CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

Nipo tayari hata kuongoza kipindi kimoja wapo, nahisi nitakiita THINKERS PLATFORM ntakuwa naita memba moja moja wa Jamiiforum kupiga interview.

NB. Ni kwa wale member watakaokuwa wanaleta threads zenye Idea za ukweli. Kwa kiasi kikubwa Mijadala ya zamani pia itapewa nafasi!
 
Gazeti lenu la TZ Daima limeshindwa kuwa gazeti lenye mvuto, hebu angalia hata jf post from newspapers uone ngapi ni za hilo gazeti pamoja na jf kuwa na pro-CDM wengi.
Kwenye website yao habari zinabadilishwa after 3days
I tell u kama mtataka TV yenu ifanikiwe punguzeni propaganda za ki-CDM, la itabakia TV jina tu.
Zitto mwenyewe ile habari yake ya meli znz hakutuma TZ daima, wala JF, jiulize kwa nini?

Una uhakika T/Daima ni Gazeti la CDM?
 
Gazeti lenu la TZ Daima limeshindwa kuwa gazeti lenye mvuto, hebu angalia hata jf post from newspapers uone ngapi ni za hilo gazeti pamoja na jf kuwa na pro-CDM wengi. <br />
Kwenye website yao habari zinabadilishwa after 3days<br />
I tell u kama mtataka TV yenu ifanikiwe pu
UMELIWA MARA NGAPI?
 
Wazo zuri! Ucjali mambo mazuri hayataki haraka.
 
Gazeti lenu la TZ Daima limeshindwa kuwa gazeti lenye mvuto, hebu angalia hata jf post from newspapers uone ngapi ni za hilo gazeti pamoja na jf kuwa na pro-CDM wengi.
Kwenye website yao habari zinabadilishwa after 3days
I tell u kama mtataka TV yenu ifanikiwe punguzeni propaganda za ki-CDM, la itabakia TV jina tu.
Zitto mwenyewe ile habari yake ya meli znz hakutuma TZ daima, wala JF, jiulize kwa nini?


Utawatambuaje? Kwa kudandia ya watu na kuacha ya kwao yanayowahusu.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema.kimepanga mikakati mikubwa ya kufungua kituo cha matangazo ktk television.wadau mnaombwa kutoa maoni ya kupendekeza jina la kituo. Je unataka kiitwaje?
 
Mimi tachangia Dola 30,000 lakini kwanza lazima nione kituo kwanza, na sijui mtakuwa mnarushia wapi matangazo yenu? Moshi au Kilimanjaro
ritz mapovu ya nini? hili ni wazo zuri jamaa amelifikiria..bado liko kwenye stage ya wazo tu kwa hiyo usihangaike na matangazo yatakuwa yanarushiwa wapi kwa sasa!

Hili wazo linawezekana kabisa na linawezekana kufanyika kabla hata ya 2015! Na siyo lazima kuanza na tv , hata radio inatosha! hebu cheki hapa chini jamaa wanatengeza ka micro radio(fm) station kwa usd 1000 ...! imagine tukichangishana tunaweza kutengeza kituo cha aina gani!
 
Embu tuone mabadiliko ya sera ya habari na utangazaji kwa miaka kumi tu tokea mfumo wa vyama vingi TZ uanze mwaka 1992 hadi january 2003 kwa mujibu wa takwimu (http://www.tanzania.go.tz/pdf/Serayahabarinautangazaji.pdf).

1992 January2003
1. Magazeti ya kila siku 2mwaka 1992, na 12 mwaka 2003
2. magazeti ya wiki 5mwaka 1992, na 30 mwaka 2003
3. Redio 1 mwaka 1992 (RTD) na 30 mwaka 2003
4. TELEVISION 0(Zero) mwaka 1992, na kufikia 2003 ni zaidi ya 30(Ikiwemo TVT iliyoanzishwa mwaka 2000 ingawajeITV ILIANZISHWA 1994)

TCRA yenyewe imeanjishwa hapo juzikati 2003, mwaka 1993 tulikuwa na Tume ya utangazaji Tanzania Baada ya kubanwa na wakajikuta wameachia masafa ya MW kwa ITV na RFA kabla ya masafa hayo kumilikiwa na serikali kwa sera iliyopelekwa Bungeni. na hao wawili waliobahatika kuyapata wakabaki nayo.

Jamani basi kabla sijaendelea embu makofi kwa mzee mwinyi tafadhali... pwa!! pwa!! pwaaa!! Imagine Tokea Uhuru hadi 1994, hakuna kituo cha Television TZ, miaka mingapi vile.. embu zero nipigie mathe hapo 2004-1961=33.. miaka 33, mtu aliyezaliwa 61, hadi anaingia umri wa kusomesha hajui TV, Wenzetu kenya wao mwaka television yao ya KBC CHANEL 1, IKO hewani TOKEA MWAKA 1963. Shirika la habari la serikali Kenya (KBC) lilianzishwa mwaka 1927 kwa kurusha matangazo yake ya redio na mnamo mwaka 1963 wakaanza kurusha matangazo ya TV. (Radio Tanzania Dar es Salaam el maarufu kama RTD ilianzishwa 1974) Hadi mwaka 1990 wakati chanel nyingi zilipojitokeza kule Kenya ikiwemo ile ya Moi ya KTN.

Baada ya uhuru wa habari sasa kumekuwa na mageuzi mengi ya kiuchumi na maendeleo. Haipingiki.. Mikoa ambayo kuna Vyombo vya habari vingi, wamengoa utawala mgando, na tena wana maendeleo.. Ila nenda Tabora, nenda Lindi, nenda Mtwara, nenda Sumbawanga (Songea sijui manake sijawahi fika).. maeneo hayo yanatisha.. ndio maana mzee Magufuli ameamua kuwawekea lami wakazi wa Rukwa "na ndugu zetu wa rukwa waone lami kwamba ninyeusi sio nyekundu.. Magufuli for speaker"

Mimi nashauri tu, sio CHADEMA, CUF, UDP, SAU sijui nini tena... bali yeyote mwanye uwezo akamate mkongo, rusha vitu hewana. kwa sasa kuna Degital TV, ambazo ni tofauti na zile za Analoque. Hizi Digital huhitaji kuwa na mitambo mikubwa ya gharama. Unahitaji just a simple studio ambazo utatengenezea ubunifu wa ujasiriamali wako, kisha unapeleka kwa broadcasting service provider.. kwa sasa ni TBC, AGAPE TV, na nyingine ambayo bado haijaanza. hao watakuchaji kitu kidogo tu kisha wanakurushia matangazo yako kwa nembo ya TV yako as if you have all at once.
Robot embu tuicheki hii na tuhamishie jukwaa hili kwenye TV, Cheki, JF sasa mlisema inaweza kuwa na watu 134,200.. ivi kama kila mtu akichangia 10,000 tu hapo tuna 1,342,000,000.. hapo tuko mbali zaidi ya TV.
Big UP.. !! ...............................................more info get from me: jit_100@yahoo.com___________-=.. j
 
Utachangia kiasi gani cha pesa?
<br />
<br />
tumia akili kidogo, siyo lazima kutaja amount, au nyie ndio wale wanaotoa msaada na rundo la waandishi wa habari
 
Mimi tachangia Dola 30,000 lakini kwanza lazima nione kituo kwanza, na sijui mtakuwa mnarushia wapi matangazo yenu? Moshi au Kilimanjaro

kwani wewe unatoa mchango hadi uone..
 
Lazima tupambane ili kuiondoa CCM. Inatuuthi mno
 
Including wewe na kalaptop kako ulikopewa kufanyia kazi maalum
There are currently 82 users browsing this thread. <font color="#777777">(24 members and 58 guests)<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/teeth.png" border="0" alt="" title="Teeth" smilieid="302" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/drum.gif" border="0" alt="" title="Drum" smilieid="171" class="inlineimg" /></font>
<br />
<br />
 
Gazeti lenu la TZ Daima limeshindwa kuwa gazeti lenye mvuto, hebu angalia hata jf post from newspapers uone ngapi ni za hilo gazeti pamoja na jf kuwa na pro-CDM wengi.
Kwenye website yao habari zinabadilishwa after 3days
I tell u kama mtataka TV yenu ifanikiwe punguzeni propaganda za ki-CDM, la itabakia TV jina tu.
Zitto mwenyewe ile habari yake ya meli znz hakutuma TZ daima, wala JF, jiulize kwa nini?

Hili ji swali mujalabu kwa zitto mwenyewe, nenda kamuulize.

Ama la, wewe ni muwakilishi wake na amekutuma unaweza kutufahamisha kwanini alizipeleka huko,....
 
Chadema; The ruling party is a Ship with a million Captains. When they want to go left... They use dinosaur approaches to do so and it takes them 1 year to make the decision, 2 years to prepare everyone, 3 years to begin steering the ship left.... take advantage of this by using clever new ways of getting to the masses in the Rural areas; 60% of urban areas, Chadema won in 2010; 75% of Cash-flow remittance flow from Urban to Rural...

Influence those who send money to the Rural areas to change the thinking and mindsets of relatives/family/friends.... Strategise on using the Urban stronghold to influence the Rural by tapping into Remittance intelligence..
 
Back
Top Bottom