kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
kweli kabisaa kwa mfano kuna jamaa yangu ananiambia udom inamiaka mitatu na nusu lakini majengo yake yana crake za kutisha,tiles zinacheza ukikanya majengo hayajakabidhiwa lakini yanahitaji repair na ni hao hao CRJE,they do not know if cheaper things comes with costs
swala la udom ni kwamba lile eneo waliopewa kujenga chuo ni earth quake zone that why halikua na kitu asilimia kubwa jamaa wamekurupuka kushusha migorofa ya nguvu bila kuomba ushauri ofisi ya georgical survey of tanzania hata pindi walipofuatwa shauriwa nasikia uongozi walikua wabishi thats why all