William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
hii imekuwa kawaida kuwa na malalamiko ya kukosa weredi hasa siku za karibuni ilivyozidi kujitanua,
Swala la rushwa kwenye utoaji mikopo ya watumishi na wajisilia mali limekuwa la kitaifa zamani nilizani ni simiyu tu kumbe ni konection kutoka juu, hii si siri tena wafanyakazi wa uma usipotoa rushwa inafikia wanaanza hadi kukatwa makato ya mwezi lakini hawajaupata mkopo. Wakati matangazo yao yanaonesha ni kupata mkopo ndani ya masaa 48 tu bila rushwa inachukua mpaka miezi kadhaa,
pamoja na kuwepo na taasisi nyingi za kifedha, CRDB iliwavutia wakopaji kwa kuwa na viwango nafuu zaidi vya riba 18% kwa mwaka nakutokuwa na garama nyingine nyingi za ziada ukilinganisha na benki zingine na taasisi zingine za kibenki, na hiki kimewapa wafanyakazi wake kiburi cha kuomba rushwa na kuwazungusha wateja wake kwa makusudi
pamoja na hayo huduma zao za cm bank zinasuasua muda mwingi hazifanyi kazi,
Swala la rushwa kwenye utoaji mikopo ya watumishi na wajisilia mali limekuwa la kitaifa zamani nilizani ni simiyu tu kumbe ni konection kutoka juu, hii si siri tena wafanyakazi wa uma usipotoa rushwa inafikia wanaanza hadi kukatwa makato ya mwezi lakini hawajaupata mkopo. Wakati matangazo yao yanaonesha ni kupata mkopo ndani ya masaa 48 tu bila rushwa inachukua mpaka miezi kadhaa,
pamoja na kuwepo na taasisi nyingi za kifedha, CRDB iliwavutia wakopaji kwa kuwa na viwango nafuu zaidi vya riba 18% kwa mwaka nakutokuwa na garama nyingine nyingi za ziada ukilinganisha na benki zingine na taasisi zingine za kibenki, na hiki kimewapa wafanyakazi wake kiburi cha kuomba rushwa na kuwazungusha wateja wake kwa makusudi
pamoja na hayo huduma zao za cm bank zinasuasua muda mwingi hazifanyi kazi,