COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

I got this bastard Raymond Allen
 

Attachments

  • 59559a26ccb6e.jpg
    59559a26ccb6e.jpg
    22.8 KB · Views: 27

Ingawa unalekea kua mwandishi mzuri baadhi ya maelezo yako Kuhusu James Angleton CIA officer 1954-1974 au 75 sio sahihi na mfano wako unaompimanisha Abu Omar (Fugitive extremist) na Sheikh Ponda (Social Justice Advocate), unampoteza msomaji na kumpandia mbegu ya fitna Mtanzania mwenzetu. It is a known as a faulty comparison. Nitaanza na James Angleton na kisha kuonyesha dalili ya false comparison Kati ya Abu Omar na Sheikh Ponda.

Ingawa huandiki source zako, umemsifia kwa kiasi jasusi wa CIA James Jesus Angleton. Lakini, inashangaza kwanini hajaandika kitabu Kama manguli wengine.
Ukweli ni kwamba kulingana na rekodi zilizo public (Yani sio classified). James alifukuzwa kazi (fired)
 
Ingawa unalekea kua mwandishi mzuri baadhi ya maelezo yako Kuhusu James Angleton CIA officer 1954-1974 au 75 sio sahihi na mfano wako unaompimanisha Abu Omar (Fugitive extremist) na Sheikh Ponda (Social Justice Advocate), unampoteza msomaji na kumpandia mbegu ya fitna Mtanzania mwenzetu. It is a known as a faulty comparison. Nitaanza na James Angleton na kisha kuonyesha dalili ya false comparison Kati ya Abu Omar na Sheikh Ponda.

Ingawa huandiki source zako, umemsifia kwa kiasi jasusi wa CIA James Jesus Angleton. Lakini, inashangaza kwanini hajaandika kitabu Kama manguli wengine.
Ukweli ni kwamba kulingana na rekodi zilizo public (Yani sio classified). James alifukuzwa kazi (fired)
Mantiki yako iko wapi Mziba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom