Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Muungano ukivunjika itakuwaje sasa mtaendelea kuwepi bara au? Maana nachanganyikiwa kadi nirudishe wapi
Pia watazungumzia umuhimu wa kuchoma makanisa tena zoezi Hilo lianze na Huku baraNadhani pia watasisitizia umuhimu wa kugomea sensa..kumuunga mkono mshauri wao mkuu sheikh Pondwa!
Ni baada ya kusema waliochoma makanisa ni waabudu wa shetani!?
Je kikwete atakuwepo au atamtuma vuvuzera wake Nepi...Pia watazungumzia umuhimu wa kuchoma makanisa tena zoezi Hilo lianze na Huku bara
Duh !!!!
nini tena au sababu ya dini yake maana hawa jamaa bila kigezo cha dini chama kinakufa Rejea kauli ya JUSSA
Inaonyesha hata JF pameanza mchecheto ,hivi ni nani asieelewa kuwa CUF hawatafuti umaarufu bungeni kwa itikadi ya kupasua mabomu ndani ya bunge wakati sio sehemu yake ? Nijuavyo dhulma zozote zifanywazo na chama tawala na serikali yake usuluhisho wake sio kuzisemea bungeni ,bunge ni sehemu ya majadiliano mwisho wa siku bajeti inapitishwa ,kwa mfumo uleule ukisema ndio au hapana ,kwani hapana isipokuwa hiyo na ndio kwa ndio hiyohiyo ,hivi ni lini mlisikia bajeti ya Waziri kukwamishwa ??
Na mkutano wa CUF WaTanzania wataweza kumjua jogoo wa vita katika nchi yao ,halafu wacheni kutumia mbinu zile za shemegi yenu CCM kusema CUF ni Chama cha udini ,wacheni tabia hio,sasa mnawaita uamsho na kweli watakuwa uamsho kwa Watanganyika waliolala na kuwemo ndani ya usingizi mzito.
Mmewaburuta WaTanzania na kuwavutia huko kwa makobe wakati mbinu na mikakati ya kisiasa hamuijui ,zaidi mmeipandisha CCM kwenye chati na kuipa kiburi . Taarifa za CUF zinasema kwa mara nyingine wanakuja na ngangari ileile ya sha sha sha ,na kukata kwa kuondoa kiburi cha CCM na vikaragosi vyake.
Si mchezo ,watawala wataamua kusuka au kunyoa ,kwani ule woga wao kuiogopa CUF ulikuwa umepoa ,zile kashkash za CUF zilikuwa hazipo kwa muda mrefu ,sasa hivi waZanzibari na WaTanganyika wanata kuachwa wapumue ,kama ni noma basi iwachwe iwe noma.
Unaongea kama mtu kapika chakula kibaya na kibichi, sasa anajaribu fanya vituko na kukila kwa bidii ili kuwavutia wengine.We lini CUF inakwa ngangari ,huku imeolewa na CCM.CCM wanajiita dume, au ungangari wenu ni wa kuvumilia mapenzi ya CCM?Sound km mashoga wanotaka itwa ngangari.Mbona mnakuwa mnababaika mnapoambiwa CDM inahusika na kifo cha Ulimboka ? Mi nimeingiwa na shaka pale mkuu wa CDM alipozuiwa kumwona Dak.Ulimboka ,hiki nikitendawili kikubwa sana ,tusubiri huo utandawazi wa CUF , nina wasiwasi vyombo vya dola vitauzuia mkutano wa wanangangari hao ,ambao wanajulikana dunia nzima kuwa hawana masihala wanapoamua.
Naamini kabisa kuwa siku hiyo mtaelewa CUF ni tawi au shina la CCM !!! Mana si ajabu hata matangazo yao ambayo kwa mara ya kwanza yatarushwa angani na kusikika dunia nzima ,fursa ambayo walikuwa wakiipigania kufa na kupona yakakatishwa.
Tayari jiji la Dar es salaam limeanza kutikisika na kila unaemuona ameanza kuvaa cap za CUF ,si mchezo ,eti polisi nao wameanza kujipanga ,aloo hawa CUF wanatisha.Mabendera mitaani si ya kawaida utazani ni zile enzi za Nyerere kwenda airport kumpokea mgeni kutoka China.
Viongozi wa CUF wanasema ngoma au kazi itakayokuwepo hapo si kazi ya watoto wadogo ni ya watu wazima ,hivyo wale wanaoogopa polisina kuingiwa na hofu haraka wakae pembeni na kuangalai runinga zao.