emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 542
Daaaa yaani hapa naicheki noti imeshindwa kutoka ktk ATM mpaka imechanika kwa jinsi ilivyochakaa. Imenasa nimevuta imechanika yaani mpaka hasira.
Huu mwisho wa mwezi unakutana na noti mbofumbofu utafikiri imetoka kwa muuza mkaa.
Ujinga huu.
Huu mwisho wa mwezi unakutana na noti mbofumbofu utafikiri imetoka kwa muuza mkaa.
Ujinga huu.