CUF ipo siku mtamkumbuka Profesa Lipumba

CUF ipo siku mtamkumbuka Profesa Lipumba

Msomi Naomba unijibu.. Je muungano ukivunjika 2019 na kila chama kikakomaa kivyake kwenye uchaguzi mkuu Jery cuf hii itapata hata Robo ya wabunge hawa?
Simple! Do your homework! Factors zipi zilizofanya wakawa na hii idadi ya Wabunge? Factors zipi zitawafanya wafike ama Wasifikie hiyo idadi ya Wabunge!
Naamini itakusaidia!
 
Salaam wana bodi,

Naanza kwa kumuuliza, kwenye Jimbo la Kinondoni ingetokea CHADEMA, CCM na CUF wote wangesimamisha mgombea. Je CUF ingeshinda Jimbo hilo? Na taswira hiyo ipeleke nchi nzima kilicho dhahiri hapa ni chadema kujijenga kwa kuitumia CUF, CHADEMA Arusha inaweza kushinda ubunge hata isipoungwa mkono na vyama vingine lakini CUF haina nguvu hii. Hiko ndicho profesa Ibrahim Haruna wa Lipumba anataka kurudisha nguvu halisi ya CUF na si hii CUF ya utegemezi.

Ipo siku wana-CUF watamkumbuka Lipumba.

Naomba kuwasilisha
Kwahiyo kabla ya CUF kujiunga UKAWA hiyo CUF ilikuwa na uwezo wa kushind majimbo yenyewe na kwamba baada ya kujiunga UKAWA nguvu hiyo imeisha???? 😀😀😀

Anyway kwa faida ya wasomaji wote naomba ieleweke CUF imeshinda majimbo mengi kuliko chama chochote cha upinzani Tanzania sasa naomba mwenyewe ujiulize je CUF ni bora ikiwa Ukawa au nje ya Ukawa???
 
For the purpose of convenience, Seif aliamua kuungana na EL aipate Zanzibar. Kwa sababu ya unafiki wake tangu enzi za Aboud Jumbe Mungu kamfichua. Prof Lipumba ni Professor.
Embu acha upotoshaji kwahyo lowassa na seif ndio waliomwambia lipumba ajiuzulu???? Ur funny
 
Kumkumbuka lipumba ni kukumbuka kinyesi chako mwenyewe.
 
Profesa Ndumilakuwili.... le profesale ndumba na ngai!! Polopesa!!
 
Back
Top Bottom