CRDB Salary Advance

Wewe ni wale walioenda shule kusomea ujinga, ushaambiwa mkopo unalipwa ndani ya mwezi husika, hayo ya mwaka yametoka wapi?
Mkuu ukiwa unachukua salary advance ya TZS 500,000 ili ukatwe mwisho mwezi na ukafanya hivyo kila mwezi kwa miezi 12 utailipa benki jumla ya TZS 300,000 (TZS 25,000 X 12) hiyo ni sawa na 60% (yaani TZS 300,000/500,000)
 
Mkuu ukiwa unachukua salary advance ya TZS 500,000 ili ukatwe mwisho mwezi na ukafanya hivyo kila mwezi kwa miezi 12 utailipa benki jumla ya TZS 300,000 (TZS 25,000 X 12) hiyo ni sawa na 60% (yaani TZS 300,000/500,000)
Kwann ufanye hivo??!

Yaan unakopa kila mwezi?! Why?

Nadhan hawa crdb wanamaanisha haka kamkopo ni ka dharura....kakusogeza siku.
 
hahahaha mkuu acha tu ....nimeona hapo awali nikaganda kidogo hizo hesabu nikajiuliza hivi nimepitwa na mabadiliko ya uchumi in reality au watu wamevurugwa tu..
well la msing wote sio waliosomea uchumi accounts nk..so sio kuwa judge ( najua utasema basic maths olevo na advance - ila assume walikua ndo vilaza hawa wala basic concept hawakutaka )
 
Mkuu ukiwa unachukua salary advance ya TZS 500,000 ili ukatwe mwisho mwezi na ukafanya hivyo kila mwezi kwa miezi 12 utailipa benki jumla ya TZS 300,000 (TZS 25,000 X 12) hiyo ni sawa na 60% (yaani TZS 300,000/500,000)
Huu mkopo unalipwa kwa mwezi husika sasa kama wewe utaamua kuwa unakopa kila mwezi hiyo ni juu yako.
 
Well done!
 
Apa kwa mwezi lazima CRDB ikombe pesa za walimu wengi sana...jamaa wanabuni mbinu za kufilisi watu tu....heheheee big up sana , jamaa wameiva kwenye taaluma zao
. Itawasaidia Wafanyakazi, Maana wengine Mshahara hauwafikishi hata Katikati ya Mwezi wanaishia kuhangaika kukopa Mitaani.

Hii naona ina sound like; Mtu anakuwa analipwa Mara mbili ktk mwezi,yaan Mshahara wake unagawanywa mara mbili, Nusu anapata kabla ya Mwisho wa mwezi,Nyingine mwishoni
. Itawasaidia kuganga njaaa.
 
Ndio chaguo langu CRDB.
 
Mkuu ukiwa unachukua salary advance ya TZS 500,000 ili ukatwe mwisho mwezi na ukafanya hivyo kila mwezi kwa miezi 12 utailipa benki jumla ya TZS 300,000 (TZS 25,000 X 12) hiyo ni sawa na 60% (yaani TZS 300,000/500,000)
Mkuu hesabu zako ni za uongo..umesahau kila mwezi utakuwa unachukua 500,000 ambayo mwaka mzima utakuwa umechukua(500,000*12=6,000,000) kwa riba ya 300,000.
 
Mbona Mimi nimejaribu kukopa naambiwa hawajaniunga????

Kuna aliyejaribu kukopa humu ndani na akafanikiwa????

Maana tusijetukawa tunatoa pongezi zisizo na uhalali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…