Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
Lipumba aje nimpe mke, labda akili zitamrejea
Lipumba miaka yote alikuwa ameficha wapi hiyo nguvu unayojinadi kuwa anataka kuirudisha?Mwaka 2000 cuf ilikuwa cuf si hii ya sasa
Mwaka 2000 mliachiana majimbo?
Mwaka 2000 cuf ilijijenga Kwa kupitia chadema?
Mwaka 2000 chadema ilikuwa na wabunge wengi kushinda cuf?
Rudi jipange kisha urudi kuchangia tena
Acha kujidhalilisha wewe.....Salaam wana bodi,
Naanza kwa kumuuliza, kwenye Jimbo la Kinondoni ingetokea CHADEMA, CCM na CUF wote wangesimamisha mgombea. Je CUF ingeshinda Jimbo hilo? Na taswira hiyo ipeleke nchi nzima kilicho dhahiri hapa ni chadema kujijenga kwa kuitumia CUF, CHADEMA Arusha inaweza kushinda ubunge hata isipoungwa mkono na vyama vingine lakini CUF haina nguvu hii. Hiko ndicho profesa Ibrahim Haruna wa Lipumba anataka kurudisha nguvu halisi ya CUF na si hii CUF ya utegemezi.
Ipo siku wana-CUF watamkumbuka Lipumba.
Naomba kuwasilisha
"atakayemchagua lowasa akapimwe akili"Yes lazima wamkumbuke kuwa ni tapeli wa kisiasa aliyesaliti chama.
Chukua Mfano wa Jimbo la segerea kila chama kilimsimamisha mgombea ccm, cuf na chadema... Mshindi alitoka wapi?Lipumba Nimwenyekiti Cuf Kabla Hata Mimi Sijazaliwa, Hv Aliwah Kupata Wabunge Wengi Kiac Gani Bara?
Salaam wana bodi,
Naanza kwa kumuuliza
Naomba kuwasilisha
Ungetumia mda mwingi kujifunza kupanga hoja ieleweke unataka nini hata ulichoandika ukikisoma mwenyewe hukielewi
Futa fisadi, alisema muende mahakamani, you have never gone there!Sio fisadi aliyepigiwa kelele na mbowe, Lema, msigwa, heche na lisu kupokelewa na kupewa form ya kugombea uraisi?
Asante Mrs. Lipumba, kumbe na wewe umo ehhh, kama vile 1st Lady BASHITEUnadhani hajaoa? Comment yako inadhihirisha kiwango chako cha kufikiri