Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Uwezo wake umeishia hapoUngetumia mda mwingi kujifunza kupanga hoja ieleweke unataka nini hata ulichoandika ukikisoma mwenyewe hukielewi
Uwezo wake umeishia hapoUngetumia mda mwingi kujifunza kupanga hoja ieleweke unataka nini hata ulichoandika ukikisoma mwenyewe hukielewi
uko sahihi,ila kwa kumtuma mlinzi wake kwenda kufanya uvamizi na kujeruhi waandishiIpo siku wana-CUF watamkumbuka Lipumba.
Mkuu wala usishangae. Ni ngumu sana kutetea upumbavu. Hivyo usitegemee point yoyote toka kwa mtu anaetetea ujuha!Ungetumia mda mwingi kujifunza kupanga hoja ieleweke unataka nini hata ulichoandika ukikisoma mwenyewe hukielewi
Huo mwaka 2000 unaouzungumzia kwa Cuf kuwa Cuf mchango WA Lipumba ulikuwa ni nini? Aliingiza Bungeni Wabunge wangapi? Nafasi ya Urais alikia hatua gani? Kwa nini? Kwa nini Miaka 15 baadae chini ya Uenyekiti wake CUF imekuwa hoi? Je lilikuwa ni kosa kuungana kwa Wapinzani? Kwa nini 2015 alikimbia akidhani yupo sahihi? Ameona nini Sasa kinachomfanya arudi kwa njia za kipumbavu utadhani hakuwahi kwenda shule? Mwaka 2010 aliusaliti upinzani kwa kuhamasisha Waislamu wampigie Kikwete badala hata ya kumpigia yeye, je mtu kama huyo aendelee kuaminiwa kama Mpinzani au Tapeli?Mwaka 2000 cuf ilikuwa cuf si hii ya sasa
Mwaka 2000 mliachiana majimbo?
Mwaka 2000 cuf ilijijenga Kwa kupitia chadema?
Mwaka 2000 chadema ilikuwa na wabunge wengi kushinda cuf?
Rudi jipange kisha urudi kuchangia tena
Sababu ya kukimbia ni ipi?
Jiwe gizani
These shows how myopic you are!Madaraka Gani?
Nani amkumbuke profesa mwizi wa luzuku?Salaam wana bodi,
Naanza kwa kumuuliza, kwenye Jimbo la Kinondoni ingetokea CHADEMA, CCM na CUF wote wangesimamisha mgombea. Je CUF ingeshinda Jimbo hilo? Na taswira hiyo ipeleke nchi nzima kilicho dhahiri hapa ni chadema kujijenga kwa kuitumia CUF, CHADEMA Arusha inaweza kushinda ubunge hata isipoungwa mkono na vyama vingine lakini CUF haina nguvu hii. Hiko ndicho profesa Ibrahim Haruna wa Lipumba anataka kurudisha nguvu halisi ya CUF na si hii CUF ya utegemezi.
Ipo siku wana-CUF watamkumbuka Lipumba.
Naomba kuwasilisha
Lipumba ndiyo profesa mjinga kuliko wote Tanzania upeo wake ni ziro ana IQ ndogo hakuna mfanoHuo mwaka 2000 unaouzungumzia kwa Cuf kuwa Cuf mchango WA Lipumba ulikuwa ni nini? Aliingiza Bungeni Wabunge wangapi? Nafasi ya Urais alikia hatua gani? Kwa nini? Kwa nini Miaka 15 baadae chini ya Uenyekiti wake CUF imekuwa hoi? Je lilikuwa ni kosa kuungana kwa Wapinzani? Kwa nini 2015 alikimbia akidhani yupo sahihi? Ameona nini Sasa kinachomfanya arudi kwa njia za kipumbavu utadhani hakuwahi kwenda shule? Mwaka 2010 aliusaliti upinzani kwa kuhamasisha Waislamu wampigie Kikwete badala hata ya kumpigia yeye, je mtu kama huyo aendelee kuaminiwa kama Mpinzani au Tapeli?
Sijui umri wako, sijui Elimu yako, ila Uwezo wako ni mithili ya kipande cha mchanga! Akili zako ndogo sana, otherwise, go n do your homework properly badala ya kukurupuka na kuja kuonesha upu.mbavu wako!
Kwanza ujue walichukua pesa nyingi wakatoroka kipindi cha kampeni hakuna mwenye imani nao hasa hilo profesa ziro lipumbaMimi ninachomchukia Slaa na Lipumba ni kutokana na kuendesha Siasa za uchochezi na kumwaga Damu.
Tangu hao watu wameondoka kwenye siasa hatukuwahi kusikia watu wamemwaga damu. Sipati picha kama Lipumba angekuwepo wakati Uchaguzi wa Zanzibar unahujumiwa na Jecha.
Bila shaka hali ingekua mbaya sana. Slaa naye tangu ameondoka hatujaona zile siasa za kurushia mawe polisi na vijana wetu kumiminiwa risasi kwa ajili ya kuandamana.
Kwa kweli nawashangaa watu wanaowatamani hao watu warudi kwenye siasa bila kuwaonea huruma watoto na mama Tanzania.
Akisaidiana na Jaji mpuuzi kuliko Wote Tanzania Bara na VisiwaniLipumba ndiyo profesa mjinga kuliko wote Tanzania upeo wake ni ziro ana IQ ndogo hakuna mfano
"atakayemchagua lowasa akapimwe akili"
"ccm Leo imempa fomu mwizi ambaye alistahili akae jela"
"Ni heshima kubwa Kwa Mungu kumzomea mwizi, fisadi"
Hao baadae wakasema tumchague lowasa je hao sio Matapeli?
Only in Tanzania.. Darasa la saba akamtukama profesa haha lipumba huyu huyu bingwa wa uchumi... Weka Akiba ya maneno
Msomi Naomba unijibu.. Je muungano ukivunjika 2019 na kila chama kikakomaa kivyake kwenye uchaguzi mkuu Jery cuf hii itapata hata Robo ya wabunge hawa?Huo mwaka 2000 unaouzungumzia kwa Cuf kuwa Cuf mchango WA Lipumba ulikuwa ni nini? Aliingiza Bungeni Wabunge wangapi? Nafasi ya Urais alikia hatua gani? Kwa nini? Kwa nini Miaka 15 baadae chini ya Uenyekiti wake CUF imekuwa hoi? Je lilikuwa ni kosa kuungana kwa Wapinzani? Kwa nini 2015 alikimbia akidhani yupo sahihi? Ameona nini Sasa kinachomfanya arudi kwa njia za kipumbavu utadhani hakuwahi kwenda shule? Mwaka 2010 aliusaliti upinzani kwa kuhamasisha Waislamu wampigie Kikwete badala hata ya kumpigia yeye, je mtu kama huyo aendelee kuaminiwa kama Mpinzani au Tapeli?
Sijui umri wako, sijui Elimu yako, ila Uwezo wako ni mithili ya kipande cha mchanga! Akili zako ndogo sana, otherwise, go n do your homework properly badala ya kukurupuka na kuja kuonesha upu.mbavu wako!