MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,537
- 21,855
Mnaokomaa kusema walitoa tangazo, kulikuwa na tangazo zaidi ya hili?? Halafu mjue sio kila mtu ni mfuatiliaji wa mitandao yao ya kijamii kwa nini hata wasingetuma message kwa wateja???
Hizo huduma zote walizosema zitafanya kazi kipindi cha marekebisho zote hazifanyi kazi. Ningekuwa na muda wa kupoteza ningewafungulia kesi
Hizo huduma zote walizosema zitafanya kazi kipindi cha marekebisho zote hazifanyi kazi. Ningekuwa na muda wa kupoteza ningewafungulia kesi