supu ya nguruwe
Member
- Sep 27, 2017
- 7
- 12
Natafuta wa ku discuss nae CPA foundation level nipo maeneo ya Ngudu kwimba mwanza. haya mambo bila discussion hayaendi kabisa.....
Kama kweli mtu anataka kudiscuss wala hatajali jinaBadili jina la humu, yani serious unajiita supu ya nguruwe? Unategemea muislam atatamn kudiscuss ba wewe?
Kama kweli mtu anataka kudiscuss wala hatajali jina
Sio jina lake halisi walaNakuhakikishia sisi waislam ni haram hata kukaa karibu na mzoga au mfupa wa nguruwe. Ukipata watakua wakristo mnaoshiriki nao nguruwe