CRDB: The most Inefficient Bank of all times

CRDB: The most Inefficient Bank of all times

nndondo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2010
Posts
1,251
Reaction score
901
  1. Loss of Direction, Very unfriendly Environment
Ninaandika kupata maoni yenu juu ya sekta ya fedha, particularly contribution mbovu ya CRDB katika utoaji wa huduma za kibenki.

Hapa nazungumzia huduma simple na ya moja kwa moja ya kuchukua na kutoa fedha. Mimi ni mteja wa branch ya kijitonyama. Uzoefu wangu ni muda wanaotumia kuhudumia wateja na ufanisi wa matela. Wahudumu wako very slow, na ukiwauliza siku zote watakwambia system yao ama iko down, ama iko slow.

Lakini pamoja na hayo wahudumu hawa wanaingiza mambo yasiyo ya kikazi kwama vile kuongea na simu katikati ya huduma, kuchat ama kutuma messages wakati mteja akiwa dirishani kwao, kuongeleshana na watendaji waenzao ndani ya madirisha yao wakitokea milango ya ndani, yaani usumbufu ni mkubwa sana. haijalishi umefika saa ngapi, haijalishi siku gani ya juma, wala haijalishi umefuata huduma gani kila kitu ni slow kuliko unavyoweza kufikiri.

Naamini hii ni taswira ya kawaida sana, hata ukiwa kwenye foleni kila mteja analalamika na hakuna improvement. kinachonishangaza ni namba ambavyo si bodi wala serikali ambaye ni mdau anayeonekana kusumbuliwa na hii lack of efficiency na incompetence ya timu yao.

Kwa sasa watu wafanyabiashara wengi sana wanategemea benki za nje, ambazo ni ndogo tu kama baclays, FNB, stanbic kupitishia transactions zao, jambo ambalo halionekani kuwasumbua viongozi wa benki hii, zaidi ya kulalamikia serikali kuhamishai hela zake BOT.

2.Nini Kifanyike
Tunaomba Bodi na serikali kuchukua hatua za haraka ili kuinusuru banki hii. Ni muda sasa kufanyike yale yaliyofanywa na BOT ya kuiondoa management nzima na safu zima ya wakurugenzi manake wanachofanya ni kujali maslahi yao na siyo kazi yao.

Management iwapatie wafanyakazi mafunzo muafaka ili kuboresha utendaji wao. Wafanyakazi wananuna masaa yote, they look very tired and exosted, na hawana content inapowahitaji kuuza huduma.
Nawasilisha
 
Tatizo lenu wateja, wakiongeza makato kwenye akaunti zenu kwa miamala mnayoifanya kupitia huduma za benki mnalalamika. Sasa maslahi ya wafanyakazi yataboreshwaje? Pia benki itawezaje kumudu gharama za kuongeza watoa huduma ikiwa hamko radhi kuzilipia? Think twice... Kulalamika ndiyo but not to that extent!
 
Waboreshe huduma! inashangaza saa mbili na nusu wanafungua milango halafu wateja wakiingia unakuta mfano tellers ndio kwanza hata hawajawa tayari kwenye madirisha yao kuhudumia wateja, tena wanachukua hata dakika ishirini ndio wanaanza kutoa huduma
 

  1. Loss of Direction, Very unfriendly Environment
Ninaandika kupata maoni yenu juu ya sekta ya fedha, particularly contribution mbovu ya CRDB katika utoaji wa huduma za kibenki. Hapa nazungumzia huduma simple na ya moja kwa moja ya kuchukua na kutoa fedha. Mimi ni mteja wa branch ya kijitonyama. Uzoefu wangu ni muda wanaotumia kuhudumia wateja na ufanisi wa matela. Wahudumu wako very slow, na ukiwauliza siku zote watakwambia system yao ama iko down, ama iko slow. Lakni pamoja na hayo wahudumu hawa wanaingiza mambo yasiyo ya kikazi kwama vile kuongea na simu katikati ya huduma, kuchat ama kutuma messages wakati mteja akiwa dirishani kwao, kuongeleshana na watendaji waenzao ndani ya madirisha yao wakitokea milango ya ndani, yaani usumbufu ni mkubwa sana. haijalishi umefika saa ngapi, haijalishi siku gani ya juma, wala haijalishi umefuata huduma gani kila kitu ni slow kuliko unavyoweza kufikiri. Naamini hii ni taswira ya kawaida sana, hata ukiwa kwenye foleni kila mteja analalamika na hakuna improvement. kinachonishangaza ni namba ambavyo si bodi wala serikali ambaye ni mdau anayeonekana kusumbuliwa na hii lack of efficiency na incompetence ya timu yao. Kwa sasa watu wafanyabiashara wengi sana wanategemea benki za nje, ambazo ni ndogo tu kama baclays, FNB, stanbic kupitishia transactions zao, jambo ambalo halionekani kuwasumbua viongozi wa benki hii, zaidi ya kulalamikia serikali kuhamishai hela zake BOT.

2.Nini Kifanyike
Tunaomba Bodi na serikali kuchukua hatua za haraka ili kuinusuru banki hii. Ni muda sasa kufanyike yale yaliyofanywa na BOT ya kuiondoa management nzima na safu zima ya wakurugenzi manake wanachofanya ni kujali maslahi yao na siyo kazi yao.

Management iwapatie wafanyakazi mafunzo muafaka ili kuboresha utendaji wao. Wafanyakazi wananuma massa yote, they look very tired and exosted, na hawana content inapowahitaji kuuza huduma. Nawasilisha
Km umegundua huyu jamaa anatoka au ametumwa na bank shindani na crdb naomba like yako tufahamiane tunaoona mbali...

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Uko dar? Ukitaka huduma nzuri nenda pale BMW Tower chini kuna executive branch unapata huduma huku unakunywa kahawa.

Transaction moja ni shilingi 10,000. Zikiwa mbili 13,000. Yani kila transaction inayoongezeka badala ya transaction ya kwwnza ni shilingi 3,000, hii ni kwa ambao sio wateja. Kama ni mteja wao ni bure.

Kwa nini upoteze masaa 2 kwenyw foleni azikiwe au holland wakati unaweza kulipia 10,000 ukapata huduma dakika 2 ukaendelea ma maisha.

Muda una thamani kuliko hela, muda ukiupoteza huwezi kuupata tena ila hela inapatikana.

Pamoja na hilo kila benk ina changamoto zake, ukiona hujaridhika na huduma muone meneja wa tawi fasta.
 
Kimei apumzike sasa. Anataka kufia kwenye kiti hicho. Toka watoto tunamsikia Kimei Kimei. Ni vyema CRDB ikapata damu mpya. Maafisa wa mikopo CRDB hasa akina dada, wana kauli chafu sana kana kwamba CRDB ni mali ya mama zao. Kimsingi mtoa hoja yuko right. CRDB siyo kama ild ya zamani. Sasa ni goigoi kama taasisi ya serikali. Benki za nje kama stanbic nk ziko very efficient. Hata masharti ya mikopo siyo magumu kama crdb. Crdb inategemea zaidi kukopesha wafanyakazi wa serikali kwa riba kubwa. Nawaambia riba ya mabenki mengine ni chini sana. CEDB munyiongeze. Dunia imebadilika.
 
  1. Loss of Direction, Very unfriendly Environment
Ninaandika kupata maoni yenu juu ya sekta ya fedha, particularly contribution mbovu ya CRDB katika utoaji wa huduma za kibenki. Hapa nazungumzia huduma simple na ya moja kwa moja ya kuchukua na kutoa fedha. Mimi ni mteja wa branch ya kijitonyama. Uzoefu wangu ni muda wanaotumia kuhudumia wateja na ufanisi wa matela. Wahudumu wako very slow, na ukiwauliza siku zote watakwambia system yao ama iko down, ama iko slow. Lakni pamoja na hayo wahudumu hawa wanaingiza mambo yasiyo ya kikazi kwama vile kuongea na simu katikati ya huduma, kuchat ama kutuma messages wakati mteja akiwa dirishani kwao, kuongeleshana na watendaji waenzao ndani ya madirisha yao wakitokea milango ya ndani, yaani usumbufu ni mkubwa sana. haijalishi umefika saa ngapi, haijalishi siku gani ya juma, wala haijalishi umefuata huduma gani kila kitu ni slow kuliko unavyoweza kufikiri. Naamini hii ni taswira ya kawaida sana, hata ukiwa kwenye foleni kila mteja analalamika na hakuna improvement. kinachonishangaza ni namba ambavyo si bodi wala serikali ambaye ni mdau anayeonekana kusumbuliwa na hii lack of efficiency na incompetence ya timu yao. Kwa sasa watu wafanyabiashara wengi sana wanategemea benki za nje, ambazo ni ndogo tu kama baclays, FNB, stanbic kupitishia transactions zao, jambo ambalo halionekani kuwasumbua viongozi wa benki hii, zaidi ya kulalamikia serikali kuhamishai hela zake BOT.

2.Nini Kifanyike
Tunaomba Bodi na serikali kuchukua hatua za haraka ili kuinusuru banki hii. Ni muda sasa kufanyike yale yaliyofanywa na BOT ya kuiondoa management nzima na safu zima ya wakurugenzi manake wanachofanya ni kujali maslahi yao na siyo kazi yao.

Management iwapatie wafanyakazi mafunzo muafaka ili kuboresha utendaji wao. Wafanyakazi wananuma massa yote, they look very tired and exosted, na hawana content inapowahitaji kuuza huduma. Nawasilisha
Summary

-Mteja wa CRDB branch ya Kijitonyama kumbe wana limiti kuwa mteja wa Tawi?

-Nimeona Neno Serikali Bank ya CRDB siyo ya Serikali

-Bank ndogo Umetaja Barclay's na Stanbick Nikumbushe Bank ya Barclays ilianzishwa mwaka 1736 lakini ilianza mwaka 1690. Stanbic Nayo ni Bank Kubwa.
 
Uko dar? Ukitaka huduma nzuri nenda pale BMW Tower chini kuna executive branch unapata huduma huku unakunywa kahawa.

Transaction moja ni shilingi 10,000. Zikiwa mbili 13,000. Yani kila transaction inayoongezeka badala ya transaction ya kwwnza ni shilingi 3,000, hii ni kwa ambao sio wateja. Kama ni mteja wao ni bure.

Kwa nini upoteze masaa 2 kwenyw foleni azikiwe au holland wakati unaweza kulipia 10,000 ukapata huduma dakika 2 ukaendelea ma maisha.

Muda una thamani kuliko hela, muda ukiupoteza huwezi kuupata tena ila hela inapatikana.

Pamoja na hilo kila benk ina changamoto zake, ukiona hujaridhika na huduma muone meneja wa tawi fasta.
Looo! mengine inabidi niwaaachie akina Rugemalalila na timu yake! sio saizi yangu
 
Km umegundua huyu jamaa anatoka au ametumwa na bank shindani na crdb naomba like yako tufahamiane tunaoona mbali...

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Uyu jmaa kma hjatumwa, bac wamemnyima kaz. Ana stress

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
DG amekaa muda mrefu kwenye hiyo position. Anatakiwa mtu mwenye mawazo mapya and if possible aje na management team mpya. Bila hivyo ni business as usual. Ila kwa ku-appear kwenye media na selfie hilo nimpongeze.
 
Back
Top Bottom