Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Tawi la CCM nalo linaiga.Halafu Jumapili wakristo wengi watakuwa kanisani.Sasa sijui mkutano wao ni mahsusi kwa ajili ya wapagani au?
nchi nzima itakuwa alert kujua uchaguzi wa yanga umekwendaje so hawatakuwa na muda na mkutano wa wanauamsho . mbaya zaidi mkutano mnaufanya opposite na hq ya yanga africa. bora mngefanyia kule uwanja wa kibandamaiti zenji.