CRDB: The most Inefficient Bank of all times

  1. Loss of Direction, Very unfriendly Environment
Ninaandika kupata maoni yenu juu ya sekta ya fedha, particularly contribution mbovu ya CRDB katika utoaji wa huduma za kibenki.

Hapa nazungumzia huduma simple na ya moja kwa moja ya kuchukua na kutoa fedha. Mimi ni mteja wa branch ya kijitonyama. Uzoefu wangu ni muda wanaotumia kuhudumia wateja na ufanisi wa matela. Wahudumu wako very slow, na ukiwauliza siku zote watakwambia system yao ama iko down, ama iko slow.

Lakini pamoja na hayo wahudumu hawa wanaingiza mambo yasiyo ya kikazi kwama vile kuongea na simu katikati ya huduma, kuchat ama kutuma messages wakati mteja akiwa dirishani kwao, kuongeleshana na watendaji waenzao ndani ya madirisha yao wakitokea milango ya ndani, yaani usumbufu ni mkubwa sana. haijalishi umefika saa ngapi, haijalishi siku gani ya juma, wala haijalishi umefuata huduma gani kila kitu ni slow kuliko unavyoweza kufikiri.

Naamini hii ni taswira ya kawaida sana, hata ukiwa kwenye foleni kila mteja analalamika na hakuna improvement. kinachonishangaza ni namba ambavyo si bodi wala serikali ambaye ni mdau anayeonekana kusumbuliwa na hii lack of efficiency na incompetence ya timu yao.

Kwa sasa watu wafanyabiashara wengi sana wanategemea benki za nje, ambazo ni ndogo tu kama baclays, FNB, stanbic kupitishia transactions zao, jambo ambalo halionekani kuwasumbua viongozi wa benki hii, zaidi ya kulalamikia serikali kuhamishai hela zake BOT.

2.Nini Kifanyike
Tunaomba Bodi na serikali kuchukua hatua za haraka ili kuinusuru banki hii. Ni muda sasa kufanyike yale yaliyofanywa na BOT ya kuiondoa management nzima na safu zima ya wakurugenzi manake wanachofanya ni kujali maslahi yao na siyo kazi yao.

Management iwapatie wafanyakazi mafunzo muafaka ili kuboresha utendaji wao. Wafanyakazi wananuna masaa yote, they look very tired and exosted, na hawana content inapowahitaji kuuza huduma.
Nawasilisha

Mie naona kama umetumwa kuharibia benki ya CRDB. Mtoa mada kama kweli Ana tatizo genuine angelezea tatizo Ila ameingiza issue personal na hii inaonyesha kaja kuharibu taswira ya jamiiforum. Kwani hapa jukwaani tuna discuss issues mbali mbali! Ukiangalia ukweli CRDB ndio inaongoza kwa ubunifu! Mtoa mada anaishi wapi?ujaona TV jumamosi? Ubunifu umeisha juzi tu wamelaunch Simaccount na simbanking yao ni Bora kuliko hata MNOs. Aondoke Kimei utasubiri sana. Ubunifu sio swala la umri ni kujiongeza.Njoo na issue specific sio kujumuisha bank nzima!
 
Tukienda na ukweli benki nyingi za Tanzania huduma mbovu sana
Sana sana zile zenye wateja wengi
Na zile mpya mpya

Zile za Nje ya Tz wana huduma safi sana
 
I have been a customer of CRDB Bank for couple of years.As kijitonyama my domicile branch I have been served several times timely with high service level.And their staff are always charm,I never been disappointed. [HASHTAG]#crdbbankmyfirstchoice[/HASHTAG].
 
  1. Loss of Direction, Very unfriendly Environment
Ninaandika kupata maoni yenu juu ya sekta ya fedha, particularly contribution mbovu ya CRDB katika utoaji wa huduma za kibenki.

Hapa nazungumzia huduma simple na ya moja kwa moja ya kuchukua na kutoa fedha. Mimi ni mteja wa branch ya kijitonyama. Uzoefu wangu ni muda wanaotumia kuhudumia wateja na ufanisi wa matela. Wahudumu wako very slow, na ukiwauliza siku zote watakwambia system yao ama iko down, ama iko slow.

Lakini pamoja na hayo wahudumu hawa wanaingiza mambo yasiyo ya kikazi kwama vile kuongea na simu katikati ya huduma, kuchat ama kutuma messages wakati mteja akiwa dirishani kwao, kuongeleshana na watendaji waenzao ndani ya madirisha yao wakitokea milango ya ndani, yaani usumbufu ni mkubwa sana. haijalishi umefika saa ngapi, haijalishi siku gani ya juma, wala haijalishi umefuata huduma gani kila kitu ni slow kuliko unavyoweza kufikiri.

Naamini hii ni taswira ya kawaida sana, hata ukiwa kwenye foleni kila mteja analalamika na hakuna improvement. kinachonishangaza ni namba ambavyo si bodi wala serikali ambaye ni mdau anayeonekana kusumbuliwa na hii lack of efficiency na incompetence ya timu yao.

Kwa sasa watu wafanyabiashara wengi sana wanategemea benki za nje, ambazo ni ndogo tu kama baclays, FNB, stanbic kupitishia transactions zao, jambo ambalo halionekani kuwasumbua viongozi wa benki hii, zaidi ya kulalamikia serikali kuhamishai hela zake BOT.

2.Nini Kifanyike
Tunaomba Bodi na serikali kuchukua hatua za haraka ili kuinusuru banki hii. Ni muda sasa kufanyike yale yaliyofanywa na BOT ya kuiondoa management nzima na safu zima ya wakurugenzi manake wanachofanya ni kujali maslahi yao na siyo kazi yao.

Management iwapatie wafanyakazi mafunzo muafaka ili kuboresha utendaji wao. Wafanyakazi wananuna masaa yote, they look very tired and exosted, na hawana content inapowahitaji kuuza huduma.
Nawasilisha
It is funny how you seem to generalise the service received at one branch with the entire bank. To be honest your opinion is rather biased and not to be trusted. I have been a customer of the bank for almost half a decade and overall I am quite pleased with the level of service and their customer-centric conduct. If the branch you're referring to is as bad as you say, you should report those events to their management instead of attempting to tarnish the reputation of such a reputable bank, that has for just over 2 decades strived to listen to its' customers and provide quality and innovative service.
 
Inasikitisha sana kuona kuwa bado Watanzania tuna safari ndefu kwenye matumizi ya mitandao kuwasilisha maoni yetu. Hivi mtu anaanza kwa kusema kuwa CRDB Bank ni most inefficient bank of the all time.

Hivi hii benki ambayo tangu ilipo binafsishwa imekua ikipata faida mfululizo hadi kufikia kuwa benki ya inayoongoza kwa kuwa na largest balance sheet nchi hii unaweza kuiita ni inefficient bank of all times ? Hivi benki ambayo imekua benki ya kwanza nchini inayoongozwa na wazalendo kuvuka mipaka na kufungua tawi nje ya nchi unaweza kuiita ni inefficient bank of all times?

Hivi benki ambayo imeajili takribani wafanyakazi wazawa elfu 3 na kutoa fursa ya biashara kwa mawakala zaidi ya 2500 unaweza kuita inefficient bank of all times? Hivi benki ambayo imefika mikoa yote nchini na kuchochea financial inclusion unaweza kuita inefficient bank of all times? Hivi benki ambayo imetunikiwa tuzo ya SuperBrand tangu mwaka 2009 unaweza kuita inefficient bank of all times?

Hivi benki ambayo imekua benki ya kwanza nchini kupata tuzo ya Euro Money unaweza kuita inefficient bank of all times? Hivi benki ambayo mwaka huu tu imepata tuzo ya kuwa benki bora kwa upande wa SME na kurudisha faida kwa jamii unaweza kuita inefficient bank of all times?. Tuachane na hayo mana orodha ni ndefu ya mafanikio ya benki hii.

Lakini kubwa zaidi ni mtoa hoja ameonyesha kuwa na chuki binafsi kwa uongozi wa benki kwani mafaniko ya Benki ya CRDB huwezi kuyaweka mbali na uongozi wake chini ya Dr. Kimei ambae wakati anafika benki ilikua katika hali mbaya na kwa kushirikiana na wenzake katika uongozi wameweza kuifanya benki hii kuwa mfano wa kuigwa kwa taasisi ambazo zinaongozwa na wazawa.

Naamini kabisa haya yote yamekuja baada ya kuona serikali imefurahishwa mchango wa Benki ya CRDB na hasa baada ya kupokea gawio la hisa la bilioni 19.5. Inafahamika kwamba benki ya NMB walitumia ushawishi gawio lao la hisa kufanya Mheshimiwa Raisi awapigie debe kwenye uzinduzi wa tawi lao la Mtwara.

Hivo kuona uongozi wa Benki ya CRDB kwa kushirikiana na DANIDA kukabidhi gawio la hisa kwa serikali imewakwaza hawa watu wa NMB na kuanza kampeni hizi chafu dhidi ya uongozi wa Benki ya CRDB. Nafikiri mabenki yanapaswa kushindana kutoa huduma bora na sio kutumia mitandao ya kijamii kuchafuana pasipo hoja za msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani nilikuwa napata account E-statement kila mwezi bila shida lakini siku hizi imekuwa mpaka niombe tena kwa kubembeleza. Nimeomba statement mwezi wa 7 lakini mpaka Leo August 30 sijapewa. Sasa tukisema huduma mbovu tutakuwa tumekosea?
 
CRDB pamoja na ukongwe na idadi kubwa ya wateja wamejitahidi kufungua branch Burundi,?
Why not Kenya? Why not UG? Why not Zambia? Kwa nini isiwe SA,??
Ikumbukwe kuwa Wageni wanaotoka mataifa haya wakifika Tz wanafanya banking kwa Bank za nchi zao, mfano wakenya wengi huwa napanganao foleni KCB,
KCB have nothing special lakini wamejitanua outside Kenya wamefungua operations nchi nyingi tu Africa
Tanzania kuna branches kibao Dar, na pia mikoani.
CRDB ????, any???

Nilitupaga account ya CRDB japo juzijuzi hapa nimejikuta nairudia, but ni Kweli CRDB imejaa incompetent employees.
Kuna branch iko hapa ubungo business park ukipata tatizo lazima urudi pale hata Mara 3 hadi 5 ndio unapata suluhu.
Poor CRDB,
Ubunifu umefika kikomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CRDB pamoja na ukongwe na idadi kubwa ya wateja wamejitahidi kufungua branch Burundi,?
Why not Kenya? Why not UG? Why not Zambia? Kwa nini isiwe SA,??
Ikumbukwe kuwa Wageni wanaotoka mataifa haya wakifika Tz wanafanya banking kwa Bank za nchi zao, mfano wakenya wengi huwa napanganao foleni KCB,
KCB have nothing special lakini wamejitanua outside Kenya wamefungua operations nchi nyingi tu Africa
Tanzania kuna branches kibao Dar, na pia mikoani.
CRDB ????, any???

Nilitupaga account ya CRDB japo juzijuzi hapa nimejikuta nairudia, but ni Kweli CRDB imejaa incompetent employees.
Kuna branch iko hapa ubungo business park ukipata tatizo lazima urudi pale hata Mara 3 hadi 5 ndio unapata suluhu.
Poor CRDB,
Ubunifu umefika kikomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unapaswa kuelewa kuwa ili mpaka ufungue tawi sehemu au biashara lazima ufanye feasibility study na kuona kama biashara hiyo itakulipa au vipi. Kwa nini Burundi? Hii ni nchi ambayo soko lake bado haliko saturated na inafanya biashara nyingi kupitia bandari ya Dar es Salaam. Hivo kuna opportunity kubwa tofauti na nchi ambazo ulizozisema. Na Burundi ndo nchi ya kwanza kwenda nje ya nchi hivo lazima upime kuona mafanikio yake kabla haujaenda nchi nyingine. Kuna benki imesheherekea miaka 50 juzi ila hata mpakani mwa Tanzania na Burundi haijafika. Hapa tunazungumzia Benki ya CRDB yenye miaka 20 tu huku ikiongozwa na wazawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mteja wa Crdb na NMB for years na nishahudumiwa sana Azikiwe @ branch na kwa sasa tawi la Iringa... sijawahi kujutia kwakweli. Mapungufu madogo madogo yanakuwepo kwakuwa watu wanabadilika badilika lakini so far Crdb ni the best kwakweli. Huwezi kufananisha na NMB au bank zingine za hapa tz.
Japo CRDB management wayachukue haya mapungufu yaliyoongelewa ili kuboresha zaidi huduma. Maana watoa huduma wanatofautiana attitude na uelewa wa good customer service kwa ujumla.
Dr. Kimei amejitahidi sana kufikisha bank ilipo..tumpe credit kwa huduma mpya nyingi alizoanzisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni mfumo wa bank au wahudumu wa bank? Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Wahudumu, ila mfumo wa benki nawo una utata, walibweteka sana hawa mgongoni mwa serikali, sasa ndipo tutakapowaona kama kweli ni wapiga kazi au wababishaji..
 
Back
Top Bottom