God bless youMa bush loyal ingieni PayPal msome sio kuja hapa na hoja za kipuuuuzi vitu hamjui mnajifanya mnajua
Me nachokiona cha msingi night kuwasiliana nao kupitia namba zao za call center upate msaada WA haraka kuliko kuita watu waje watoe ushahidi ambao hawako katika Hali kama yako kwasasa. Wanapatikana kwa namba 0714197700 , 0789197700 na 0222197700 kaka Sema nao usikie wengine tunaendelea kufurahia huduma zao kill kukichaa na kuchanja kadi kama kawaida tushinde twende dubai.
Umesoma alichoandika vizuri na kumuelewa? Kama wasipoweza kumtatulia shida yake bado atarudi hapa hapaMe nachokiona cha msingi night kuwasiliana nao kupitia namba zao za call center upate msaada WA haraka kuliko kuita watu waje watoe ushahidi ambao hawako katika Hali kama yako kwasasa. Wanapatikana kwa namba 0714197700 , 0789197700 na 0222197700 kaka Sema nao usikie wengine tunaendelea kufurahia huduma zao kill kukichaa na kuchanja kadi kama kawaida tushinde twende dubai.
Huyu jamaa anajifanya banker lakini mweupe kishenzi... nadhani atakuwa ama mfunga voucher au Teller (I don mean to insult) na ndio maana hata banking transactions zinavyoenda hajui!
Kaka pole kwa hilo
Ila mimi naamini CRDB Bank Plc sio bank ya wazungu ni bank inayomilikiwa na watanzania so unapo kua na shida hiyo ni vizuri ukafika bank ukauliza vizuri ukapewa utaratibu mzuri na ukaweza kutatua matatizo yako
Pili naamini ulivyo wezeshwa kufanya online purchase uliverfy card yako kwa kuclick VBV ile ni veryfied By Visa that means transaction zako zote ziko secured so ni dispute ambayo bank kama bank lazima ijiridhishe ili iweze kurudisha pesa yako maana visa atahusika tuu
Tatu kaka ni heri chizi ulie mzoea kuliko chizi mgeni ukisema uhamie kwa bank nyingine wewe utakua sio problem solver oriented why hutaki changamoto kwenye maisha yako while unaishi kwa dunia ya changamoto. Ila tatua ili ulioko ako nako ndo ukihamia kwa bank nyingine unakua umejifunza ikitokea kitu kama hii unafanyaje otherwise huko napo ikikuja kukukuta also you will speak the same story in the forum
So kindly be polite go and ask for more information and i know crdb ako managers directors they will assist you what i know no money inayoweza potea kwa bank ask about procedures of refund then they will tell you very well.
Boss naamini kama umefwatilia bank na ukarise dispute bank that means uko kwa safe side so ni bank ndo inapaswa kukuhudumia .Mkuu umeongea umeongea vizuri sn ila point of correction hizi refund pesa huwa zinapotea kabisa na watu tulishapoteza sn mfano kuna mdau kasema policy za visa refund ziko valid for 145 days but for master card is only 30 days sasa km hutopata ufumbuzi for 30 days in case of master card si ndo pesa kupotea???
Kaka elewa division of labour and specialisation wewe hapo ulipo huwezi ukafanya kila kitu perfectly ukiwa kwa biashara or kwa any taasisi lakini kitu kikija kwa uwanja wako you are more efficient so lazima ujue kila ofisi iko na utaratibu wake ila what i know watanzania ni wavivu sana wa kufwatilia vitu lakini kwa imani yangu issue ya refund ni simple sana kikubwa ni kuseek imformation from the bank then utapewa tuu because bank without customer is nat a bank wadau.Mkuu uko sawa kabisa hizi issue sio kila banker anazijua ni tu staff wa kitengo wanao uelewa unaweza shangaa ukaenda tawini kutafuta msaada lkn utashangaa nao wanapiga simu ktk kitengo kuuliza km sisi wateja tunavyopiga simu
Exim hakuna online purchaseMpaka ninavyoandika hapa ni returns za takribani Euro 400. Yapata miezi miwili sasa. CRDB International House nahisi ndio wanaosababisha kadhia hii kwa wateja. Kuna mtu amenishauri niumie Kado za Exim. Hawana usumbufu wa aina hii and kwa wateja.
$139.99 sawa na Laki 2 na themanini na senti kadha hata laki3 haifikii manNatumia huduma ya kadi kufanya manunuzi online na kwa muda mrefu nimekuwa nikinunua vitu online kupitia paypal (gateway) lakini huwa inatokea muda mwingine nikanunua kitu halafu seller akashindwa kuleta nafungu kesi paypal na baadaye seller anaamua kunilipa (refund) lakini cha ajabu nikishalipwa na seller hela yangu huwa hairudi kwenye akaunti. Na mara nyingi nikirudishiwa hela paypal nao huwa wananitumia email kwamba nimerudishiwa hela na kwakuwa huwa nanunua kwa kutumia CRDB Visa Card hela yangu huwa inarudi kwenye akaunti yangu.
Hivi karibuni yapata kama mwezi mmoja na siku kadhaa hivi nilifanya transaction online ya $139.99 ambayo kwa hela ya kibongo ni kama 316,632 Tsh. Baadaye seller akasema kwamba ameishiwa na stock kwahiyo atarudisha hela yangu ili baadaye akiwa na bidhaa stock atanitaarifu nilipie tena. Baada ya siku tatu seller akanitumia meseji kwamba ameni-refund tayari na baadaye paypal wakathibitisha kwamba nimerudishiwa hela na imerudi kwenye akaunti yangu. Niliwasiliana na watu wa customercare kwa email nikawaambia juu ya suala hilo nao wakawasilisha kwenye Idara ya Refunds, baada ya hapo nikapokea email kutoka kwao kwamba niwatumie receipt ya refund hiyo kwa pdf nikafanya hivyo na nikawatumia na refunds zangu za nyuma ambazo kwa kipindi chote sikuwahi ziona kwenye bank statement yangu kama zimerudi.
Sasa cha ajabu tangu niwatumie hizo receipt hadi leo ni mwezi mzima hakuna mtu yeyote aliyetoa jibu kwamba nini kinaendelea, nimewaandikia emails zaidi ya saba hawajibu na nimewasiliana na watu wa customercare wanasema tatizo lako tumeliwasilisha wanalishughulikia. Lakini cha ajabu kwa kipindi hiki chote ninachosubiri kupata majibu kutoka kwao kuna harufu ya wizi naiona. Kuna thread kama hii niliisoma hapa kwenye jukwaa inaelezea jinsi wanavyoshirikiana kuzila hizo pesa za refunds kwa kugawana kuanzia kwa wakubwa wa vitengo hivyo ndio maana kwenye suala langu la kudai refunds zangu kuna kigugumizi kikubwa.
Najua kuna wengine wanaweza kuwa na experience kama hii nawaombeni mjitokeze hapa maana nafikiri hii siyo misingi bora ya utoaji huduma especially kwa Benki kubwa kama CRDB ambayo wateja wengi tunaiamini. Inaweza kuwa kuna watu wachache wanafanya hizo mambo na kuichafua Bank lakini nashangaa hata watu wa customer service nao kutojibu querry za wateja ni maadili ya kazi zao?
$139.99 sawa na Laki 2 na themanini na senti kadha hata laki3 haifikii man
Uneanza vibaya ukweli upi unataka? ulitakiwa kuuliza vizuri tu cashcard ni nini upate majibu sio kuanza uhalo hapo juuTuwe wa kweli jamani, ndio maana watu wanasema mnawachafua. cashcard ndio nini?