Kwani chadema wanashindan na CUF au ccm? sasa mbona wanawaogopa CUF..
Mwenye matokeo ya 2010 atuwekee hapa tujue walipata kura ngapi
ARUSHA | |||
WILAYA YA MERU | |||
ARUMERU MASHARIKI | |||
Candidate | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
SUMARI JEREMIAH SOLOMON | CCM | 34,661 | 62.23 |
JOSHUA SAMWEL NASARI | CHADEMA | 19,123 | 34.33 |
JOHN YESAYA PALLANGYO | CUF | 265 | 0.48 |
LINDA PENIELI BANA | JAHAZI ASILIA | 176 | 0.32 |
FANUEL GABRIEL PALLANGYO | TLP | 88 | 0.16 |
CHARLES MOSES MSUYA | UPDP | 88 | 0.16 |
SPOILT VOTES | 1,297 | 2.33 | |
TOTALS | 55,698 | 100 | |
kwani cuf iliwahi kushinda maeneo ya wakristu?
Hivi mbona mnawaogopa CUF zaidi kuliko CCM?
Go Go Mtatiro, wasikukatishe tamaa
jibu swali langu kwanza!Kwani chadema imeshinda maeneo ya wakristo?
Ndugu,
Nilifundishwa hivi;
Arumeru Mashariki + CDM = 74%
Arumeru Mashariki + CCM = 17%
Arumeru Mashariki + CUF = 09%
Labda Mtatiro atueleze ana au CUF wana mtaji kiasi gani Arumeru Mashariki
Kwanini CUF wasiwasupport chadema ili kuongeza nguvu ya upinzani bungeni?
Nawashauri wasipoteze fedha kwenda Arumeru maana trend inaonekana iko agaist them. Igunga zilipungua kura, Uzini zimepungua kuliko walivyopata 2010. Kwa chama makini hiyo ni dalili tosha kuwaambia wasivamie chaguzi bali waanze upya kujiuza kwa wananchi, yaani STATUS QUO ANTE. Labda kwa vile lengo lao ni kuipigia kampeni CCM A wataenda tu bila kujali hasara, after all hela ya kampeni si inatoka kwa baba watoto
Mh! Huyu Mtatiro ana Mapepo? yaani hata asihangaike na mambo ya Arumeru Mashariki, zaidi sana anaweza kuumia!Naibu Katibu mkuu wa CUF Julius Mtatiro,amesema amepeleka timu maalum ya maafisa wa CUF kufanya uchunguzi wa jinsi chama hicho kinavyokubalika ili kujiandalia mazingira mazuri ya kukitwaa kiti hicho.Mtatiro amesema kila kitu kinakwenda sawa na wamejipanga kikamilifu kutwaa jimbo hilo.Pia ana imani kubwa na wananchi wa Arumeru Mashariki.
Source:Nipashe
Mwenye matokeo ya 2010 atuwekee hapa tujue walipata kura ngapi