- Thread starter
- #41
CDM ni mtoto wa kambo, CUF ni bi mdogo na Tendwa ni Mshenga
Vote for Sultan Lipumba.
CDM ni mtoto wa kambo, CUF ni bi mdogo na Tendwa ni Mshenga
CUF wako kwenye ndoa na mahaba Yao CCM ni makubwa wacha wawe juu ya sheria
Mkuu naomba nikurekebishe. Mimi si CUF, na wala sijawahi kumiliki Card ya CUF,kushiriki/kuhudhulia mkutano wowote wa CUF na Lipumba akichukua Nchi, nitaomba UKIMBIZITofautisha kati ya mtu kujitangaza na chama cha siasa kutembea na mwanachama wake mikoani na kufanya mikutano ya hadhara na kumuombea kura za urais 2015.
Najua wewe ni CUF lakini nikuulize ni Lini ilipitisha jina la mgombea urais wa uchaguzi mkuu ujao?
Swali la 2-Kwanini msajili wa vyama vya siasa Tendwa aliropoka kwamba hakubali M4C ya CDM kwa madai inapiga kampeni za uchaguzi wakati si kweli na haina mgombea inayemnadi mikutanoni kama CUF inavyomnadi kwa wananchi na kumuombea kura?
haaa mkuu mbavu zangu mie!CUF wako kwenye ndoa na mahaba Yao CCM ni makubwa wacha wawe juu ya sheria
Mkuu Adolay
Mkutano wao wa Arusha umewavua nguo.Kitendo cha kutoa watu 500 Dar kwenda kuwahutubia Arusha ni aibu kubwa katika historia ya siasa duniani.
Mkuu naomba nikurekebishe. Mimi si CUF, na wala sijawahi kumiliki Card ya CUF,kushiriki/kuhudhulia mkutano wowote wa CUF na Lipumba akichukua Nchi, nitaomba UKIMBIZI
haaa mkuu mbavu zangu mie!
Kinachonishangaza mkuu, hivi yale sio matumizi mabaya ya fedha zetu walipa kodi? ni kweli Arusha hakuna binadamu wa
kuwasikiliza sera zao? nakama ndivo kwanini waende na wapambe ambao mwisho wa siku hawatapigia kura Arusha?
Hivi huyu JOHN MREMA huko CDM makao makuu kazi yake ni nini hasa? Kila siku anashinda JF kumwaga fitna tu! ZZK wa CDM si katangaza hadharani kugombea urais mbona hamsemi?
Ulishasoma vigezo na masharti ya JF?
mkuu wangu hujui siku hizi jf imevamiwa na makanjanja? Hawa makanjanja hawasomi hata sheria za jf na hata wakisoma hawaelewi.
Binafsi sioni kama ni tatizo kwa wao kutangaza mfalme wao kuwa ni mgombea wa maisha. Pia wanaomba kura kwa uchaguzi ujao si uhaini kwa rais aliyepo.
Wakati mwingine vituko kama hivi inafaa kuwaachia wenyewe ili tujadili masuala ya maana.
hpbdy 2 u kamanda 2ko pamoko
Mkuu mimi ni Mtanzania, lakini JK alipochukua nchi, niliondoka TZ. Kwahiyo sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa, lakini naipenda Tanzania na ni muhubiri wa siasa za mgombea binafsi. Kwahiyo umejaribu two times na umekosa, please don't try any more.Mkuu lakini mfuasi wa Magamba automatically ni mfuasi wa CUF and vise versa is true.Kwa hiyo bado niko sahihi.
Mkuu mimi ni Mtanzania, lakini JK alipochukua nchi, niliondoka TZ. Kwahiyo sio mwanachama wa Chama chochote cha siasa, lakini naipenda Tanzania na ni muhubiri wa siasa za mgombea binafsi. Kwahiyo umejaribu two times na umekosa, please don't try any more.
Hivi huyu JOHN MREMA huko CDM makao makuu kazi yake ni nini hasa? Kila siku anashinda JF kumwaga fitna tu! ZZK wa CDM si katangaza hadharani kugombea urais mbona hamsemi?
Mbona hueleweki unazungumza nini in relation to the current mada???
Mkuu Kabwela, mbona unakuwa hivyo? Acha kuwa una-hit point namna hii. Utasikia wenyewe wakitaka waunde tume wachunguze kama madai haya yana ukweli au ni uchochezi wa CDM! Chezea ndoa ya waifu "KAFU" na hazibandi wake "Nyinyiemu" wewe?CUF ni chama cha dini ya Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar na Makamu wake wote wawili, IGP, Judge Mkuu, Judge Kiongozi na Mkuu wa Uhasama wa Taifa.
Nani atanyanyua mdomo wake kukikemea?