CUF iko juu ya sheria Tanzania?

CUF iko juu ya sheria Tanzania?

mbona kabwe naye kaanza kampeni
Kwahiyo mnamuiga Kabwe siyo? BTW: Kabwe alitangaza nia hiyo akiwa kwenye mkutano na wananchi wake kule Kigoma. Sultani wa Chama cha Udini na Fitina aka Le porofeseri La-pumba anatembezwa kama ombaomba kwenye mikutano ya Chama akinadiwa na kushabikiwa na viongozi wenzie. Bado huoni tofauti hapo ewe Polisi wa Mabwepande? Basi utakuwa umeacha akili yako Lumumba, fanya fasta ukaichukue isije ikatumiwa vibaya na Nepi!
 
CUF ni chama cha dini ya Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar na Makamu wake wote wawili, IGP, Judge Mkuu, Judge Kiongozi na Mkuu wa Uhasama wa Taifa.
Nani atanyanyua mdomo wake kukikemea?

Acha udini kenge we,
 
CUFU imepelekwa ICU na Mlemavu ccm, ulemavu ambao anadhani kwa kuitumia CUF kuinanga CDM utaponywa, thubutuu!

2005 Kansa itakuwa imefikia kikomo na kilema kugeuka msiba kwa wote wawili CUF Na CCM
 
CUFU imepelekwa ICU na Mlemavu ccm, ulemavu ambao anadhani kwa kuitumia CUF kuinanga CDM utaponywa, thubutuu!

2005 Kansa itakuwa imefikia kikomo na kilema kugeuka msiba kwa wote wawili CUF Na CCM

Mkuu adolay
Siongezi neno hapo!
 
nawe kuwa muelewa mleta mada hajasema Lipumba ametangaza nia bali CUF wanaomba Lipumba apewe kura 2015
 
nawe kuwa muelewa mleta mada hajasema Lipumba ametangaza nia bali CUF wanaomba Lipumba apewe kura 2015

Kweli wewe hujui usemacho.Kwa hiyo ni sawa CUF kimwombee kura za 2015? Je akitokea mwanachama anayetaka Urais tofauti itakuwaje? Atatendewa haki?
 
Hivi huyu JOHN MREMA huko CDM makao makuu kazi yake ni nini hasa? Kila siku anashinda JF kumwaga fitna tu! ZZK wa CDM si katangaza hadharani kugombea urais mbona hamsemi?

huyo John Mrema kakuchukulia mke tangu lini?

Na wewe kazi yako ni nini humu JF daily kumtukana slaa!
Pia mdini ni ww kutukana wakristo ukidhani fahari!

Na ww sema kazi ya Jussa ni nini CUF?

NGURUWE MKUBWA WW.
 
huyo John Mrema kakuchukulia mke tangu lini?

Na wewe kazi yako ni nini humu JF daily kumtukana slaa!
Pia mdini ni ww kutukana wakristo ukidhani fahari!

Na ww sema kazi ya Jussa ni nini CUF?

NGURUWE MKUBWA WW.

Mkuu wangu nadhani John Mrema alimpiga chini akaoa mwanamke mwingine.
 
Back
Top Bottom