaongea na mkuu wa majeshi akufanyieni upole baasi...
Hiyo ndo Zanzibar. Jibu hilo ni kama alilopewa Tundu Lisu wakati anang'ania kuongezwa muda wa maswala ya Bunge la Katiba na kura ya maoni...Akaulizwa..Tundu we si ndo ulitoka mishipa ya shingo kukataa nisipewe haya mamlaka? Sasa leo wataka nivunje sheria yako mwenyewe?
Haya ndugu yangu hiyo ndo"nchi" ya Zanzibar..
Tuuuaaacheee propropaagaand!!!!!!!Othman Masoud umeamua kuwa kibaraka wa cuf???? Tunakusubiri kwa hamu kesho kwenda kukuona unavyongangania kula matapishi yako.
Maskini Balahau umejisahau kama wewe ulikuwa DPP wa SMZ, ukawa AG wa SMZ na mshauri wa karibu wa Rais wa Zanzibar masuala ya sheria. Lakini ulianza kuonyesha rangi zako wakati wa mchakato wa katiba. Tangu wakati ule tunakujua X AG hukuwa muadilifu. Ulitumia cheo chako kupata momentum ya kisiasa na ma cuf wenzioo. Tulikujua mapema lkn maskini Dr Shein alifunikwa pazia la mahaba hadi ulipomchosha kwa uzuzu wako ndani ya Bunge la Katiba. Akakutimua kazi. Tangu kipindi kile ulichotimuliwa tunasikia hata akili zako zimepungua Othman Masoud, huko stable kabisa, kwasababu hukutegemea panga lile na hata lilipokukuta hukutegemea kwa kiburi chako cha kipemba kama utakuwa na utabakia fala hadi leo.
Sisi tulijua una akili kaka kumbe ndio yule yule Othman wa kuburuzwa na ma cuf. Tunakusubiri kesho kwenye mdahalo. Tunashangaa unakwneda kufanya mdahalo wakati wewe si Mwanachama wa TLS. Hukuwa na hukuwa na hamu ya kuomba uanachama kwasababu ya chuki zako dhidi ya Muungano wa Tanzania. wewe tangu awali si muumini wa Muungano huu. na hata ulipokuwa unasoma ulikuwa michango yako darasani ni ku criticize muungano huu. Sasa leo Tanganyika Law Society wanamualika mtu kama wewe kutoa mada ambae huna imani na Muungano. X AG usie na imani na Watanzania wenzio. Unapigania nchi igawanyike. Ndiowewe uliekuwa unaongoza kupotosha Baraza la Wawakilisho kwa kusema kwamba Tanzania Bara inainyinya Zanzibar. Zanzjbar haifaidiki katika Muungano huu na kheri ijitoe. Sasa mdahalo kwanini ukakubali kuufanyia Bara badala ya Zanzibar???? Ungefanyia Zanzibar tena hasa Pemba maana wapemba wenzio hawajawahi kuona midahalo kama hiyo. Ukawaelimishe wakuelewe Balahau.
Bi Fatma Karume na wewe wote mnatumika kwa cuf. Mnashabikia maalim seif. ni washauri wake wa kisheria na kesho mnakwenda kwenye mdahalo kama wawakilishi wa cuf si ndio Baba?? Mungu atakusaidia mjomba na huyo Kazuzu mwezio Fatma Karume.
Tumejipanga na tumejikoki tunakuja na zana kamili. kwasababu tunaelewa kutumika kwenu kesho ni kwa ajili ya propaganda ya cuf.
Tena kaka Othman Hongera kwa kumshauri Maalim Seif arudie uchaguzi na kumuahidi utamsaidia kumpigia debe kwa style za uamsho hahahahhahahaaaa balahau wachekesha. Enzi za Uamsho na style za uamsho zimeisha. Ukiteleza utaishia keko na kesho tunakuja na pingu zetu ukumbini. Ukibugi kumtukana kiongozi wetu muadham Magufuli au Dr Shein basi huendi Segerea. Tutakupeleka kwa Museven na huyo Wakili Safura Fatma Karume.
Bi Fatma zile ardhi za watu ulizozipora kesho usisahau kuzigusia kwenye mada yako tafadhali. Kuanzia ardhi ya Bw Sharif wa Dimani na Kanisa la Mbweni. ambayo haya Baba yako alikukingia kifua na zile dramas za media. Haaaaa umezidi hadi ardhi ya kanisa umeiba halafu unajiita msafi wa kujua mapungufu ya uchaguzi na matokeo yake wakati wewe mwenyewe Fatma Karume unanuka uvundo wa wizi wa Ardhi.
Ama kweli vituko hivi ni Tanzania tu.
Tuonane kesho ukumbini wapiganaji.
Othaman Masoud ushauri wa bure japo hupendi Muungano wa Tanzania kesho omba basi Uanachama wa TLS tafadhali walau ujulikane kama popo au ndege.
Sio mdahalo wa pemba ni mdahalo wa zanzibar iliyo sehem ya jamuhumri ya watu wa Tanzania,,ila ubaguzi kwa wapemba hii dhambi hakika itaanza na ww.........Mungu atawalipa makuwad wote wa ubaguzi
Judge Ramadhani alikuwa CCMUme Panic
1. Fatma Karume umemuita Kaka
2. Nani kakwambia kuwa TLS wana Support Muungano wenu wa Kiini Macho ?
3. CUF inaingiaje hapa ?Mkutano si umeitishwa na TLS na wamealika watu,Why attacking waalikwa badala ya Waalikaji ?
4. Kwa hiyo kuwa AG ni dhambi kuwa mwana CUF ?Mbona Dr Tulia wenu alikuwa kada wa CCM ?
=========
Jitokeze leo pale Blue Pearl utoe hoja zako sio kuja huku kulia lia
Ucha uzuz nyie ccm ndo hii dhambi inawatafuna ,,kwa nn kila kitu wakifanya manasema wapemba?? Acheni ubaguz ccmwapemba wanajibagua wenyewe na wala hakuna mtu anawabagua.
Ucha uzuz nyie ccm ndo hii dhambi inawatafuna ,,kwa nn kila kitu wakifanya manasema wapemba?? Acheni ubaguz ccm
Hatuongelee mapenzi hapa ni jukwaa la great thinkers ,na mada iliyoletwa na huyu zuzu ,ya kibaguz Tanzania ni moja karibuni sana wanzanzibar kwenye mjadalakama wabisha , tafuta GF wa kipemba leo alafu uone vidume vya kipemba vitakavyokuharibia,