CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

Kubwjing

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
1,788
Reaction score
2,668
Wake kwa Waume habari zenu.

Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo

Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia SIMBANKING APP pia haifanyi kazi, haiwezekani kuwithdraw pesa na cha kushangaza hata Transfer haiwezekani.

Leo nimetaka kufanya transfer at least kuhamisha pesa kwenda kwenye benki nyingine kumbe nako hola

Haya basi mie nkaamua kwenda nihudumiwe ndani, nako wamesema hawafungui mpaka wiki ijayo hivyo hakuna huduma

Sasa Hii benki yafaa kuitumia kwa hifadhi ya pesa tena?
 
Wake kwa Waume habari zenu.

Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo

Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia SIMBANKING APP pia haifanyi kazi, haiwezekani kuwithdraw pesa na cha kushangaza hata Transfer haiwezekani.

Leo nimetaka kufanya transfer at least kuhamisha pesa kwenda kwenye benki nyingine kumbe nako hola

Haya basi mie nkaamua kwenda nihudumiwe ndani, nako wamesema hawafungui mpaka wiki ijayo hivyo hakuna huduma

Sasa Hii benki yafaa kuitumia kwa hifadhi ya pesa tena?
nawe si sikukuu hii
 
Mkuu, walitangaza kwamba wanafanya maboresho ya mfumo kwa muda wa siku tatu. Ulipuuzia hilo tangazo?
Hili tatizo halijaanza juzi, tangu wiki kadhaa zilizopita App yao haikufanya kazi wala huduma kwa njia ya simu
 
Wake kwa Waume habari zenu.

Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo

Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia SIMBANKING APP pia haifanyi kazi, haiwezekani kuwithdraw pesa na cha kushangaza hata Transfer haiwezekani.

Leo nimetaka kufanya transfer at least kuhamisha pesa kwenda kwenye benki nyingine kumbe nako hola

Haya basi mie nkaamua kwenda nihudumiwe ndani, nako wamesema hawafungui mpaka wiki ijayo hivyo hakuna huduma

Sasa Hii benki yafaa kuitumia kwa hifadhi ya pesa tena?
Umezungumzia Pemba Wenzio Wala sikukuu
 
Wake kwa Waume habari zenu.

Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo

Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia SIMBANKING APP pia haifanyi kazi, haiwezekani kuwithdraw pesa na cha kushangaza hata Transfer haiwezekani.

Leo nimetaka kufanya transfer at least kuhamisha pesa kwenda kwenye benki nyingine kumbe nako hola

Haya basi mie nkaamua kwenda nihudumiwe ndani, nako wamesema hawafungui mpaka wiki ijayo hivyo hakuna huduma

Sasa Hii benki yafaa kuitumia kwa hifadhi ya pesa tena?


Tumwelewe Polepole.
Hii nchi mifumo yake imetekwa na wahuni wachche sana ambao hawana uchungu na maisha ya wazawa hasa Watanganyika .

Mfano hizi benki kama NMB na CRDB zinakuza mitaji yao kwa kunyonya wazawa halafu faida wanakula mafisadi wanaoficha pesa ndani na kutakatisha pesa kwa kununua magari na kujenga majumba kwa bei kubwa.
NMB wafabyakazi wamekuza mtaji unakatibia tr.10... mpaka sasa lakni makato yanaongezeka kila siku tu .

Hao maponjoro kutoka Asia ,uarabuni na Pemba wengi wanficha pesa ndani kwa sababu wanakwepa makato ,kodi na pia imani zao haziruhusu Riba .

Ndio maana kwa sababu za kidini na siasa za udini na kugawa watu kwa sasa ndani ya mabenk kama CRDB kina mokopo ya kidini isiyo na riba kwa watu wa dini lakni riba za mabenki zinatumika kwa wanyonge kurndesha mitaji ya mabenki ya kinyonyji .

Tanganyika imevamiwa na wahuni .
 
Wake kwa Waume habari zenu.

Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo

Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia SIMBANKING APP pia haifanyi kazi, haiwezekani kuwithdraw pesa na cha kushangaza hata Transfer haiwezekani.

Leo nimetaka kufanya transfer at least kuhamisha pesa kwenda kwenye benki nyingine kumbe nako hola

Haya basi mie nkaamua kwenda nihudumiwe ndani, nako wamesema hawafungui mpaka wiki ijayo hivyo hakuna huduma

Sasa Hii benki yafaa kuitumia kwa hifadhi ya pesa tena?
Kijani walituambia tutatumia ATM na miamala ya simu lakini wapi. Ni muendelezo wa ujinga ujinga tu. Unawezaje kufunga huduma zote za benki kwa siku 3?
 
Habari kutoka kwa walevi wa ile bar....zinadokeza.... imepigwa tukio moja takatifu!

Ni swala la muda tu...itafahamika...,
Zitapotea fedha kwenye account yako bila mteja kujulishwa wala taarifa rasmi!...Tuupe muda nafasi....

kibaya ni kwamba hakuna taasisi ya hivi itaweka wazi hili!/utaambiwa ukweli kuwa wamepigwa..

Mtaanza kuona anguko la ghafla kwenye soko la hisa!
 
Walitangaza....ni kawaida kuboresha mifumo....! Hata ukihama ....huko nako wata updatemifumo
 
Back
Top Bottom