MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,892
- 6,641
Naona matumbo tu na maziwa makubwa maua sijaona licha ya kuzoom picha nikaongezea na kukodoa jicho na lenzi juu but where Maua hamna
wako vizuri aiseeNaona matumbo tu na maziwa makubwa maua sijaona licha ya kuzoom picha nikaongezea na kukodoa jicho na lenzi juu but where Maua hamna
FactKwenye kufanya kazi ndio utajua kama kweli ni maua ama takataka...usiombe ufanye kazi sehem ambayo haya maua ni mengi...tena ukiwa boss ndo utatamani ubwage manyanga
Mkuu naomba namba ya huyo cheupe atleast amenishawishDu Tiba!, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe Tiba unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira ya kazi ni full kipupwe, hivyo wanaungua jua kidogo sana!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.
Hizi picha nimepiga mwenyewe, mimi ni mteja pale!, hakuna mkorogo wowote hapo!.
NB. Pia uwe na uwezo wa kudistinguish poda na mkorogo!, kama ni huyo cheupe, huyo cheupe ni cheupe original tena kule kwenye vyeupe, ila nakiri, kimetupia hapo poda nyingi kidogo!.
Wadada pendaneni!.
Pasco
Huyo bonge white ananyodo huyoo,utafikiri benki mali yakeView attachment 143838 View attachment 143839 View attachment 143840 View attachment 143841 View attachment 143842 View attachment 143843 View attachment 143844 View attachment 143845 View attachment 143846 Wanabodi,
Mnaweza kuona jinsi CRDB Tawi la Lumumba lilivyo na "Maua" na bado likapambwa maua!, hivyo huku sio ni kupendeza juu ya kupendeza?!.
Kiukweli ni just imagine, ni raha iliyoje kuhudumiwa "huduma" za kibenki mahali panapopendezea kihivi?!.
Week-end njema
Paskali
Unawezaje kutofautisha kitambi cha mwanamke na mimba?jamani wanawake na hivi vitambi...kah...!!!! tupunguze nyama choma na bia....
yupi mkuuHapo nimemwona mzuri ni mmoja tuu, wengine naona lipsticks na make up zimesaidia, wakiziondoa huwezi hata kumtamani
yupi mkuu
yah wengi nawafaham hapoVipi, unataka kunisaidia hata namba zake au?
yah wengi nawafaham hapo
yah wengi nawafaham hapo