Huyu ni Kimeo na sio Kimei!!!
Si atangaze?? Hv makabila makubwa kama wasukuma wangekua na crdb yao si wangejaa kila ofisi???
Bank ya wachaga hiyo unadhani watatangaza nafasi hile kwao......CRDB kama hili tawi la mbezi beach ndio wanakera usipime, kuna wadada wapo reception pale wanajiona kama wanafanyakazi UN, majibu ya hovyo sana
Mie nilienda card yangu ilinasa ndani, huweziamini toka mwaka jana june mpaka leo sijaipata card yangu, kila nikienda mara wanasema niandike barua, mara niende tawi nilipofungulia account, mara niombe maombi ya card nyingine yan brabrah tupu
Sio swala la ukubwa wa sijui hicho unachokiita Kabila, ni swala la uwezo wa kufanya kazi na Usomi, imetokea tu kwamba kwa sababu za kihistoria watu wa kutoka Mkoa wa KLM ndio waliosoma sana ukilinganisha na watu wa Mikoa mingine, yaani pengo la Kieleimu kati ya KLM na Mikoa Mingine ni kubwa sana!
[/QUOTE
Acha akili ya upoyoyo we jamaa
Kuna kina Masanja,Komba,Senga na Mwaikimba wana elimu zaidi ya kina Mushi!!
Network!!
and volunteerism...siku hizi watu wanaomba kujitolea. Mwajiri hawezi kukutafuta wewe fresh na amwache mfanyakazi ambaye amejitolea kwa miaka miwili na ameshajenga uzoefu. Tatizo watu mwataka ukitoka tu chuo uanze kulipwa mamilioni. Mambo yamebadilika....
Jitahidi umuone Kimei hakikisha umechukuwa cheti chako cha ubatizo hicho ndio muhimu ktk ajira za CRDB
Sio swala la ukubwa wa sijui hicho unachokiita Kabila, ni swala la uwezo wa kufanya kazi na Usomi, imetokea tu kwamba kwa sababu za kihistoria watu wa kutoka Mkoa wa KLM ndio waliosoma sana ukilinganisha na watu wa Mikoa mingine, yaani pengo la Kieleimu kati ya KLM na Mikoa Mingine ni kubwa sana!
[/QUOTE
Acha akili ya upoyoyo we jamaa
Kuna kina Masanja,Komba,Senga na Mwaikimba wana elimu zaidi ya kina Mushi!!
Sio kweli! Hakuna Mkoa nchini mwetu uliyoelimika au wenye Shule nyingi kama KLM, miaka ya themanini na tisini karibu nusu ya nzima ya Watz walisoma Mkoa wa KLM, na matokeo yake utayaona kila mahali, nenda Ofisi yoyote TZ na uangalie Watu wenye nafasi nzuri utakuta wamesoma KLM nenda hata UN ukikuta Mtz huko basi wengi wao atakuwa aidha anatoka KLM au amesoma KLM!
Umeielewa mada kweli??Sio kweli! Hakuna Mkoa nchini mwetu uliyoelimika au wenye Shule nyingi kama KLM, miaka ya themanini na tisini karibu nusu ya nzima ya Watz walisoma Mkoa wa KLM, na matokeo yake utayaona kila mahali, nenda Ofisi yoyote TZ na uangalie Watu wenye nafasi nzuri utakuta wamesoma KLM nenda hata UN ukikuta Mtz huko basi wengi wao atakuwa aidha anatoka KLM au amesoma KLM!
Kwa hiyo ili uajiriwe crdb sharti ukasome Kilimanjaro??
Ili ufanya kazi un shariti ukasome Kilimanjaro??
ili uwe kiongozi serikalin sharti ukasome Kilimanjaro??
Namashaka na elimu yako
Inanishangaza sana kwa watu wa KLM eti ni wasomi lkn utendaji/uongozi wao ni wa kimashaka halafu si waaminifu hata kidogo.
Jamani mwenzeni nimeenda CRDB Bank Azikiwe Leo, kuna jamaa yangu kaniambia kuna watu wanafanya usaili, nikauliza lini walitangaza hizo chance?
Akaniambia CRDB hawatangazi nafasi za kazi bali huambiana tu kimchongo zaidi.
Sasa huyu Charles Kimei au Charles Kimeo???
Tangazeni watu tukabishane kwa hoja!!!
Elimu ya Tanzania bhana. Mijitu badala ya kutafuta just small capita cha laki tano au chini ya hapo aanze ujasiria mali kwa uwezo wa taaluma aliyo nayo. Yeye anafikiria kuajiriwa
ili ukaibe au..
ili ukaibe au..
Huyu boya kweli,eti KLM ni wasomi
Wasomi wapi mnabebana??
Mnakumbuka kipindi Basil Pesambili Mramba akiwa waziri wa fedha? Alijaza wachaga TRA na Hazina balaa!!!!
Hiyo laki tano unaipataje sasa?? Tupe ujanja wa kuipata hiyo laki tano